Mama omba radhi Watanzania kauli yako ya kusubiri kwanza kufufua uchumi ndiyo turuhusu marekebisho ya katiba na mikutano ya kisiasa hii umechemka.
1. Utachukiwa kuliko hata JPM
2. Utapoteza heshima ya kuitwa mama
3. Utazalisha akina Sabaya na Makonda wengi kuliko JPM
4. Unaweza kuwa Rais wa mwisho kutoka Z'bar
5. Mataia ya nje walioanza kukuunga mkono watakugeuka ndani ya muda mfupi
6. Wanufaika wa utawala wa JPM wataungana na wapinzani kukushambulia
7......
Nitaendelea nachaji simu kwanza.
1. Utachukiwa kuliko hata JPM
2. Utapoteza heshima ya kuitwa mama
3. Utazalisha akina Sabaya na Makonda wengi kuliko JPM
4. Unaweza kuwa Rais wa mwisho kutoka Z'bar
5. Mataia ya nje walioanza kukuunga mkono watakugeuka ndani ya muda mfupi
6. Wanufaika wa utawala wa JPM wataungana na wapinzani kukushambulia
7......
Nitaendelea nachaji simu kwanza.