lugoda12
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 276
- 574
Pichani ni Manchester Derby iliyopigwa mwaka 1947. 🤝
Siku zote mechi hii ya mahasimu wa Jiji la Manchester haijawahi kuwa ya kitoto kabisa. Mechi iliyopita iliisha kwa Manchester City kupata ushindi mnene wa mabao 6 - 3 pale Etihad.
Leo wanakutana tena Pale Old Trafford "Ngome Kongwe" huku Manchester United wakiwa wameimarika pia. Kutakua na vita Kali katikati ya Uwanja viungo Bora kabisa kwa timu zote mbili Casemiro, Bruno Fernandes, Eriksen kwa upande wa Manchester United huku Manchester City wakiwa na mwamba Kevin Debruyne, Ilkay Gundogan pamoja Rodri.
Kwenye eneo la ushambuliaji Erling Haaland pamoja na Marcus Rashford wanatazamiwa kufanya makubwa kwenye mchezo huu.
Siku zote mechi hii ya mahasimu wa Jiji la Manchester haijawahi kuwa ya kitoto kabisa. Mechi iliyopita iliisha kwa Manchester City kupata ushindi mnene wa mabao 6 - 3 pale Etihad.
Leo wanakutana tena Pale Old Trafford "Ngome Kongwe" huku Manchester United wakiwa wameimarika pia. Kutakua na vita Kali katikati ya Uwanja viungo Bora kabisa kwa timu zote mbili Casemiro, Bruno Fernandes, Eriksen kwa upande wa Manchester United huku Manchester City wakiwa na mwamba Kevin Debruyne, Ilkay Gundogan pamoja Rodri.
Kwenye eneo la ushambuliaji Erling Haaland pamoja na Marcus Rashford wanatazamiwa kufanya makubwa kwenye mchezo huu.