FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hivi ikatokea tukaamua tu tuwaingize mjini haya mabeberu yanatukopesha mamikopo kwa fujo kama ugomvi na tusiwalipe tu, watatufanya nini kwani? Ukiacha kukamata ndege, watafanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa yadenikulipa
Nasemaje, kama ni kuolewa tutawagawa dada zetu wakaolewe huko, potelea mbali, ila hili deni limeshakuwa toxic, hakuna tena kulipa!Tutaolewa mkuu
Ulishawai ona tembo, Simba na twiga wakipanda ndege ww? Lazima hao wanyama tuliwaweka rehani au tunaweza ambiwa ushoga uwe ndo habari ya townNasemaje, kama ni kuolewa tutawagawa dada zetu wakaolewe huko, potelea mbali, ila hili deni limeshakuwa toxic, hakuna tena kulipa!
Hawatatukopesha tena. Nchi yetu bila mikopo na misaada haitatawalika.Hivi ikatokea tukaamua tu tuwaingize mjini haya mabeberu yanatukopesha mamikopo kwa fujo kama ugomvi na tusiwalipe tu, watatufanya nini kwani? Ukiacha kukamata ndege, watafanya nini?
Watakuweka wewe bondHivi ikatokea tukaamua tu tuwaingize mjini haya mabeberu yanatukopesha mamikopo kwa fujo kama ugomvi na tusiwalipe tu, watatufanya nini kwani? Ukiacha kukamata ndege, watafanya nini?
Daa uskute kuna kabila limewekwa lehani.Unatakiwa kufahamu..hakuna deni lisilo na collateral..kuna kitu lazima wamekiweka kama collateral ndio wakapewa hii mikopo..
Mwigulu Nchemba ameshawaambia mambo ya uchumi muachieni yeye, na nyie mjikite kujadili mambo ya waganga wa kienyejiMh.SAMIA na MWIGULU si mpo humu njoeni mjibu hili swali