Itoshe kusema Simba na Yanga ni wadini hasa?

Itoshe kusema Simba na Yanga ni wadini hasa?

Vya kazi gani ndugu,siye funga yetu anaijua aliyejuu 🙏hatuhitaj kupiga mbiu ili kuomba futari 😅😅
Udini upo sana, ila ni kwasababu wakristo hasa wakatoliki ambao ndio wenye ukristo wanaojua maana ya kwaresma wamezubaa tu hatupo strong, ila wenzetu japo hawafungi ile kutoka moyoni kabisa na hawabadiliki matendo wala nini ndio wanaojua promo, ukimgusa kidogo anasingizia ramadan, sisi tupotupo tu.
 
Haya mambo yakifumbiwa macho yatazoeleka na kuonekana ni ya kawaida na kuenea katika sekta zote za umma kana kwamba nchi ni ya kiislam. Upuuzi huu ulikemewa sana miaka ya nyuma hakukuwa na unasibishaji wa dini yoyote katika mambo ya umma. Sasa hivi watu hawana aibu wanashirikisha wenzao katika ibada zao mahali pasipo pake. Mara walishe watu futari, mara chinja isiyoeleweka malengo yake ni nini, ili mradi tu watu wote washirikishwe ibada zao kinamna bila kutumia nguvu. Haya mambo ya dini yalibaki hukohuko wanakoabudia, walipeana salamu zao hukohuko wanakokutania. Ofisi za umma kujazwa ibada za dini fulani huko ni kupotoka na ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa uliojengwa tangu awali na wasisi wa taifa hili
 
Haya mambo yakifumbiwa macho yatazoeleka na kuonekana ni ya kawaida na kuenea katika sekta zote za umma kana kwamba nchi ni ya kiislam. Upuuzi huu ulikemewa sana miaka ya nyuma hakukuwa na unasibishaji wa dini yoyote katika mambo ya umma. Sasa hivi watu hawana aibu wanashirikisha wenzao katika ibada zao mahali pasipo pake. Mara walishe watu futari, mara chinja isiyoeleweka malengo yake ni nini, ili mradi tu watu wote washirikishwe ibada zao kinamna bila kutumia nguvu. Haya mambo ya dini yalibaki hukohuko wanakoabudia, walipeana salamu zao hukohuko wanakokutania. Ofisi za umma kujazwa ibada za dini fulani huko ni kupotoka na ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa uliojengwa tangu awali na wasisi wa taifa hili
Umeulizwa huku Chelsea dini gani
JamiiForums1344207464.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unashangaa nini kama wasemaji wao tu ni wa dini hiyo? Lazima wajitoe ufahamu wadhani club hizo zimejaa wenyewe tu wa dini hiyo. Haya mambo ya dini yameanza kushamiri sana kwenye mambo ya umma tofauti na miaka ya nyuma ilikuwa ni upuuzi kuonesha vimelea vya dini fulani kwenye ofisi au vyombo vya umma vya nchi ambayo inajinasibu haiongozwi kwa misingi ya dini. Siku hizi unakuta vyombo vya habari vya umma vimejazwa vipindi vyenye maudhui ya dini fulani kutamalaki kana kwamba tayari nchi ni ya dini hiyo
Si tulikubaliana kuwa sisi hatuna mambo ya kulalamika na hiyo ni comupleksi inferiority ?
 
Najua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli

Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema

Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Itoshe kusema mtoa mada ni mchache wa kufuatilia mambo

Hlf jibu swali uloulizwa kwaresma umefunga ngapi?

Chukua na hii mtoa mada
Screenshot_20230323-173757_WhatsApp.jpg
 
Kuwaza chakula utakula saa ngapi kwa muda wa siku 30 🤣. Kupanga maakuli kila jua likizama huku roho yako ikiwa nyeusi kama kawaida. Yani ni fursa ya kulakula hovyo baada ya jua kuzama. Focus ni kula. Sio mabadiliko ya kiroho, kula.
Hahahah umeuaaa 😅mpatie uji wa pilipili manga yule pale bakuli lijae 😅😅
 
Najua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli

Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema

Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Lkn nyiny kwann wawatakie kwaresma wkt kila siku mnajigamba hapa kwamba kwaresma yenu hatakiw mtu ajue kama mnafunga, wala hamtakiw kua maonesho.
 
Najua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli

Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema

Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Tuwe wakweli, wachezaji wengi ni waislam hata wafadhili wa mpira ni waislam!
 
Haya mambo yakifumbiwa macho yatazoeleka na kuonekana ni ya kawaida na kuenea katika sekta zote za umma kana kwamba nchi ni ya kiislam. Upuuzi huu ulikemewa sana miaka ya nyuma hakukuwa na unasibishaji wa dini yoyote katika mambo ya umma. Sasa hivi watu hawana aibu wanashirikisha wenzao katika ibada zao mahali pasipo pake. Mara walishe watu futari, mara chinja isiyoeleweka malengo yake ni nini, ili mradi tu watu wote washirikishwe ibada zao kinamna bila kutumia nguvu. Haya mambo ya dini yalibaki hukohuko wanakoabudia, walipeana salamu zao hukohuko wanakokutania. Ofisi za umma kujazwa ibada za dini fulani huko ni kupotoka na ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa uliojengwa tangu awali na wasisi wa taifa hili
@LOTH HEMA unateseka ukiwa wapi??? Huna kumbukumbu au hutumii smartphone
Mbona Christmas ikikaribia miezi miwili kabla ni promo Kila sehemu Hilo nalo hulioni Kila mwaka??? Yan Simba na yanga kuweka hivyo tu ni nongwa???

Mbona clubs kubwa tu Duniani zimeandika ramadhani mubaraka?? Real Madrid ,Chelsea ,Liverpool

Hizo nazo zipo bias na uislamu???

Acheni roho za kwann basi wenzetu .hata kama mna chuki zenu jaribu kuzificha kwanza basi ,sisi tumechoka kusema Kila siku kuwajibu nyinyi

Acheni upuuzi na vitu vidogo vidogo.
 
Kwaresma sio mfumo wa wakristo wote, ni sehemu tu ya wakristo.

Krismas na pasaka ndio hua sherehe inayowajumlisha wakristo wengi zaidi ingawa sio wote ndio maana hizo hupewa kipaumbele kidogo.

Ramadhani ni mfungo ama ishu inayohusu waislamu wote ndio maana inapewa kipaumbele.

Mwisho, dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo na kama alikuwepo alishakufa siku nyingi sana huko nyuma.
 
MANCHESTER UTD, BARCA, LIVERPOOL, AC MILAN, REAL MADRID kama umeona wametoa heri ya Kwaresma niite mbwa nimekaa paleeeeee.

Wakristo mnaichukulia KWARESMA kama kitu cha kawaida na hamkipi uzito kuzidi BIRTHDAY YA YESU na KIFO cha YESU.
 
Back
Top Bottom