It's not them,it's not us:majukumu yanavyoondoka na wives and mothers katika familia zetu

It's not them,it's not us:majukumu yanavyoondoka na wives and mothers katika familia zetu

Wenzetu wanafanya sana tafiti na kuandika vitabu juu ya haya masuala ila sisi tunaandika kauli mbiu mpya kila maadhimisho. Tunandalia vijana wajao mazingira magumu sana yakuunda familia. No wonder kuna kataa ndoa
True
 
pay gap haimaanishi wanawake hawafanyi kazi, inamaanisha hawapo sana kwenye taaluma ngumu.
Studies zipo na wamewabaini kuwa kuna sehemu hawafiti kwasababu wameingia kwa msukumo wa kampeni za haki sawa na sio wao kumudu majukumu.

Au unaelewa vipi mjadala wa pay gap?
 
Wenzetu wanafanya sana tafiti na kuandika vitabu juu ya haya masuala ila sisi tunaandika kauli mbiu mpya kila maadhimisho. Tunandalia vijana wajao mazingira magumu sana yakuunda familia. No wonder kuna kataa ndoa
Hatuko siriaz na mambo ya msingi.
Wadada wanageuka kuwa wanaume kiakili na kihisia.

Uanamke ni more psychology than physical
 
Nasoma title ya uzi natabasamu naanza kuisoma yaliyomo napata huzuni hisia mchanganyiko!
Naanza kuandika reply natabasamu nakumbuka hii huenda ni chai napagawa hisia mchanganyiko!
Hahaaaaa jf bhana
 
Zipo nyingi tu, Uingereza kwa mfano mwanamke halipwi mshahara sawa na mwanaume kwa kazi ile ile moja. Na hao wanakuletea masuala ya usawa wa kijinsia Afrika.
Asichojua wazungu wanaanzisha ujinga,tunaiga ujinga,wao wanaacha ujinga na wanatuhimiza na kutusimamia tuendelee na ujinga
 
  • Walisema mfumo dume uliwakandamiza japo MUNGU alimweka mwanaume awe kiongozi. Wamekiuka wanafata NEW WORLD ORDER.
  • Kizazi kinaenda kukoswa MAADILI koz kinalelewa na bint wa kaz, walimu na kinajichunga chenyew, hakina wa kukionya mwenye kukijenga vizur ni mzazi mwenyew haswa MAMA.
~ humohumo tunapata mashoga, vibaka na wezi, watu wa hovyo, jamii ya hovyo isiyojitambua haina msingi mzur wa malez mazuri.

N:B
* shetan na MUNGU wanapiga KAMPENI wanawake mstuke. mlud kweny nafas yenu. jamii inaanza kubadilishwa na MAMA.
Naandika kwa huzun pia upendo, HISIA MCHANGANYIKO
 
Africans we are doomed and heading for a great failure with our future grandchildren. Nikiona muda huu namna hawa wanaharakati uchwara na makomwe yao namna wanashupalia utoto umewajaa vichwani naona kabisa kama jamii hakuna tunachokielewa kuhusu yanayokuja baadae.

Ila laiti kama watu wangekuwa wanafuatilia madhara ya huo mfumo wa kis*ng* wa kusema mwanaume na mwanamke ni sawa, nadhani wangekuwa wanawatukana matusi ya nguoni.
Maslahi kaka
Maslahi mkuu


Tunaangamia taratibu sana mkuu
 
  • Walisema mfumo dume uliwakandamiza japo MUNGU alimweka mwanaume awe kiongozi. Wamekiuka wanafata NEW WORLD ORDER.
  • Kizazi kinaenda kukoswa MAADILI koz kinalelewa na bint wa kaz, walimu na kinajichunga chenyew, hakina wa kukionya mwenye kukijenga vizur ni mzazi mwenyew haswa MAMA.
~ humohumo tunapata mashoga, vibaka na wezi, watu wa hovyo, jamii ya hovyo isiyojitambua haina msingi mzur wa malez mazuri.

N:B
* shetan na MUNGU wanapiga KAMPENI wanawake mstuke. mlud kweny nafas yenu. jamii inaanza kubadilishwa na MAMA
Kuna kale kamsemo ka

"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"


Maarifa yameondoka sasa tunaangamia
 
Back
Top Bottom