Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupia hata kapicha za hiyzo mara chache... na kwanini mwamdishi hajataja jina la hiyo kampuni ya basi kubwa la abiria?Shabiby ni mara chache kupata ajali inawezekana kafululiza kupindi hiki ila ni kampuni ambayo ni mara chache kuripotiwa kwenye ajali
Picha ya mara chache ndo picha gani? Gari ikiwa imesimama carwash au?tupia hata kapicha za hiyzo mara chache... na kwanini mwamdishi hajataja jina la hiyo kampuni ya basi kubwa la abiria?
Kuna siku yatakukuta au ndugu yako utaelewaPicha ya mara chache ndo picha gani? Gari ikiwa imesimama carwash au?
Mawazo mgando hayo kwamba kisa unataka shabiby ifungiwe ikifungiwa ndo ndugu zako hatapata ajali? Ndege zenyewe zinapata ajali na zinapotea hazipatikani watu hawaziki hata ndugu zaoKuna siku yatakukuta au ndugu yako utaelewa
Tatizo elimu,elimuMawazo mgando hayo kwamba kisa unataka shabiby ifungiwe ikifungiwa ndo ndugu zako hatapata ajali? Ndege zenyewe zinapata ajali na zinapotea hazipatikani watu hawaziki hata ndugu zao
Elimu ni tatizo kama watu kama wewe ndo wanategemewa nchi isahau kupiga hatua kiuchumi kila kampuni utaifungia kisa imepata ajaliTatizo elimu,elimu
Tulia,mtaondoka barabarani kupitia SGR. Tumechoka kulia na kuzikaElimu ni tatizo kama watu kama wewe ndo wanategemewa nchi isahau kupiga hatua kiuchumi kila kampuni utaifungia kisa imepata ajali
SGR kuna maeneo haifiki bro acha chuki na biashara za watuTulia,mtaondoka barabarani kupitia SGR. Tumechoka kulia na kuzika