Superfly
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 985
- 2,066
Mwigulu Nchemba ameshawaambia mambo ya uchumi muachieni yeye, na nyie mjikite kujadili mambo ya waganga wa kienyeji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu Nchemba ameshawaambia mambo ya uchumi muachieni yeye, na nyie mjikite kujadili mambo ya waganga wa kienyeji
Nasemaje, kama Simba na Tembo watapandishwa ndege potelea mbali, wacha waende wote, watazaliana wengine, ila hakuna tena kulipa hili deni, limeshakuwa toxic, riba inazidi deni halisi sasa...Ulishawai ona tembo, Simba na twiga wakipanda ndege ww? Lazima hao wanyama tuliwaweka rehani au tunaweza ambiwa ushoga uwe ndo habari ya town
Labda watakupakaa mafuta,Hivi ikatokea tukaamua tu tuwaingize mjini haya mabeberu yanatukopesha mamikopo kwa fujo kama ugomvi na tusiwalipe tu, watatufanya nini kwani? Ukiacha kukamata ndege, watafanya nini?
Utapakwa mafuta bendera za upinde hadi kituo Cha polisi mahakamani na magerezaTutaolewa
Kawaulize EU kama hawakuingizwa mjini na Jiwe kipindi cha corona. Walitoa hela kwa ajili ya kupambana na corona halafu jamaa hakuingiza mtu lockdown wala kufanya chochote kilicho ashiria anapambana na corona. Kumbukumbu zipo mitandaoniMzungu aingizwe mjini na akili zinazowaza kama hivi ?
Aliyekudanganya kakupotezaKwenye iyoo 100t sijawahi kufaidika nayoooo .....
I remember jk nyerere hujaucha den hata kama ulichaaa hazid 400k
Hadi jamaa wakadai warudishiwe chenji 😂Kawaulize EU kama hawakuingizwa mjini na Jiwe kipindi cha corona. Walitoa hela kwa ajili ya kupambana na corona halafu jamaa hakuingiza mtu lockdown wala kufanya chochote kilicho ashiria anapambana na corona. Kumbukumbu zipo mitandaoni
Trillion 100 baba, na ikifika 2025 ni Trillion 200, Moodys wameshakuja kufanya tathmini ya kutupiga mnadaDeni lishafika 100?
Trillion 100 baba, na ikifika 2025 ni Trillion 200, Moodys wameshakuja kufanya tathmini ya kutupiga mnada
Yule Aliacha deni kubwa sana mojawapo ni lile alilokopa kwa ajili ya vita na UgandaKwenye iyoo 100t sijawahi kufaidika nayoooo .....
I remember jk nyerere hujaucha den hata kama ulichaaa hazid 400k
Sasa Wewe econometrician,unashindwa kutoa jibu kwa swali jepesi hilo, Wakati wewe ndiyo mbobevu wa data analysis za ecomics? Tumia linear algebra, linear regression testing and analysis kuelezea namna gani foreign debt inavyoweza kuamsha au kuua uchumi wa Nchi yako [emoji1787][emoji1787] au?Mh.SAMIA na MWIGULU si mpo humu njoeni mjibu hili swali