Its Official: Polygamy is the law of the Land.

Its Official: Polygamy is the law of the Land.

:hat:Hiyo sheria imekaa poa sana aisee,hata huku TANZANIA inabidi 2iapply,maana,wanawake huku wajifanya wako juu sana kwa ajili ya yale mambo ya BEIJING!!matokeo yake wanawake sasa wawapa shida sana wanaume,,hata unyumba wa2 wanapewa kwa ratiba maalum.....BACK TO NATURE!!!
 
:hat:Hiyo sheria imekaa poa sana aisee,hata huku TANZANIA inabidi 2iapply,maana,wanawake huku wajifanya wako juu sana kwa ajili ya yale mambo ya BEIJING!!matokeo yake wanawake sasa wawapa shida sana wanaume,,hata unyumba wa2 wanapewa kwa ratiba maalum.....BACK TO NATURE!!!

Nafikiri hii ndio sababu ya nyumba ndogo kuongezeka.
 
Kutokana na kinachoonekana wanawake wa Kenya ni hash and rude ukiondoaga wale wa Mombasani,wanaume wamekuwa wakiwaona wake wao thorniest sasa Jumanne iliyopita Bunge la Kenya limeupitisha mswaada unaoruhusu Mwanaume kuongeza mke wa pili, watatu au wanne bila kuseek consent ya mke wa kwanza ama wa pili. Uamuzi wa ndoa ya mke zaidi ya mmoja halitakuwa la mjadala tena.

Mwenyekiti wa haki na maswala ya kisheria Nairobi Samuel Chepkong'a anasema kwa sheria hiyo, mwanaume ataweza kuja na mwanamke mwingine nyumbani bila kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo kuhusu kuongeza mke wa pili.

Wanaume wengi nchini Kenya wamekuwa wakipata shida sana kwa sababu, wanawake wengi wa bara wamekuwa wakiwapiga na kuwanyanyasa, kutokana na hali ya wanawake Kenya kuwa wababe imetia chachu ya wabunge kupitisha huo mswaada japo umeanza kupingwa.

Wanaume wengi Kenya esp wa pale Naii na kisumu leo walipaza sauti zao wakisema, uhuru should get back home akuje kutia sahihi on the polygamy bill.

Vikundi mbali mbali vya kutetea haki za wanawake vimepinga kwa nguvu huo mswaada na wamefika mbali na kumtishia Mke wa Kenyatta kuwa na yeye atakuwa mhanga asipomshawishi mmewe kutokusign.

Wakuu nataman hii iletwe TZ.
 
Kwa hiyo wakipa wake wengi ndo wataachwa kupigwa?

Sipati picha mwanaume akila vitasa kwa mke mkubwa akakimbilia kwa mke mdogo akapewa vitasa

Sijui watapitisha mswada wa kuruhusiwa kukimbia nyumba zao ?
 
Nadhani bado hawajapata ufumbuzi wa tatizo lao, pia wamesahau kuna ukimwi.
 
wanapigwa na wake zao hao kweli mambo tofauti unapokuja bongo wanawake ndio wengi wanafanyiwa ukatili
 
hii tabia yawanawake kupiga wanaume,hata hapa Tz Ipo Wanaume Hawasemi.
 
hii tabia yawanawake kupiga wanaume,hata hapa Tz Ipo Wanaume Hawasemi.

Ni kweli kabisa au wanawake kuwatawala wanaume hili lipo sana. Kuna mtu alisemaga hapa yupo karibu na familia ya Mzee Willium Malecela, alidai kuwa mzee john anaburuzwa sana na Anna kilango na upande wa pili Dr slaa ananyoshewa sn vidole na mshumbusi.
 
Sasa kama wanadundwa na mmoja, wakiongeza wa pili si atamalizia?
 
Nadhani bado hawajapata ufumbuzi wa tatizo lao, pia wamesahau kuna ukimwi.

Yani kama mmoja alikuwa anakulamba makofi 2 kwa wiki, ukiongeza mwingine si makofi yatakuwa manne?
Aisee wanaume wa Kenya wanapenda kupigwa...
 
Mbona kichwa cha habari ni tofauti na habari yenyewe?
 
Back
Top Bottom