- Walisema mfumo dume uliwakandamiza japo MUNGU alimweka mwanaume awe kiongozi. Wamekiuka wanafata NEW WORLD ORDER.
- Kizazi kinaenda kukoswa MAADILI koz kinalelewa na bint wa kaz, walimu na kinajichunga chenyew, hakina wa kukionya mwenye kukijenga vizur ni mzazi mwenyew haswa MAMA.
~ humohumo tunapata mashoga, vibaka na wezi, watu wa hovyo, jamii ya hovyo isiyojitambua haina msingi mzur wa malez mazuri.
N:B
* shetan na MUNGU wanapiga KAMPENI wanawake mstuke. mlud kweny nafas yenu. jamii inaanza kubadilishwa na MAMA