FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #81
Wewe endelea kulala hivyo hivyo, ukiamka 2030 utakutana na deni la 1 Trillion dollarsDeni lishafika 100?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea kulala hivyo hivyo, ukiamka 2030 utakutana na deni la 1 Trillion dollarsDeni lishafika 100?
Mama yuko bize na mpira anatunza milioni 5..5 huko habari hapati😁Mh.SAMIA na MWIGULU si mpo humu njoeni mjibu hili swali
Usishangae.Mzungu aingizwe mjini na akili zinazowaza kama hivi ? Badala uwaze kwa nini mnakopa na mfanye nini ili msiendelee kukopa wewe unawaza kuwaingiza mjini wazungu ambao bila wao Serengeti national park itakuwa ya kufugia ng'ombe au Mlima kilimanjaro utakuwa likichuguu likubwa lisilo na faida.