Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Vitu vyote ni mali ya BwanaHahhahahahaa...tufahamiane kimjini mjini tu ...
acha tu mama😂😌Unamaisha yakutia huzuni sana kwa kipindi hiki cha mpito😅😅😅
yaaani natia huruma😫Asee, hata bae!!
Basi yaishe mrembo usije kulia bure utaratibu utabadilika sasa..😅Siwezi kukuzoea kuendelea kutumia maneno ambayo yanauchukiza moyo wangu.namaanisha
Hivi ukizeeka, huruhusiwi Tena kuvaa nightdress?Bora wewe unajiandaa kulala .Niko kitandani na Dera langu hapa😀! Naskiza mahubiri😆
🤣🤣🤣🤣Hivi ukizeeka, huruhusiwi Tena kuvaa nightdress?
Maana wazee wana vituko, mwingine usiku ukiingia ndio huwa muda wake wa kuvaa kaniko nyeusi , mwingine huvaa Ngozi ya fisi, mwingine hujifunga mavitambaa mekundu... Shida ni Nini jamani wazee wenzangu?
thanks darling 😍Pole sana lovie
Sanaaa🤣🤣
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]weee dada kabisaaaah?Najiandaa kwenda dar laivu kumuona mzee Yusuf [emoji41]
😂😂😂😂😂 Ndiyoooo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]weee dada kabisaaaah?
Nipe mrejesho sasa jamaniih, ilikuaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndiyoooo
Dah...nami siachi kukesha kusali na kuomba ili ufanikiwe mkuu..sisi ni ndugu.....tuko pamoja [emoji2960]Wangari Maathai sala na d u a zangu nipate namba yako tu. Namba ya nyumba
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Enzi zangu nakumbukia nilikua nalala na kabukta...juu katop Fulani...khaaa umri na majukumu yanavonisonga najikuta nalala na manguo kma naenda msibani...au maiti kbs!yaani uzee ni janga ...enzi Hizo unaskiza Nigerian songs huku unakaanga tumayai umpe mume Sasa hivi ni radio ya dini 24/7 ukisikia mahubiri unaongeza sauti kbs..na nyimbo za kurudi kwa Yesu full kutishwa🤸🤸🤸🤧🤧!Hivi ukizeeka, huruhusiwi Tena kuvaa nightdress?
Maana wazee wana vituko, mwingine usiku ukiingia ndio huwa muda wake wa kuvaa kaniko nyeusi , mwingine huvaa Ngozi ya fisi, mwingine hujifunga mavitambaa mekundu... Shida ni Nini jamani wazee wenzangu?