Itengenezwe application tupige kura kwa Simu zetu tusipotezeane muda

Itengenezwe application tupige kura kwa Simu zetu tusipotezeane muda

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
3,384
Reaction score
2,073
Hivi wafrika ni lini tutadhamini muda wetu

Kwenye foleni saa kadhaa eti nasubiri nimpigie diwani kura.

Twendeni na technology inavyotaka watu wapige kura wakiwa nyumbani ofisini

Serikali inapoteza fedha nyingi eti kuweka mawakala waandikishe watu wachague wenyeviti!!!!

Hii SI sawa zaidi ya watanzania 30 mls wanamiliki simu za mkononi tuzitumie kuchaguana.
 
Kwa style hii lazima Chadema washinde mana vijana wengi wana access ya internet na simu ila hao hao hawawezi Kwenda kupanga foleni kupiga kura, Mm mwnyw tangu nmejiandikisha sijawahi na sitokaa nipige kura.
Baby kanipigie kura nimegombea udiwani kata ya buswelu.
 
1. Kuna uwezekano wa matokeo kuingiliwa...
2. Kuna watu wanaweza kukata mkongo wa taifa unao supply internet

Hitimisho.
Bado hatuna internet ya uhakika
 
Hivi wafrika ni lini tutadhamini muda wetu

Kwenye foleni saa kadhaa eti nasubiri nimpigie diwani kura.

Twendeni na technology inavyotaka watu wapige kura wakiwa nyumbani ofisini

Serikali inapoteza fedha nyingi eti kuweka mawakala waandikishe watu wachague wenyeviti!!!!

Hii SI sawa zaidi ya watanzania 30 mls wanamiliki simu za mkononi tuzitumie kuchaguana.
sasa dunia nzima si ingekua inatumia simu kupiga kura gentleman kuepuka hizo gharama?

kwani mapayonia wa siasa waliposema elections is very expensive process ulidhani wanamaanisha nini?🐒
 
Kama access ya internet tu bado ni changamoto,, kuhusu hili ulilolileta ndo kabisa,, labda miaka 10 mbeleni huko au 20.

But kupanga foleni kweli huwa tunapotezeana mda sana 🤒😎
 
Hivi wafrika ni lini tutadhamini muda wetu

Kwenye foleni saa kadhaa eti nasubiri nimpigie diwani kura.

Twendeni na technology inavyotaka watu wapige kura wakiwa nyumbani ofisini

Serikali inapoteza fedha nyingi eti kuweka mawakala waandikishe watu wachague wenyeviti!!!!

Hii SI sawa zaidi ya watanzania 30 mls wanamiliki simu za mkononi tuzitumie kuchaguana.
Kampuni za simu ni zao hivyo watazoa kura zote hata na zao watasahau watazizoa.
 
Hiyo stage bado sana.

Kukata ticket ya mabasi online tu bado kuna watu hawatumii hyo fursa, kutwa utawaona stand
 
Hivi wafrika ni lini tutadhamini muda wetu

Kwenye foleni saa kadhaa eti nasubiri nimpigie diwani kura.

Twendeni na technology inavyotaka watu wapige kura wakiwa nyumbani ofisini

Serikali inapoteza fedha nyingi eti kuweka mawakala waandikishe watu wachague wenyeviti!!!!

Hii SI sawa zaidi ya watanzania 30 mls wanamiliki simu za mkononi tuzitumie kuchaguana.
Washika tonge hawawezi kukubali
Lakini pia lazima kuwe na sheria husika na miongozo, (guiding principles). Angalizo siyo wapiga kura wote wana smart phone, wengine hata za kawaida hawana, (kitochi)
 
Kwa style hii lazima Chadema washinde mana vijana wengi wana access ya internet na simu ila hao hao hawawezi Kwenda kupanga foleni kupiga kura, Mm mwnyw tangu nmejiandikisha sijawahi na sitokaa nipige kura.
Hehe watashinda kivipi tena, wakati hii ndo itakua mtelezo kwa CCM .....muulizeni Odinga anajua purukushani za kura za kielektronic
 
Kwa style hii lazima Chadema washinde mana vijana wengi wana access ya internet na simu ila hao hao hawawezi Kwenda kupanga foleni kupiga kura, Mm mwnyw tangu nmejiandikisha sijawahi na sitokaa nipige kura.
Ajiraumu sana Mimi kupiga kura yangu 2010 Kisha kikwete akaipora nimeshaapa Kwa mbingu na ardhi sitokaa nipoteze muda wangu.sasa Hivi na utaratibu Huwa naenda kabisa niliko zaliwa najiandikisha huko ambapo Nina uhakika 100% sitaenda kupiga kura pia kuondoa buguza Kwa michawa Huwa nawaambia tu sijajiandikishia huku rafiki yangu nitaenda kijijn kupiga kura .
 
Hivi wafrika ni lini tutadhamini muda wetu

Kwenye foleni saa kadhaa eti nasubiri nimpigie diwani kura.

Twendeni na technology inavyotaka watu wapige kura wakiwa nyumbani ofisini

Serikali inapoteza fedha nyingi eti kuweka mawakala waandikishe watu wachague wenyeviti!!!!

Hii SI sawa zaidi ya watanzania 30 mls wanamiliki simu za mkononi tuzitumie kuchaguana.
US naona watu wengine wanatumiwa karatasi ya kupiga kura kwa njia ya posta anapiga anairudisha kwa njia hiyo hiyo
 
Population yenyewe haijulikani mko wangapi
Wapiga kura wa kubuni
Kuna aina tatu za kupiga kura kwenye nchi nyingi
Kwenda mwenyewe kwenye kituo na kupiga kura.
Kujaza fomu ya kupiga kura kwa posta
Na kupiga kura kwa mtandao
Inataka hela kila kitu na hili ndio tatizo la nchi masikini
Wizi umetamalaki mpaka wengine wanaiba za maendeleo

Leo ukiuliza siku zile 2 au 3 serikali iligharimu kiasi gani kwa polisi kuchunga usalama wa raia na maandamano wataongeza gharama x 3
 
Ajiraumu sana Mimi kupiga kura yangu 2010 Kisha kikwete akaipora nimeshaapa Kwa mbingu na ardhi sitokaa nipoteze muda wangu.sasa Hivi na utaratibu Huwa naenda kabisa niliko zaliwa najiandikisha huko ambapo Nina uhakika 100% sitaenda kupiga kura pia kuondoa buguza Kwa michawa Huwa nawaambia tu sijajiandikishia huku rafiki yangu nitaenda kijijn kupiga kura .
Mm kipindi hicho cha uchaguzi ulinikuta nikiwa Mbeya na ndipo nikajiandikisha, sasa hv sina ht mpango wa kwenda huko Mbeya kwahy mambo ya uchaguzi ndio imetoka hvy
 
Back
Top Bottom