Itapendeza zaidi kuomba radhi, kulinda hadhi ya kuendelea kuitwa mama

Itapendeza zaidi kuomba radhi, kulinda hadhi ya kuendelea kuitwa mama

Eti hizi kazi, as if umeshawahi kuzifanya vile.

Kwanza wewe si ni Mmarekani au??

Hebu kaeni kwa kutulia
Mimi sio rais wa Tanzania.Mimi si ninayesimama kuwakilisha nchi. Jadili hoja, usilete viroja.
 
Hayo sio matakwa ya wananchi Bali ni matakwa ya wanasiasa wa vyama vya upinzani,

Kwani top of the agenda ni Tume Huru ya Uchaguzi ambayo kimsingi inamnufaisha zaidi mwanasiasa kuliko mtu mwingine.
Mama ajikite kwenye kuwaletea Watanzania maendeleo. Aachane na hawa wapuuzi wachache wasio na kazi za kufanya.

Yaani kama wapinzani ni wao tu, mbona vyama vyengine vyote vinaheshimu mamlaka ya rais??

Hawa watu ni wajinga sana na hayati JPM aliwajulia haswa. Wasidhani Mama ni muoga, wasimjaribu
 
Muelekeo upi??

Aache kutekeleza mkataba kati yake na wananchi wengi waliomchagua aanze kutekeleza matakwa ya mbowe na wahuni wenzie ????

Chadema walinadi mambo ya katiba mpya kwenye kampeni Watanzania wakakataa habari hizo, CCM wakanadi maendeleo wananchi wakakubali. Leo mnamtaka rais atekeleze yaliyokataliwa na wananchi???
Katiba ya Tanzania inatoa uhuru wa watu kufanya mikutano ya kisiasa. Right to assembly.

Kama hujui hilo kasome katiba.

Rais wa Tanzania kusema mikutano ya kisiasa ya nje ya majimbo isubiri uchumi utengemae, ni kauki inayopingana na katiba.

Rais kachemka.

Zaidi, kachemka kawaambia watu hqbari za makala ya fake news ya kujifukiza ili kuondoa Coronavirus.

Rais ameeneza habari za uongo kwa mamilioni ya Watanzania.
 
Mama ajikite kwenye kuwaletea Watanzania maendeleo. Aachane na hawa wapuuzi wachache wasio na kazi za kufanya.

Yaani kama wapinzani ni wao tu, mbona vyama vyengine vyote vinaheshimu mamlaka ya rais??

Hawa watu ni wajinga sana na hayati JPM aliwajulia haswa. Wasidhani Mama ni muoga, wasimjaribu
Ukishakuwa na mentality ya rais kuwa ni mtu anayewaletea wananchi maendeleo, ushakuwa sehemu ya tatizo.
 
Mimi sio rais wa Tanzania.Mimi si ninayesimama kuwakilisha nchi. Jadili hoja, usilete viroja.
Kama unajijua hivyo basi achana na yanayowahusu Watanzania. Wewe shughulikieni yenu huko ya ushoga.

Watanzania wamechagua maendeleo kupitia sanduku la kura. Msitake kubadilisha matakwa ya Watanzania enyi kikundi kiovu.

Na hii ndio hoja, hoja ni kwamba kila mtu alipata kunadi ilani yake mbele ya Watanzania. Wakati CCM wananadi ilani yao nyinyi mlikuwa mnazunguka na helikopta kuwatukana CCM. Watanzania wameona na wameamua kuchagua maendeleo, nini sasa kelele???
 
Mama omba radhi watanzania kauri yako ya kusubiri kwanza kufufua uchumi ndiyo turuhusu marekebisho ya katiba na mikutano UA kisiasa hii umechemka.
1. Utachukiwa kuliko hata JPM
2. Utapoteza heshima ya kuitwa mama.
3. Utazalisha akina Sabaya na Makonda wengi kuliko JPM
4. Unaweza kuwa Rais wa mwisho kutoka Z'bar.
5. Mataia ya nje walioanza kukuunga mkono watakugeuka ndani ya muda mfupi.
6. Wanufaika wa utawala wa JPM wataungana na wapinzani kukushambulia.
7......
Nitaendelea nachaji simu kwanza.
Chuki yako itampunguzia nini sasa mzee baba🤣🤣🤣???

She is the boss and makes more money than you we endelea kuchukia tu mpaka upasuke!
 
Mama omba radhi watanzania kauri yako ya kusubiri kwanza kufufua uchumi ndiyo turuhusu marekebisho ya katiba na mikutano UA kisiasa hii umechemka.
1. Utachukiwa kuliko hata JPM
2. Utapoteza heshima ya kuitwa mama.
3. Utazalisha akina Sabaya na Makonda wengi kuliko JPM
4. Unaweza kuwa Rais wa mwisho kutoka Z'bar.
5. Mataia ya nje walioanza kukuunga mkono watakugeuka ndani ya muda mfupi.
6. Wanufaika wa utawala wa JPM wataungana na wapinzani kukushambulia.
7......
Nitaendelea nachaji simu kwanza.
Mkuu natumai sim imejaa, endelea kutoa cheche
 
mnaohitaji katiba mpya anzisheni chama na kwenye ilani yenu ya 2025 muweke hicho kipengele cha katiba mpya, mbona rahisi sana.

Hizi kelele za katiba mpya ni kelele za wanasiasa wajinga wanaotaka urahisi wa kuingia ikulu kwa huruma ya chama tawala CCM...Hakuna mahala duniani dola inapatikana kirahisi mjifunze hili vinginevyo kila siku mtakwama na kulialia..

Yule jamaa ametuongoza miaka 6 mpaka ametwaliwa na mwenye mamlaka yake, hakuna aliyesimama barabarani kuidai hiyo katiba mpya zaidi ya hawa "keyboard warrior"....na yule jamaa alikuwa analala kwa amani kabisa..

Narudia tena, dola haipatikani kirahisi, msitegemee huruma ya CCM ili eti mpate dola. Tumieni akili zenu zote, maarifa na nguvu kuitafuta dola sio huruma za mtawala na chama chake... Hata kuupata huu uhuru tulio nao leo kuna watu waliteseka, kufa, kuumizwa nk ndio mkoloni akaamua kutuacha huru..Leo mnataka dola huku mnakunywa kahawa na wengine wako busy kutwa kucha humu JF na mitandaoni...Kazeni matako mpate dola, mbadilishe katiba, mruhusu mikutano ya kisiasa, mruhusu ushoga live, muwaweke watu lockdown, nk....
 
Ukishakuwa na mentality ya rais kuwa ni mtu anayewaletea wananchi maendeleo, ushakuwa sehemu ya tatizo.
Mimi naongelea uhalisia, wewe lete mambo ya mentality hapa na theory theory zisizo kichwa wala miguu.

JPM alikuwa akiwachana live, mmechagua upinzani hakuna barabara wala maji. Na hakukuwa na barabara wala maji. Hizo mentality zenu zilileta barabara na maji??

Haya mambo ya mentality ni hukohuko Marekani kwenu
 
Mimi naongelea uhalisia, wewe lete mambo ya mentality hapa na theory theory zisizo kichwa wala miguu.

JPM alikuwa akiwachana live, mmechagua upinzani hakuna barabara wala maji. Na hakukuwa na barabara wala maji. Hizo mentality zenu zilileta barabara na maji??

Haya mambo ya mentality ni hukohuko Marekani kwenu
Jamaa hakuwa mnafiki wa hisia zake 😂😂😂 black or white! Serikali haitokuletea chakula mezani na mkeo.
 
mnaohitaji katiba mpya anzisheni chama na kwenye ilani yenu ya 2025 muweke hicho kipengele cha katiba mpya, mbona rahisi sana.

Hizi kelele za katiba mpya ni kelele za wanasiasa wajinga wanaotaka urahisi wa kuingia ikulu kwa huruma ya chama tawala CCM...Hakuna mahala duniani dola inapatikana kirahisi mjifunze hili vinginevyo kila siku mtakwama na kulialia..

Yule jamaa ametuongoza miaka 6 mpaka ametwaliwa na mwenye mamlaka yake, hakuna aliyesimama barabarani kuidai hiyo katiba mpya zaidi ya hawa "keyboard warrior"....na yule jamaa alikuwa analala kwa amani kabisa..

Narudia tena, dola haipatikani kirahisi, msitegemee huruma ya CCM ili eti mpate dola. Tumieni akili zenu zote, maarifa na nguvu kuitafuta dola sio huruma za mtawala na chama chake... Hata kuupata huu uhuru tulio nao leo kuna watu waliteseka, kufa, kuumizwa nk ndio mkoloni akaamua kutuacha huru..Leo mnataka dola huku mnakunywa kahawa na wengine wako busy kutwa kucha humu JF na mitandaoni...Kazeni matako mpate dola, mbadilishe katiba, mruhusu mikutano ya kisiasa, mruhusu ushoga live, muwaweke watu lockdown, nk....
Watu wanataka waingie madarakani kwa ubua 😂😂😂 yani kimlenda mlenda tu walaghai wajinga ili waruhusiwe kukamata dola kizembe halafu wakiingia wao wakavuruge kipengele ili waendelee kubunya hii janja ya kitoto sana!

Tunahitaji viongozi wazalendo sio wachumia tumbo!!!
 
Rais Samia alikiri kwamba kasi ya ukuaji wa uchumi imedondoka kutoka 7% mpaka 4.7% kipindi ambacho JPM “alisimimamisha” matumizi ya Katiba huku akiomba apewe muda

Did it work? Nop. Sasa huyu Rais Samia anataka kutuambia nini? Anadhani issue ya kukuza uchumi ina deadline?

Huyu asiitwe tena Mama. Aitwe Rais Samia tu
Mama ni mama yako tu huyni RAIS SAMIA MKUUU ULIKUWA HUJUI HAHA TOKA HUKO MPIGIE CM MAMA YAKO UMUITE MAMA HUYU ATAKUACHA NJIA PANDA WAKATI BADO UNAHITAJI KUNYONYA
 
Kama unajijua hivyo basi achana na yanayowahusu Watanzania. Wewe shughulikieni yenu huko ya ushoga.

Watanzania wamechagua maendeleo kupitia sanduku la kura. Msitake kubadilisha matakwa ya Watanzania enyi kikundi kiovu.

Na hii ndio hoja, hoja ni kwamba kila mtu alipata kunadi ilani yake mbele ya Watanzania. Wakati CCM wananadi ilani yao nyinyi mlikuwa mnazunguka na helikopta kuwatukana CCM. Watanzania wameona na wameamua kuchagua maendeleo, nini sasa kelele???
Kama ninajijua nini?

Unajua kusoma kwa ufahamu?
 
Wanasema uchumi ni jambo endelevu huku wakijidangaya Katiba sio jambo endelevu....pumbavu kabisa ndio maana yule jamaa alikuwa akiwatukana na kuwafinya..

Kenya walibadirisha katiba lakini matokeo yake mpala leo kila siku wapo kwenye migogoro na mambo yasioeleweka mara BBI na ujinga mwingi kila siku...bado tena wapo wanaohitaji katiba mpya nyingine tena kwa maana ya marekebisho ya ile mpya ambayo walitumia muda na fedha kuitengeneza..

Nimeamini Africa na WaAfrica bado tuko kwenye stage ya mijeledi na utumwa, bado tunahitaji miaka zaidi ya 100 ya fimbo, mijeledi na unyama ili akili zikae sawa... na tukivuka hiyo stage tunaweza kuanza next stage ya civilization. Yule jamaa alikuwa sahihi kuwachapa na kuwafinya wapumbavu ili mambo yaende kuliko kucheka nao, kuwabembeleza na kujadiliana nao...full blackmailing + brutality hii ndio stage ya mtu mweusi kwa sasa...
 
Sasa kwani si hata Chadema munaweza kuanzisha huo mchakato wa katiba mpya. Kwani lazima aitishe mama???
Kumbe! Yaani kila Mtanzania anayedai utawala bora unaoheshimu Katiba ni Chadema! Je una habari kuwa lawama ya kwanza anayopewa mama ni kushindwa kuheshimu kiapo chake cha kuihifadhi, kuilinda na kuitii Katiba. Haya mamlaka ya kupiga marufuku siasa anayatoa wapi?

Mwendazake alianza hivi na wajinga kama wewe wakaona sawa hata asipofuata sheria, Katiba. Masikini mshamba na limbukeni ona sasa yalomtokea. Sasa SSH kashika usukani kwa ridhaa ya Katiba halafu anaanza vitimbwi vile vile vya mwendazake vya kuisigina Katiba...ohoooo!

Hilo dai la Katiba mpya ni habari nyingine.
 
Mama omba radhi watanzania kauri yako ya kusubiri kwanza kufufua uchumi ndiyo turuhusu marekebisho ya katiba na mikutano UA kisiasa hii umechemka.
1. Utachukiwa kuliko hata JPM
2. Utapoteza heshima ya kuitwa mama.
3. Utazalisha akina Sabaya na Makonda wengi kuliko JPM
4. Unaweza kuwa Rais wa mwisho kutoka Z'bar.
5. Mataia ya nje walioanza kukuunga mkono watakugeuka ndani ya muda mfupi.
6. Wanufaika wa utawala wa JPM wataungana na wapinzani kukushambulia.
7......
Nitaendelea nachaji simu kwanza.

Pana nyuzi zinalenga kumfarakanisha Mama kwa lolote na kwa yeyote na hata kwa sababu za kijinga:


Kuwatambua wenye nazo na nyuzi zao ni mwanzo mzuri wa kufika kunako katiba mpya mapema na bila misuguano isiyokuwa ya lazima.

Nasema uongo ndugu zangu?

Cc: Erythrocyte, BAK, The Boss, Extrovert, Missile of the Nation
 
Back
Top Bottom