toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,309
- 2,577
- Thread starter
- #41
Tunamuinua mwanamke kwa kumuangusha mwanaume.So unakubali changamoto za kisasa unakataa za kale huoni kama wewe ni sehemu ya tatizo?🤔
Yaani unakemea unyanyasaji wa wanawake at the expense ya wanaume,jamii nzima,watoto,na future ya taifa na entire black race kwa ujumla?
Yajayo yanafurahisha na kuhuzunisha