Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Bc kwa namna yoyote ile lazima ccm ishindeHehe watashinda kivipi tena, wakati hii ndo itakua mtelezo kwa CCM .....muulizeni Odinga anajua purukushani za kura za kielektronic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bc kwa namna yoyote ile lazima ccm ishindeHehe watashinda kivipi tena, wakati hii ndo itakua mtelezo kwa CCM .....muulizeni Odinga anajua purukushani za kura za kielektronic
Ccm hatutaki hayo matekinolojia yenu..Hivi wafrika ni lini tutadhamini muda wetu
Kwenye foleni saa kadhaa eti nasubiri nimpigie diwani kura.
Twendeni na technology inavyotaka watu wapige kura wakiwa nyumbani ofisini
Serikali inapoteza fedha nyingi eti kuweka mawakala waandikishe watu wachague wenyeviti!!!!
Hii SI sawa zaidi ya watanzania 30 mls wanamiliki simu za mkononi tuzitumie kuchaguana.
Ajiraumu sana Mimi kupiga kura yangu 2010 Kisha kikwete akaipora nimeshaapa Kwa mbingu na ardhi sitokaa nipoteze muda wangu.sasa Hivi na utaratibu Huwa naenda kabisa niliko zaliwa najiandikisha huko ambapo Nina uhakika 100% sitaenda kupiga kura pia kuondoa buguza Kwa michawa Huwa nawaambia tu sijajiandikishia huku rafiki yangu nitaenda kijijn kupiga kura .mimi siwezi kupoteza Tena muda eti napiga kura no no no
TrueKwa style hii lazima Chadema washinde mana vijana wengi wana access ya internet na simu ila hao hao hawawezi Kwenda kupanga foleni kupiga kura, Mm mwnyw tangu nmejiandikisha sijawahi na sitokaa nipige kura.
TrueMm kipindi hicho cha uchaguzi ulinikuta nikiwa Mbeya na ndipo nikajiandikisha, sasa hv sina ht mpango wa kwenda huko Mbeya kwahy mambo ya uchaguzi ndio imetoka hvy
Ninyi ndio baadae mtadai kura zimeibiwa wakati hamkwenda kujiandikisha.