Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Mtafuzu kwa vigezo vya Mo labda, lakini kwa vigezo vya fifa labda mkatambikie kwa Mzee kilomoni!Hiyo orodha ukiangalia vizuri bado kidogo tungesema tuwasaidia utopolo muwafunge CRB ili wasiongeze points ila kwa kuwa mna viburi tunasema lolote baya liwakute, sisi tutajua jinsi gani ya kufuzu