Itapendeza zaidi kuomba radhi, kulinda hadhi ya kuendelea kuitwa mama

Itapendeza zaidi kuomba radhi, kulinda hadhi ya kuendelea kuitwa mama

Mkuu mbona unaongea nadharia sana?
Yaani mwenyekiti wa chama tena mwenye kofia mbili akose ushawishi? Et sababu top oppositional leaders demands katiba mpya ndo akose ushawishi? Naamini wewe sio mgeni ni mzawa hapa bongo. Regime iliyopita ilikuwa na makosa kibao lakini ikapita kwa KISHINDO Asilimia zaidi ya 95%.

Au unafikiri mamlaka aliyokuwa nayo hayati, mama yetu hana? Msijifariji bhana. Tafteni namna ya kuongea na Mama sio kujidai mnaijua katiba sana. Huku wengine mkijidanganya mtaingia barabarani kwa maneno nyuma ya keyboard hahahaha. Wale jamaa wenye kofia nyekundu hawana kazi za kufanya mtajua hamjui.

Hata ningekuwa mimi nisingekubali yaani niwawekee mazingira ya kuingia kwenye uongozi kiulaini tu et sababu ya wapiga kelele. iiihiiiiii aaaaaahaaaaa.
Sasa huyo Magufuli aliyeua na kutesa watu yupo wapi? Hata huyu mama akiua wapinzani kwamba mwisho wake ni nini? Tatizo watu wengi wanadhani suala la katiba mpya ni la wapinzani peke yao. Hebu nikuulize swali, Tume ya Jaji Warioba ilipozunguka nchi nzima kupata maoni ya watu nchi nzima walikuwa wanazungumza na wapinzani peke yao? Katiba mpya ni maoni ya wapinzani? Mna matatizo sana
 
Kipindi cha Jpm kuna watu tulisema kua kama kweli Jpm ni kiongozi mzuri basi ajitahidi atengeneze mifumo thabiti ya uendeshaji nchi ili ata siku akiondoka nchi iende kwenye misingi aliyoiweka,sasa kwasababu hakufanya hivyo ndo maana umetaja baadhi ya mambo ya ovyo yaliyofanyika kipindi chake sasa leo hayupo kwahiyo kuna uwezekano pia hiyu aliyepo akafanya aidha mazur au mabaya kabisa kwa sababu nchi bado haina mifumo na miongozo thabiti.Sasa tunakua ni nchi ya leo hivi kesho vile kutegemea tu rais kaamkaje.kwahiyo kama kweli ana nia njema na hili taifa basi ni vyema akaweka mambo mazuri kwa ajili ya nchi ili ata atakapoondoka nchi iendelee vyema.Na muda mzuri wakufanya jambo ni kipindi watu wanalizungumzia kwasababu hakuna aijuaye kesho.
Amina
 
Sasa huyo Magufuli aliyeua na kutesa watu yupo wapi? Hata huyu mama akiua wapinzani kwamba mwisho wake ni nini? Tatizo watu wengi wanadhani suala la katiba mpya ni la wapinzani peke yao. Hebu nikuulize swali, Tume ya Jaji Warioba ilipozunguka nchi nzima kupata maoni ya watu nchi nzima walikuwa wanazungumza na wapinzani peke yao? Katiba mpya ni maoni ya wapinzani? Mna matatizo sana
Mkuu, unaonekana ni jasiri sana, omba viongozi wako muandamane mkiwa na madai yenu ya msingi sio kelele za kwenye keyboard tu hapa.

Yaani nyie majamaa huwa mnahisi watanzania million 60 wanawakilishwa na nyie watu 50 kwenye mitandao ya kijamii. Tena mnafikia mahali mnahisi kila mnachotaka mtimiziwe as if mko pekeenu. Ndio maana nasema hayati alkuwa akiwapiga spana mpaka mkatulia tuliii.

Lastly, kuhusu kufa, ni nani amekuambia hayati amekufa sababu ya kuwapiga spana nyie msiojua mnataka nini?
Kiufupi TZ ya mitandaoni sio ya huko mtaani acheni kujifariji..
 
Mkuu, unaonekana ni jasiri sana, omba viongozi wako muandamane mkiwa na madai yenu ya msingi sio kelele za kwenye keyboard tu hapa.

Yaani nyie majamaa huwa mnahisi watanzania million 60 wanawakilishwa na nyie watu 50 kwenye mitandao ya kijamii. Tena mnafikia mahali mnahisi kila mnachotaka mtimiziwe as if mko pekeenu. Ndio maana nasema hayati alkuwa akiwapiga spana mpaka mkatulia tuliii.

Lastly, kuhusu kufa, ni nani amekuambia hayati amekufa sababu ya kuwapiga spana nyie msiojua mnataka nini?
Kiufupi TZ ya mitandaoni sio ya huko mtaani acheni kujifariji..
Kama nyie"wengi" ambao hamkubaliani na "kelele za watu wachache wa kwenye key board" mnajiamini, kwanini msilete katiba mpya na tume huru ya uchaguzi twende tukapige kura. Kwanini mnaogopa katiba mpya na tume huru wakati nyie mpo "wengi". Mwenye akili angeweza jiuliza hilo.
Halaf kwanini uwe na mawazo mtu akikupinga inabidi "apigwe" au "auawe"? Huyo Magu aliyepiga watu risasi na kuwapoteza watu ili alinde madaraka yake yuko wapi?
 
Mama omba radhi Watanzania kauli yako ya kusubiri kwanza kufufua uchumi ndiyo turuhusu marekebisho ya katiba na mikutano ya kisiasa hii umechemka.

1. Utachukiwa kuliko hata JPM
2. Utapoteza heshima ya kuitwa mama
3. Utazalisha akina Sabaya na Makonda wengi kuliko JPM
4. Unaweza kuwa Rais wa mwisho kutoka Z'bar
5. Mataia ya nje walioanza kukuunga mkono watakugeuka ndani ya muda mfupi
6. Wanufaika wa utawala wa JPM wataungana na wapinzani kukushambulia
7......

Nitaendelea nachaji simu kwanza.
Unajichosha bure. CCM ni sikio la kufa. Tunasubiri tamko la Kamanda Siro. Tuendelee kupayuka: KATIBA MPYA!!!?
 
Back
Top Bottom