Itapendeza zaidi kuomba radhi, kulinda hadhi ya kuendelea kuitwa mama

Itapendeza zaidi kuomba radhi, kulinda hadhi ya kuendelea kuitwa mama

Three months vs 6 yrs
What is illogical?

its obvious isnt it
Muache tu unafki
There you go again. Kwani Alikwambia anaomba apewe muda wa siku/miezi/miaka mingapi? Kwa sheria ipi? Is it neccessary? Kwamba uchumi hauwezi kukukuzwa concurrently na hayo anayotaka kuyazuia?

Did it work the last time JPM anaimplent those similar sick ideas?
 
There you again. Kwani Alikwambia anaomba apewe muda wa siku/miezi/miaka mingapi? Kwa sheria ipi? Is it neccessary? Kwamba uchumi hauwezi kukukuzwa concurrently na hayo anayotaka kuyazuia? Did it work the last time JPM anaimplent those similar sick ideas?
Mimi hadi leo nikikumbuka msimamo wa watu kama hao nabaki tu nikishangaa what kind of humans we must be! Fikiria mtu na akili zake timamu anasema tena akitamba na ninanukuu, "hata JPM akivunja Katiba ni sawa tu mradi anatuletea maendeleo!" Really? What level of craziness would drive anybody to say something so stupid?
 
Nafikiri unapaswa ujiulize swali moja, hivi hill neno mama mwanzilishi ni nani mpaka akaitwa mama? Kwa nini umama wake ushuke hadhi? Unafikiri wewe na wenzako mutampa thamani kwa sababu ya kupewa katiba mpya?

Kwa hiyo mlitaka mama baada ya JPM kufa aanze mchakato wa katiba mpya, are you sure kwa akili yenu mungemuona wa maana? Leo tunashuhudia vitu ambavyo vikitokea ambavyo havikutokea ndani ya miaka sita iliyopita, wafungwa wanatoka magerezani, vyombo vya habari vinaanza kuwa huru, wafanyabisha wanaanza kutabasamu, safari ya matumaini imeanza, lakini nyinyi bado mnatafuta namna ya kumkera na kumtafuta kama huyu mwanamke anaweza kuwa mkali?

Hata Yohana alipokuwa gerezani aliuliza maswali kama yenu, Yesu ndiye au asubiriwe mwingine, Yesu akamwmbia, sasa vipofu wanaona na viwete wameanza kutembea heri mwenye kuamini. Yohana pia alikuwa na haraka ya kutoka gerezani. Kumbuka watanzania wengi tupi kwenye hili gerezani la katiba, na katika ni jambo nyeti sana.

Iweni na subira kama mama alivyosema, kwani tupo wengi pia tuliopata tumaini kwa Huyu mama na hatuko tayari kuona akiyumbishwa, kwa sabaabu tumeiona nia njema aliyonayo. Narudia iweni na subira, iweni na subira, mama ameinjika chungu kiko jikoni ni dalili kwamba kila mtu atakula lakini unataka kutumbukiza mkono kushinikiza chakula kupakuliwe kabla hakijaiva.

Tutakuunguza mdomo tena mtaunguzwa midomo tena sana ili hata chakula kikipoa kwenu kibaki kuwa chamoto ili musiwe na hamu hata ya kula, endeleeni kuwa na tabia kama ya watoto waliokataliwa tangu matumboni mwa mama zao.
 
Mama kawatuliza hadi mmeanza mkosea adabu sio?

Hv mngeweza kumuambia Hayati maneno ya hivi?.

Msisahau na yeye ana madaraka yaleyale
Hivi kuna nini ambacho watu walishindwa kumwambia Magufuli? Waliokuwa wakimsifu kwa unafiki ni wale wanafiki ndani ya Serikali yake na ndani ya CCM. Nje ya hao, alisemwa sana. Udikteta wake haukuzui watu kutumsema kwa uovu na ubaya wake.
 
Rais Samia alikiri kwamba kasi ya ukuaji wa uchumi imedondoka kutoka 7% mpaka 4.7% kipindi ambacho JPM “alisimimamisha” matumizi ya Katiba huku akiomba apewe muda

Did it work? Nop. Sasa huyu Rais Samia anataka kutuambia nini? Anadhani issue ya kukuza uchumi ina deadline?

Huyu asiitwe tena Mama. Aitwe Rais Samia tu
Sasa kwani asipoitwa Mama yeye itamuathiri vipi?

Kwanza aliwatuma mumuite mama?? Au ni viherehere vyenu tu na kujipendekeza kwenu?

Nyinyi wapinzani mna akili kweli? Kwanza hamkumchagua kudaadeki zenu. Wana CCM waliomchagua watamuita Mama.
 
Mama omba radhi watanzania kauri yako ya kusubiri kwanza kufufua uchumi ndiyo turuhusu marekebisho ya katiba na mikutano UA kisiasa hii umechemka.
1. Utachukiwa kuliko hata JPM
2. Utapoteza heshima ya kuitwa mama.
3. Utazalisha akina Sabaya na Makonda wengi kuliko JPM
4. Unaweza kuwa Rais wa mwisho kutoka Z'bar.
5. Mataia ya nje walioanza kukuunga mkono watakugeuka ndani ya muda mfupi.
6. Wanufaika wa utawala wa JPM wataungana na wapinzani kukushambulia.
7......
Nitaendelea nachaji simu kwanza.
Tatizo hata akiomba radhi katika hili, kama hajitambui na hajiandai, anafanya kazi kwa mazoea, atachemka lingine tu.

Watu wamepigwa sana na mwendazake sasa hivi wamekuwa wanafuata ile methali ya Kiswahili ya "Aliyeumwa na nyoka, akiona unyasi anasituka".

Hizi kazi zinataka mtu ajue kasimama wapi.

Ukiwa mtu wa kuwayawaya unaweza kuwa meneja wa shirika la watu 3,000, ukqboronga, watu wakakufichia madudu yako yasijulikqne. Watu wakakusafishia, wakakufanyia kazi. Lakini si rais wa nchi ya watu milioni 60.
 
Ni mpumbavu pekee anayeweza kimuomba Samia alete katiba mpya huku CCM na SAMIA wakijua fika Katiba inawabeba wao kuendelea kutawala.

Hamna kitu kina kuja kirahisi lazima ziwepo kafara,anzisheni maandamano yasiyo na kikomo watu wafe wengine waumizwe.kuimba kwa maneno hadi dunia inaisha hakuna katiba itakayoletwa
Wewe waingize wenzako choo cha kike tu huku wewe mwenyewe umejifungia ndani tuliiiii.

Za kuambiwa changanya na zako. Baada ya uchaguzi hao wehu wenzenu kina Lissu si waliitisha maandamano, ilikuwaje???

Sasa haya anzisheni hayo maandamano 😀😀😀😀

Pumbavu sana
 
Sio utashi wa mama.

Ni msimamo wa CCM, chama kilichomuweka pale.
Ajiuzulu basi kama anaona chama chake kinaenda tofauti na yeye, ama akipeleke anavyotaka, yeye si mwenyekiti? Ajenge ushawishi na kukibadili muelekeo.

Kwani katika CCM nani alitaka kupiga marufuku mikutano yq hadhara zaidi ya Magufuli?
 
Mama kweli akizingua kwenye matakwa ya wananchi anaweza kuchukiwa mara mbili ya alivyochukiwa Magufuli.

Maana calculations anazozifanya Samia ni kudhani kuwa anaweza kuituliza nchi hii kwa kurekebisha makosa ya Magufuli na kujenga uchumi imara peke yake na kwamba suala la katiba mpya linaweza kusubiri tu.

Kwenye kurekebisha makosa ya Magufuli yuko sahihi, kwenye kujenga uchumi yuko sahihi ila kwenye ishu ya katiba mpya amekosea tena amekosea kwelikweli.
Tatizo ninaloliona ni kuwa

1. Anaweza kujikuta anafikia hatua serikali yake ni unpopular sana na sasa ili kudhibiti sauti za wananchi basi naye akajikuta anarudi kulekule kwenye kufanya mambo yaleyale ambayo wananchi waliyoyachukia sana kwenye utawala wa Magufuli ya ubabe, ukatili, uongo mkubwa, propaganda kubwa, kununua wanasiasa kwa kuwahonga pesa na vyeo ili wamuunge mkono, na kuzidisha uonevu ili kunyamazisha sauti za wananchi wanaotaka mabadiliko nchini. Sasa akianza kufanya hayo atachukiwa mara kumi na kwa kuwa yeye siyo Bandidu kihulka kumfikia Magufuli, hatoweza kudhibiti hiyo hali, kimsingi anaweza kusababisha machafuko nchini.

2. Uchumi ni suala endelevu, halina mwisho wa ujenzi wake, Iwapo Atashindwa kumeet expectations za wananchi kwenye maisha mazuri na uchumi mzuri atakutana na hasira mbili, hasira za wananchi kunyimwa katiba yao wanayoitaka na hasira ya uchumi mbaya. Ilifikia hatua hii atakosa kitu cha kuwatuliza wananchi nacho!. kutegemea economic reform ukaachana na political reform, unakuwa unakuwa unacheza kamari, maana huo uchumi ukibuma basi unakuwa huna kadi ya kisiasa ya kutuliza joto hapo ni hatari.
Hayo sio matakwa ya wananchi Bali ni matakwa ya wanasiasa wa vyama vya upinzani.

Kwani top of the agenda ni Tume Huru ya Uchaguzi ambayo kimsingi inamnufaisha zaidi mwanasiasa kuliko mtu mwingine.
 
Point haikuwa issue ya kupewa Katiba mpya ama la, ni kuhoji tu logic eti kwamba Rais anahitaji kupewa muda zaidi na kususpend baadhi ya haki za raia ili tu apate muda wa kusimamisha (kuinua) uchumi.

It is a lame excuse na haina mantiki yoyote
Sasa kwani si hata Chadema munaweza kuanzisha huo mchakato wa katiba mpya. Kwani lazima aitishe mama????

You guys have the balls and the guts, go ahead and do it.

Nyambafu sana
 
Mama kawatuliza hadi mmeanza mkosea adabu sio?

Hv mngeweza kumuambia Hayati maneno ya hivi?.

Msisahau na yeye ana madaraka yaleyale
Mwendazake tulikuwa tunamchana hapa na huko kwengineko .

Sema alikuwa mpuuzi anakutumia kikosi Cha majambazi wasiojulikana wanakuteka au kukua kabisa .

Na yeye akatekwa na kuuliwa na wadudu wasiojulikana na kuonekana .

Tit for tat is a fair play
 
Hayo ni ya watu wa upande mmoja, mimi nataka matokeo ya utekelezaji wa mkataba baina ya serikali na wananchi. Mkataba huo unataka wananchi walipe kodi, halafu serikali iwajengee miundo mbinu na huduma za jamii na isimamia sheria kama zilivyoandikwa vitabuni. Serikali ikishindwa kutekeleza huo mkataba ndipo nitalalamika ila wakiutekeleza, au wakionyesha nia thabidi ya kuutekeleza, nitakuwa nao: uwongo sitaki !
Haswaaa.

Na mkataba huu uliingiwa kwa CCM kuwaahidi wananchi walio wengi mambo mbali mbali kupitia ilani yao ya chama na wananchi wakaamua kukichagua chama. Huo ndio mkataba.

Sio haya mambo ya kijinga wanayoyaleta hawa watu sasa hivi.
 
Nafikiri unapaswa ujiulize swali moja, hivi hill neno mama mwanzilishi ni nani mpaka akaitwa mama? Kwa nini umama wake ushuke hadhi? Unafikiri wewe na wenzako mutampa thamani kwa sababu ya kupewa katiba mpya?
Kwa hiyo mlitaka mama baada ya JPM kufa aanze mchakato wa katiba mpya, are you sure kwa akili yenu mungemuona wa maana? Leo tunashuhudia vitu ambavyo vikitokea ambavyo havikutokea ndani ya miaka sita iliyopita, wafungwa wanatoka magerezani, vyombo vya habari vinaanza kuwa huru, wafanyabisha wanaanza kutabasamu, safari ya matumaini imeanza, lakini nyinyi bado mnatafuta namna ya kumkera na kumtafuta kama huyu mwanamke anaweza kuwa mkali?
Hata Yohana alipokuwa gerezani aliuliza maswali kama yenu, Yesu ndiye au asubiriwe mwingine, Yesu akamwmbia, sasa vipofu wanaona na viwete wameanza kutembea heri mwenye kuamini. Yohana pia alikuwa na haraka ya kutoka gerezani. Kumbuka watanzania wengi tupi kwenye hili gerezani la katiba, na katika ni jambo nyeti sana.
Iweni na subira kama mama alivyosema, kwani tupo wengi pia tuliopata tumaini kwa Huyu mama na hatuko tayari kuona akiyumbishwa, kwa sabaabu tumeiona nia njema aliyonayo. Narudia iweni na subira, iweni na subira, mama ameinjika chungu kiko jikoni ni dalili kwamba kila mtu atakula lakini unataka kutumbukiza mkono kushinikiza chakula kupakuliwe kabla hakijaiva. Tutakuunguza mdomo tena mtaunguzwa midomo tena sana ili hata chakula kikipoa kwenu kibaki kuwa chamoto ili musiwe na hamu hata ya kula, endeleeni kuwa na tabia kama ya watoto waliokataliwa tangu matumboni mwa mama zao.
Nicely written.

Waache waendelee tu. Wanapotaka twende tutafika. Wasimjaribu kabisa Mheshimiwa rais wala wasiijaribu mamlaka yake.

Wataharibu na moto ukiwa utawaka zaidi ya ulivyowaka mwanzo.
 
Tatizo hata akiomba radhi katika hili, kama hajitambui na hajiandai, anafanya kazi kwa mazoea, atachemka lingine tu.

Watu wamepigwq sana na mwendazake sasa hivi wqmekuwa wanafuatq ike methali ya Kiswahili ya "Aliyeumwa na nyoka, akiona unyasi anasituka".

Hizi kazi zinataka mtu ajue kasimama wapi.

Ukiwa mtu wa kuwayawaya unaweza kuwa meneja wa shirika la watu 3,000, ukqboronga, watu wakakufichia madudu yako yasijulikqne. Watu wakakusafishia, wakakufanyia kazi. Lakini si rais wa nchi ya watu milioni 60.
Eti hizi kazi, as if umeshawahi kuzifanya vile.

Kwanza wewe si ni Mmarekani au??

Hebu kaeni kwa kutulia
 
Ajiuzulu basi kama anaona chama chake kinaenda tofauti na yeye, ama akipeleke anavyotaka, yeye si mwenyekiti? Ajenge ushawishi na kukibadili muelekeo.

Kwani katika CCM nani alitaka kupiga marufuku mikutano yq hadhara zaidi ya Magufuli?
Muelekeo upi??

Aache kutekeleza mkataba kati yake na wananchi wengi waliomchagua aanze kutekeleza matakwa ya mbowe na wahuni wenzie ????

Chadema walinadi mambo ya katiba mpya kwenye kampeni Watanzania wakakataa habari hizo, CCM wakanadi maendeleo wananchi wakakubali. Leo mnamtaka rais atekeleze yaliyokataliwa na wananchi???
 
Back
Top Bottom