It's not them,it's not us:majukumu yanavyoondoka na wives and mothers katika familia zetu

It's not them,it's not us:majukumu yanavyoondoka na wives and mothers katika familia zetu

toobiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2017
Posts
1,309
Reaction score
2,577
Ni saa 9:00 alasiri nakaribishwa na mwanamke ndani ya basi la AN COACH.
anatabasamu na kunikatia tiketi kwa adabu na heshima na anaonyesha weledi mkubwa kwa kazi yake.

Kwa haraka anaonekana kuwa kwenye miaka 26-30.umbo lake linaonyesha ana watoto wawili au Mmoja na amevaa Pete kidoleni ikiwa ni ishara kwamba ana ndoa.

Navutiwa na haiba yake kuliko umbo lake maana namuona alivyo siriaz na haiba yake inatoa taarifa nyingi kuliko sauti yake.ni wale wanawake ambao ukiwaona kwa macho unapata Ile sense ya combination ya mother &wife in one person.nafurahi na pia napata huzuni,hizi tunaita hisia mchanganyiko.
Wakati nawaza huku nimekaa kwenye siti yangu na headphones zangu mara naingia kwenye playlist yangu nakuanza kumsikiliza Beyonce na wimbo wake wa "if I were a boy"nakasirishwa na maneno ya Beyonce na pia naliwazwa na sauti ya Beyonce.Hisia mchanganyiko.

Wakati safari ikiwa imekolea mara namuona yule dada aliyenikatia tiketi anatoa simu Kisha anaikazia macho kwa tabasamu.natamani kujua anaangalia nini maana sura yake ilikuwa Ina tabasamu la furaha na huzuni.hisia mchanganyiko hizi!!!. Naamka kidogo najinyoosha maana shingo ilianza kuchoka na kwa bahati mbaya au nzuri nabahatika kuona anachoangalia yule dada kwenye simu.ni picha ya familia ikiwa na sura ya mwanaume,mwanamke na mtoto mdogo.mwanamke aliyeko kwenye picha ni yule dada wa tiketi.

Ghafla napata ufunuo wa hisia mchanganyiko zilizoko kwenye sura ya yule dada wa tiketi.sura ya mme bila shaka inamkumbusha wajibu wake kama mke na sura ya mtoto inamkumbusha wajibu wake kama mama.muda huo kikanuni ilipaswa awe nyumbani akiwa na taarifa kamili familia imekula Nini,imevaa nini,imekunywa nini na Iko wapi.njia pekee aliyonayo nikupata taarifa kwa simu tu.huzuni kwa kuwa mbali na familia pia furaha kwa kuingiza kipato.


Je alaumiwe?hapana
Je mume alaumiwe ?hapana.dada anaungana na mamilioni ya wanawake duniani ambao wameamua kuacha majukumu ya mke na mama Kisha wameamua kupambania familia zao na ndoto zao.jambo zuri kabisa.

tulizoea tukifika stand makondakta na wapiga debe ni wanaume ila kwasasa kuna wadada kibao na ukiwaangalia wanafamilia.
Sokoni wamejaa
Migodini wamejaa
Kwenye magari wamejaa
Maofisini wamejaa
Kwenye vyombo vya usafiri vya maji na anga wamejaa na kote huko wanafanya kazi kwa masaa 10+.

Wanaleta pesa mezani,wanatusaidia kumudu familia ila we are loosing wives and mothers but left with women so sad and happy.

Watoto wanalelewa kwenye daycare na EMS.
Watoto wana hisia na walimu wao na house girls kuliko mama zao.
Namwangalia huyu dada ana tabasamu Pana wakati anaangalia picha ya mume na mtoto wake ila hana furaha.hisia mchanganyiko.


It's not them,it's not us; wives and mothers are living our home in the name of WORK AND RESPONSIBILITY.we are left with women.

Nini maoni yako?
 
Tumekuwa wepesi sana kuipokea na kuifanyia kazi dhana ya usawa wa kijinsia na hii ndio itatusumbua sana. Walioleta hii dhana wao huko kwao wameamua kurudi nyuma sisi tunazidi kusonga mbele kama kuku waliokatwa vichwa.
Na hapa ndipo walipotuacha,
Ni kama hatujui kinachofuata,
Jamii inaona ila inaogopa kusema,


Wanawake kwasasa wako cash oriented kuliko kuwa family oriented.tatizo hilo
 
Toka mwanzo nature ilimweka mwanamke kuwa mama na mke na hiyo ndo ilikuwa nafasi yake.

Family growth and moral welthness iliangaliwa kwa karibu na mama.
 
wanasema mfumo dume ulikuwa unawakandamiza, wameamua kuufuta waanzishe mfumo jike
 
Ni saa 9:00 alasiri nakaribishwa na mwanamke ndani ya basi la AN COACH.
anatabasamu na kunikatia tiketi kwa adabu na heshima na anaonyesha weledi mkubwa kwa kazi yake.

Kwa haraka anaonekana kuwa kwenye miaka 26-30.umbo lake linaonyesha ana watoto wawili au Mmoja na amevaa Pete kidoleni ikiwa ni ishara kwamba ana ndoa.

Navutiwa na haiba yake kuliko umbo lake maana namuona alivyo siriaz na haiba yake inatoa taarifa nyingi kuliko sauti yake.ni wale wanawake ambao ukiwaona kwa macho unapata Ile sense ya combination ya mother &wife in one person.nafurahi na pia napata huzuni,hizi tunaita hisia mchanganyiko.
Wakati nawaza huku nimekaa kwenye siti yangu na headphones zangu mara naingia kwenye playlist yangu nakuanza kumsikiliza Beyonce na wimbo wake wa "if I were a boy"nakasirishwa na maneno ya Beyonce na pia naliwazwa na sauti ya Beyonce.Hisia mchanganyiko.

Wakati safari ikiwa imekolea mara namuona yule dada aliyenikatia tiketi anatoa simu Kisha anaikazia macho kwa tabasamu.natamani kujua anaangalia nini maana sura yake ilikuwa Ina tabasamu la furaha na huzuni.hisia mchanganyiko hizi!!!. Naamka kidogo najinyoosha maana shingo ilianza kuchoka na kwa bahati mbaya au nzuri nabahatika kuona anachoangalia yule dada kwenye simu.ni picha ya familia ikiwa na sura ya mwanaume,mwanamke na mtoto mdogo.mwanamke aliyeko kwenye picha ni yule dada wa tiketi.

Ghafla napata ufunuo wa hisia mchanganyiko zilizoko kwenye sura ya yule dada wa tiketi.sura ya mme bila shaka inamkumbusha wajibu wake kama mke na sura ya mtoto inamkumbusha wajibu wake kama mama.muda huo kikanuni ilipaswa awe nyumbani akiwa na taarifa kamili familia imekula Nini,imevaa nini,imekunywa nini na Iko wapi.njia pekee aliyonayo nikupata taarifa kwa simu tu.huzuni kwa kuwa mbali na familia pia furaha kwa kuingiza kipato.


Je alaumiwe?hapana
Je mume alaumiwe ?hapana.dada anaungana na mamilioni ya wanawake duniani ambao wameamua kuacha majukumu ya mke na mama Kisha wameamua kupambania familia zao na ndoto zao.jambo zuri kabisa.

tulizoea tukifika stand makondakta na wapiga debe ni wanaume ila kwasasa kuna wadada kibao na ukiwaangalia wanafamilia.
Sokoni wamejaa
Migodini wamejaa
Kwenye magari wamejaa
Maofisini wamejaa
Kwenye vyombo vya usafiri vya maji na anga wamejaa na kote huko wanafanya kazi kwa masaa 10+.

Wanaleta pesa mezani,wanatusaidia kumudu familia ila we are loosing wives and mothers but left with women so sad and happy.

Watoto wanalelewa kwenye daycare na EMS.
Watoto wana hisia na walimu wao na house girls kuliko mama zao.
Namwangalia huyu dada ana tabasamu Pana wakati anaangalia picha ya mume na mtoto wake ila hana furaha.hisia mchanganyiko.


It's not them,it's not us; wives and mothers are living our home in the name of WORK AND RESPONSIBILITY.we are left with women.

Nini maoni yako?
Deep thinking
 
Tumekuwa wepesi sana kuipokea na kuifanyia kazi dhana ya usawa wa kijinsia na hii ndio itatusumbua sana. Walioleta hii dhana wao huko kwao wameamua kurudi nyuma sisi tunazidi kusonga mbele kama kuku waliokatwa vichwa.
Kuna nchi iliyoendelea inazuia wanawake kufanya kazi?
 
Ina
Ni saa 9:00 alasiri nakaribishwa na mwanamke ndani ya basi la AN COACH.
anatabasamu na kunikatia tiketi kwa adabu na heshima na anaonyesha weledi mkubwa kwa kazi yake.

Kwa haraka anaonekana kuwa kwenye miaka 26-30.umbo lake linaonyesha ana watoto wawili au Mmoja na amevaa Pete kidoleni ikiwa ni ishara kwamba ana ndoa.

Navutiwa na haiba yake kuliko umbo lake maana namuona alivyo siriaz na haiba yake inatoa taarifa nyingi kuliko sauti yake.ni wale wanawake ambao ukiwaona kwa macho unapata Ile sense ya combination ya mother &wife in one person.nafurahi na pia napata huzuni,hizi tunaita hisia mchanganyiko.
Wakati nawaza huku nimekaa kwenye siti yangu na headphones zangu mara naingia kwenye playlist yangu nakuanza kumsikiliza Beyonce na wimbo wake wa "if I were a boy"nakasirishwa na maneno ya Beyonce na pia naliwazwa na sauti ya Beyonce.Hisia mchanganyiko.

Wakati safari ikiwa imekolea mara namuona yule dada aliyenikatia tiketi anatoa simu Kisha anaikazia macho kwa tabasamu.natamani kujua anaangalia nini maana sura yake ilikuwa Ina tabasamu la furaha na huzuni.hisia mchanganyiko hizi!!!. Naamka kidogo najinyoosha maana shingo ilianza kuchoka na kwa bahati mbaya au nzuri nabahatika kuona anachoangalia yule dada kwenye simu.ni picha ya familia ikiwa na sura ya mwanaume,mwanamke na mtoto mdogo.mwanamke aliyeko kwenye picha ni yule dada wa tiketi.

Ghafla napata ufunuo wa hisia mchanganyiko zilizoko kwenye sura ya yule dada wa tiketi.sura ya mme bila shaka inamkumbusha wajibu wake kama mke na sura ya mtoto inamkumbusha wajibu wake kama mama.muda huo kikanuni ilipaswa awe nyumbani akiwa na taarifa kamili familia imekula Nini,imevaa nini,imekunywa nini na Iko wapi.njia pekee aliyonayo nikupata taarifa kwa simu tu.huzuni kwa kuwa mbali na familia pia furaha kwa kuingiza kipato.


Je alaumiwe?hapana
Je mume alaumiwe ?hapana.dada anaungana na mamilioni ya wanawake duniani ambao wameamua kuacha majukumu ya mke na mama Kisha wameamua kupambania familia zao na ndoto zao.jambo zuri kabisa.

tulizoea tukifika stand makondakta na wapiga debe ni wanaume ila kwasasa kuna wadada kibao na ukiwaangalia wanafamilia.
Sokoni wamejaa
Migodini wamejaa
Kwenye magari wamejaa
Maofisini wamejaa
Kwenye vyombo vya usafiri vya maji na anga wamejaa na kote huko wanafanya kazi kwa masaa 10+.

Wanaleta pesa mezani,wanatusaidia kumudu familia ila we are loosing wives and mothers but left with women so sad and happy.

Watoto wanalelewa kwenye daycare na EMS.
Watoto wana hisia na walimu wao na house girls kuliko mama zao.
Namwangalia huyu dada ana tabasamu Pana wakati anaangalia picha ya mume na mtoto wake ila hana furaha.hisia mchanganyiko.


It's not them,it's not us; wives and mothers are living our home in the name of WORK AND RESPONSIBILITY.we are left with women.

Nini maoni yako?
Fikirisha kwa kweli! Sijui kwa nini nimehuzunika!
 
Na hapa ndipo walipotuacha,
Ni kama hatujui kinachofuata,
Jamii inaona ila inaogopa kusema,


Wanawake kwasasa wako cash oriented kuliko kuwa family oriented.tatizo hilo
Wenzetu wanafanya sana tafiti na kuandika vitabu juu ya haya masuala ila sisi tunaandika kauli mbiu mpya kila maadhimisho. Tunandalia vijana wajao mazingira magumu sana yakuunda familia. No wonder kuna kataa ndoa
 
Ni saa 9:00 alasiri nakaribishwa na mwanamke ndani ya basi la AN COACH.
anatabasamu na kunikatia tiketi kwa adabu na heshima na anaonyesha weledi mkubwa kwa kazi yake.

Kwa haraka anaonekana kuwa kwenye miaka 26-30.umbo lake linaonyesha ana watoto wawili au Mmoja na amevaa Pete kidoleni ikiwa ni ishara kwamba ana ndoa.

Navutiwa na haiba yake kuliko umbo lake maana namuona alivyo siriaz na haiba yake inatoa taarifa nyingi kuliko sauti yake.ni wale wanawake ambao ukiwaona kwa macho unapata Ile sense ya combination ya mother &wife in one person.nafurahi na pia napata huzuni,hizi tunaita hisia mchanganyiko.
Wakati nawaza huku nimekaa kwenye siti yangu na headphones zangu mara naingia kwenye playlist yangu nakuanza kumsikiliza Beyonce na wimbo wake wa "if I were a boy"nakasirishwa na maneno ya Beyonce na pia naliwazwa na sauti ya Beyonce.Hisia mchanganyiko.

Wakati safari ikiwa imekolea mara namuona yule dada aliyenikatia tiketi anatoa simu Kisha anaikazia macho kwa tabasamu.natamani kujua anaangalia nini maana sura yake ilikuwa Ina tabasamu la furaha na huzuni.hisia mchanganyiko hizi!!!. Naamka kidogo najinyoosha maana shingo ilianza kuchoka na kwa bahati mbaya au nzuri nabahatika kuona anachoangalia yule dada kwenye simu.ni picha ya familia ikiwa na sura ya mwanaume,mwanamke na mtoto mdogo.mwanamke aliyeko kwenye picha ni yule dada wa tiketi.

Ghafla napata ufunuo wa hisia mchanganyiko zilizoko kwenye sura ya yule dada wa tiketi.sura ya mme bila shaka inamkumbusha wajibu wake kama mke na sura ya mtoto inamkumbusha wajibu wake kama mama.muda huo kikanuni ilipaswa awe nyumbani akiwa na taarifa kamili familia imekula Nini,imevaa nini,imekunywa nini na Iko wapi.njia pekee aliyonayo nikupata taarifa kwa simu tu.huzuni kwa kuwa mbali na familia pia furaha kwa kuingiza kipato.


Je alaumiwe?hapana
Je mume alaumiwe ?hapana.dada anaungana na mamilioni ya wanawake duniani ambao wameamua kuacha majukumu ya mke na mama Kisha wameamua kupambania familia zao na ndoto zao.jambo zuri kabisa.

tulizoea tukifika stand makondakta na wapiga debe ni wanaume ila kwasasa kuna wadada kibao na ukiwaangalia wanafamilia.
Sokoni wamejaa
Migodini wamejaa
Kwenye magari wamejaa
Maofisini wamejaa
Kwenye vyombo vya usafiri vya maji na anga wamejaa na kote huko wanafanya kazi kwa masaa 10+.

Wanaleta pesa mezani,wanatusaidia kumudu familia ila we are loosing wives and mothers but left with women so sad and happy.

Watoto wanalelewa kwenye daycare na EMS.
Watoto wana hisia na walimu wao na house girls kuliko mama zao.
Namwangalia huyu dada ana tabasamu Pana wakati anaangalia picha ya mume na mtoto wake ila hana furaha.hisia mchanganyiko.


It's not them,it's not us; wives and mothers are living our home in the name of WORK AND RESPONSIBILITY.we are left with women.

Nini maoni yako?
Una Atlanta kubwa sana ya kusimulia
 
Zipo nyingi tu, Uingereza kwa mfano mwanamke halipwi mshahara sawa na mwanaume kwa kazi ile ile moja. Na hao wanakuletea masuala ya usawa wa kijinsia Afrika.
pay gap haimaanishi wanawake hawafanyi kazi, inamaanisha hawapo sana kwenye taaluma ngumu.
 
Tumekuwa wepesi sana kuipokea na kuifanyia kazi dhana ya usawa wa kijinsia na hii ndio itatusumbua sana. Walioleta hii dhana wao huko kwao wameamua kurudi nyuma sisi tunazidi kusonga mbele kama kuku waliokatwa vichwa.
Africans we are doomed and heading for a great failure with our future grandchildren. Nikiona muda huu namna hawa wanaharakati uchwara na makomwe yao namna wanashupalia utoto umewajaa vichwani naona kabisa kama jamii hakuna tunachokielewa kuhusu yanayokuja baadae.

Ila laiti kama watu wangekuwa wanafuatilia madhara ya huo mfumo wa kis*ng* wa kusema mwanaume na mwanamke ni sawa, nadhani wangekuwa wanawatukana matusi ya nguoni.
 
Na hapa ndipo walipotuacha,
Ni kama hatujui kinachofuata,
Jamii inaona ila inaogopa kusema,


Wanawake kwasasa wako cash oriented kuliko kuwa family oriented.tatizo hilo
Watu wanachukulia poa sana lakini hii kitu itakuja kuwa na madhara makubwa sana kiuchumi level ya taifa, madhara makubwa eneo la ustawi wa jamii especially kwenye gender roles,ona sasa mashoga wanavyoongezeka kwa kasi na watoto wa kike kuwa full time wadangaji.
 
wanasema mfumo dume ulikuwa unawakandamiza, wameamua kuufuta waanzishe mfumo jike
Waulize sasa mfumo dume ni kitu gani na unafanyaje shida wanaanza kukutajia changamoto za kijamii huku wakimlaumu mwanaume.

Then wageuzie kibao waulize,sasa hivi mnatoka majumbani, watoto wanalawitiwa na kubakwa, mimba za utotoni zimeongezeka, tabia za watoto ni mbaya sana,mnazaa bila Ndoa, usaliti na magonjwa ya zinaa vinaongezeka kwa kasi,je hizi ndio faida za kutokuwapo mfumo dume, utaona wanavyohangaika kujibu kama bata anataka kutaga
 
Kuna nchi iliyoendelea inazuia wanawake kufanya kazi?
Huko UK, marekani kuna trend imeanza sasa ya wanawake kuacha kazi na kuridhia kukaa nyumbani kufanya full time motherhood na kuwa housewives na kufanya kazi za part time au work from home.

Wanajiita traditional wives. Ukiingia tweeter wana page zao kabisa wana document life style mpya.

Shida wanaume wameshakuwa demoralized kuwa viongozi wa familia wanawakwepa. Wanaume wa kiafrika ndio kidogo wanawezana nao.

Saa hii ukienda huko Western most countries ukijichanganya kupata mke wa kukaa nyumbani wa kizungu ni dakika tano. Uwe tu financially stable kulea familia.

Kuna jamaa ni mnaigeria yeye ni dereva wa maroli ukimuona mke wake unaweza sema jamaa mchawi. Pisi moja kali balaa ya kizungu ipo full time home.

Wazungu wajanja sana. Wanawapeni limfumo nyie mnaliparamia halafu wakiona halifai hawawashtui wao wanabadili gear kimya kimya wanaanza kubadilika wanakuachia jumba bovu.

Ndicho kinachokwenda kutokea.
 
Back
Top Bottom