Itapendeza zaidi kuomba radhi, kulinda hadhi ya kuendelea kuitwa mama

Itapendeza zaidi kuomba radhi, kulinda hadhi ya kuendelea kuitwa mama

Wanasema uchumi ni jambo endelevu huku wakijidangaya Katiba sio jambo endelevu....pumbavu kabisa ndio maana yule jamaa alikuwa akiwatukana na kuwafinya..

Kenya walibadirisha katiba lakini matokeo yake mpala leo kila siku wapo kwenye migogoro na mambo yasioeleweka mara BBI na ujinga mwingi kila siku...bado tena wapo wanaohitaji katiba mpya nyingine tena kwa maana ya marekebisho ya ile mpya ambayo walitumia muda na fedha kuitengeneza..

Nimeamini Africa na WaAfrica bado tuko kwenye stage ya mijeledi na utumwa, bado tunahitaji miaka zaidi ya 100 ya fimbo, mijeledi na unyama ili akili zikae sawa... na tukivuka hiyo stage tunaweza kuanza next stage ya civilization. Yule jamaa alikuwa sahihi kuwachapa na kuwafinya wapumbavu ili mambo yaende kuliko kucheka nao, kuwabembeleza na kujadiliana nao...full blackmailing + brutality hii ndio stage ya mtu mweusi kwa sasa...
Ndiko wanakotaka twende hawa.

Na taratibu tutaelekea huko.

Ametokea mtu anawaskilizaa, anawashirikisha, anawahurumia halafu wao wanamuona famba sio???

Rest in Peace JPM. Ulitufundisha kuhusu hawa wash.. enzi kwa vitendo.
 
Kumbe! Yaani kila Mtanzania anayedai utawala bora unaoheshimu Katiba ni Chadema! Je una habari kuwa lawama ya kwanza anayopewa mama ni kushindwa kuheshimu kiapo chake cha kuihifadhi, kuilinda na kuitii Katiba. Haya mamlaka ya kupiga marufuku siasa anayatoa wapi?

Mwendazake alianza hivi na wajinga kama wewe wakaona sawa hata asipofuata sheria, Katiba. Masikini mshamba na limbukeni ona sasa yalomtokea. Sasa SSH kashika usukani kwa ridhaa ya Katiba halafu anaanza vitimbwi vile vile vya mwendazake vya kuisigina Katiba...ohoooo!

Hilo dai la Katiba mpya ni habari nyingine.
Hujui mamlaka ya rais wewe?? Unaniulizaje swali la kijinga???

Nyinyi msitake kutumia kifo kama ni adhabu, kifo sio adhabu maana hata wachungaji wanakufa. Professor Baregu pia yaliyomkuta umeyaona??? Mmekalia kuzungumzia kifo cha JPM as if ni adhabu, kwendeni zenu huko.

Mama kashika usukani kwa ridhaa ya katiba kwa sababu katiba hii inafaa. Ingekuwa kama mnavyotuaminisha basi kungetokea mvurugano ila kila kitu kipo sawa na kitaendelea kuwa hivyo.

Anyway, sisi hatuna tantarira nyingi, tushasema mikutano hakuna tumemaliza. Kama nyinyi mnajiamini fanyeni sasa hiyo mikutano yenu muone kilichomtoa kanga manyoya
 
Nakwambia hivi, rais huyu kachemka kwenye kujifanya yeye ana mamlaka ya kuwekea mipaka mambo yaliyoelezwa katika katiba.

Kisha katuambia habari za article ya fake news.

Kashindwa vetting kuanzia teuzi za watu aliowateua na kuwatengua ndani ya wiki, mpaka vetting ya article kujua kwamba hii ni fake news haifai kusomwa na rais kwa nchi nzima.
Hiyo ni kwa mujibu wa wewe.

Nkashindwa vetting?? Fanya wewe basi ili uweze.
 
Hiyo ni kwa mujibu wa wewe.

Nkashindwa vetting?? Fanya wewe basi ili uweze.
Fact.

Kuteua na kutengua mtu within a week kunaonesha kashindwa vetting.

Mimi sijagombea urais, sasa nitafanyaje kazi si yangu.

Unatumia akili au kamasi?
 
Hawezi kuomba msamaha kwa sababu ana laana za Kaka yake Kayafa za kutumia damu za watu kama fuel ya kuendeshea serikali katika awamu ya tano.Nilisema kuwa huyu ana laana na hawezi kuwa Rais watu wakawa wananibeza hapa.
 
Nilikujibu kiungwana nikifikiri una akili, pole.
Samahani kama umehisi nimekujibu sio kiungwana.

Kuhusu kuwa na akili ni jambo siwezi kulizungumzia. Whatever you say it's fine by me.
 
Three months vs 6 yrs
What is illogical?

its obvious isnt it
Muache tu unafki
Kwani CCM walipoliweka suala la katiba mpya kwenye ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015 ambayo Samia alizunguuka nchi nzima kuinadi walitaka Samia na Magufuli wakiingia madarakani waanze kuitekeleza lini?
 
Pumbavu sana hawa ndezi.

Wanataka twende nao hivi hivi kindezi ndezi.

Yaani jambo limekubaliwa, mnaambiwa Nipeni muda nishughulikie wao wameng'ang'ania tu ujinga ujinga.
Hawaskii hawa wapuuzi no wonder jiwe alikuwa hawachekei, Mambo yanaenda vizuri yet Wana laumu laumu, Yani mama kawa fair na msikivu Sasa wao Wana mu provoke
 
Hawaskii hawa wapuuzi no wonder jiwe alikuwa hawachekei, Mambo yanaenda vizuri yet Wana laumu laumu, Yani mama kawa fair na msikivu Sasa wao Wana mu provoke
Fairness ya mtawala siyo hisani, ndivyo alivyoapa!. Mshaurini basi awe dikteta aje aone hicho kiti kama hajakiona zigo la Kinyesi.

Wananchi unaweza kuwachezea sometime lakini huwezi kuwachezea all the time

Suala la kstiba mpya ni suala la kisheria, Sheria ya mabadiliko ya ksyiba ya mwaka 2012, Tunataka Rais atekeleze sheria hiyo, hatumuombi hisani.

Pia suala la mikutano ya vyama vya siasa pia ni suala la kisheria na kikatiba, katiba na sheria inatoa ruhusa vyama vifanye mikutano nchi nzima
 
Naendelea kusisitiza huu ni mtizamo wako.
Hata wewe unaposema huu ni mtazamo wangu, huo ni mtazamo wako.

Nimekuambia something factual.

Hujaweza kukanusha.

Hujaeleza lolote zaidi ya kulazimisha hoja.

Hoja inajengwa, kwa mantiki. Hailazimishwi.
 
Hawaskii hawa wapuuzi no wonder jiwe alikuwa hawachekei, Mambo yanaenda vizuri yet Wana laumu laumu, Yani mama kawa fair na msikivu Sasa wao Wana mu provoke
Dawa yao inachemka.

Hatuyumbishwi na hatutetereshwi, Sisi wananchi tutaendelea kumuunga mkono Mheshimiwa rais ili tupate maendeleo aliyotuahidi.

Atakae jaribu kumkwamisha rais tutashuka nae jumla jumla
 
Hawaskii hawa wapuuzi no wonder jiwe alikuwa hawachekei, Mambo yanaenda vizuri yet Wana laumu laumu, Yani mama kawa fair na msikivu Sasa wao Wana mu provoke
Huyo rais kachemka kujibu kwamba mikutano ya hadhqra nje ya majimbo isubiri uchumi. Hii ni kauki ya kupingana na katiba.

Tatizo Watanzania wengi hawajasoma katiba.

Rais kqchemka.Kwa sababu kajipa madaraka ya kupanga ratiba ya kutoa haki ambayo ipo wazi bila ratiba.Hili ni suala lililo wazi katika katiba.

Tusimtetee kwa mahaba tu.

Pia kachemka kutoa fake news article kama fact.

Msaidieni articles anazozitoa katika hotuba zipitiwe na kuhakikiwa asituaibishe.

Msifikiri kumtetea anapokosea ndiyo mnamsaidia.
 
Back
Top Bottom