It’s time for Tabata, sio Sinza,sio Kinondoni. Njoo Tabata kwa wala bata

It’s time for Tabata, sio Sinza,sio Kinondoni. Njoo Tabata kwa wala bata

Kwamba wewe unauwezo wa kwenda samaki samaki ukaanza kunywa bandika bandua kuanzia saa 12 jioni hadi saa 6 usiku? Au ndo wale bia moja unakunywa masaa 2-3 unajifanya unakodolea TV enh
Haaa haaaaa aisee nimecheka.
 
Hatimae na mimi nafurahi kwa kufanikisha ndoto zangu za kuja kuishi Tabata, ila kwa kifupi ni kwamba tatizo la watu wa Tabata ni moja bar mpya ikifunguliwa watu woye wanahama bar ya zamani kwa mfano kwetu pazuri palikua pananoga sana ilipokuja 40/40 watu wakahamia 40/40 ikaenda wee ilipokuja Great Park watu wakahamia Great Park kiasi kwamba hata siku ya jumatatu panajaa shamra shamra za kutosha sasa hivi kuna bar mpya ipo Kinyerezi waliokua wanajaa Great Park wote wamehamia hio bar mpya ya Kinyerezi..bila kusahau kabla ya ujio wa zote hizo bar zilizokua zikitamba ni Barakuda, kuna moja ile ilikua kwenye kona kabla hujafika kituo cha tabata shule na kuna ile ingine iliokua barabarani pale klipohengwa kituo cha Puma hahaha Tabata ni Sinza mpya ila bata zake ni za msimu...

Jifunze kwa Freeman Mbowe jinsi alivyoifanya Club Billicanas kuwa hot cake kwa miaka zaidi ya 20. Ni kuzaliwa upya kila baada ya muda fulani. Baa mpya ikizaliwa, na wewe ya kwako ifanyie renovation. Badilisha mandhari iwe mpya. Na muhimu kabisa ajiri wahudumu warembo.
 
Hahaha mambo yapo huku kinyerezi ya maramba mawili, asubuhi tunaamkia hapo Soweto park unapata mchemsho swaaafi wa kuku ulimchagua bandani na baada ya mda tunaelekea hali ya hewa Angwisa village kuogelea na kuangalia view ya mji.

Vp upo tayari twende weekend hii?

Call me now 0713 924581
Agwisa ipo wapi
 
Back
Top Bottom