Its Confirmed: Mourinho will be MAN UTD Manager

Its Confirmed: Mourinho will be MAN UTD Manager

Nashàuri afanye mikutano mikubwa ya kikanda...aachane na mikutano midogomidogo,apige dar,arusha,mwanza,dodoma,kila mkutano uwe na ajenda kuu.
..na irushwe ITV ili wale ambao hawajafika waweze kuona...
Masuala ya
 
Lowasa twende kazi baba, watu tunataka matumaini. Hii cd ya majipu inascratch.
 
Akifika mkutanoni swali la kwanza....mmekunywa chaiiiiii ndugu wananchiiiiiiii
 
Mwaka 2018.....wananchi mmeshaona hata kiwanda kimojaaaaaa......
 
Nimeikumbuka ile hadithi ya mlinzi wa kimakonde,ukikimbia nchale na ukisimama nchale sasa sijui utafanyaje
 
CCM na UVCCM matumbo joto, kama miezi miwili tu aliwawezesha ukawa kupata ushindi mkubwa sasa wakati huu akianza mapema itakuwaje
 
Na akimaliza tu ziara sukari lazima ishuke bei. You go go kipenzi cha watanzania.
 
Kwa tafakuri yangu binafsi,napata shida kuamini kuwa kwa mifumo yetu na katiba yetu ya sasa upinzani kuchukua nchi ni ndoto za mchana,kuingia kwenye uchaguzi chini ya tume hii ya uchaguzi,na sheria hizi zilizopo ambazo zinatoa fursa ya tume kumtangaza mshindi,(iwe ndiye mshindi au lah),tume hii hii ambayo kama ikionenekana upinzani unaelekea kuchukua dola WANAFUTA MCHAKATO MZIMA WA UCHAGUZI na kuanza upya,Sina imani kama upinzani wanaweza kuchukua dola.
Ushauri wangu,pamoja na kukijenga chama kwa nguvu zote,iende sambamba na kudai katiba mpya itakayojenga misingi imara ya taasisi hizi nyeti,(Tume huru kabisa ya uchaguzi,pamoja na kuvifanya vyombo vya dola kuwa free and neutral figures wakati wa uchaguzi) ili waweze kufanya kazi pasipo kuegemea upande wowote wa wagombea.
Lakini kama tukibaki katika mfumo HUU wa sasa,hata kama upinzani utapata asilimia 80,na CHICHIEM wakapata 20,bado CCM watatangazwa kuwa washindi,na hakuna kitakachotokea zaidi ya raia kulia lia tu,kitu ambacho kimsingi hakisaidii hata kidogo.
Good reference ni ZANZIBAR!!!

nakubaliana na wewe 100 kwa 100
 
Uko kwenu mnakunywa maji ya kilimanjaro tu? make inaonekana hamna matatizo kabisa ya kijamii....au nyie kwenu siasa ni uadui!
KW hyo suluhisho la matatizo yetu ndo lowassa em kuwa serious kidogo
Umewahi fika monduli ukajionea hali ikoje Kule kW kiongizi wa mabadiliko??
Shda ya maji
Barabara mbovu kwa mfano kutoka Monduli MJINI hadi Engaruka juu nauli ni sh 30,000/= na ni ndani ya wilaya moja

Lepurk,serera,irkisale,mswakini no kata zpo kule hawajui chochote kuhusu maji safi wala umeme na Huyo lowassa kawa mbunge kwa zaidi ya miaka 20

Sasa kama jimbo dogo kama LA monduli lenye Kata 20 tu kashindwa kupeleka changes VP nchi nzma??

Shtuka ww
 
Sijui safari hii ataongeza dakika za kuzungumza?
 
Back
Top Bottom