Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Juu kule milimani unapita vijiji takriban Tisa ndo unafika.Agwisa ipo wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juu kule milimani unapita vijiji takriban Tisa ndo unafika.Agwisa ipo wapi
Hapo anakunywa bia 6 tu anarudi kulala mjanja wa mjini hawezi kujisifia unaenda kulewa samaki samaki..Yuko na 30,000 yake kwa mfuko[emoji1]
Kwaio haunywi bia bar unaenda kufanya nini? Kuwinda milupo? Au kwenda kunywa juice enh?Mkuu, kwani kwenda bar/club lazima uwe unakunywa bia?
Kunywa togwa mkuu.Kwaio haunywi bia bar unaenda kufanya nini? Kuwinda milupo? Au kwenda kunywa juice enh?
Blaza umefeli kusema ni kama kanisani tu maana kanisani misambwanda ni ya kutosha ilibidi useme ni kama msikitini maana kule wanavaa majuba tupu no kuona misambwandaKIWANJA CHA BATA/BAR/CLUB BILA TOTOZ MFANO WA POSHQUEEN , WENYE MISAMBWADA , MATAKO MAKUBWA , HIPSI ,CHUCHU SAA 6 , NI KAMA KANISANI TU , OYAAA MTOA MADA WEKA PICHA ZA TOTOZ MAENEO HAYO ... DAH ASEEE NAANDIKA POST HII HUKU NIMEDINDISHA .
Hapo anakunywa bia 6 tu anarudi kulala mjanja wa mjini hawezi kujisifia unaenda kulewa samaki samaki..
Wanasema Mji umehamia Tabata,bar zote kali (executive) zipo Tabata.watu wanatoka kila kona ya Mji huu wa dar wanakuja kula bata Tabata.saa nane usiku hapo 40/40 bar hupati hata nafasi ya kusogeza kisigino.
Tabata ndiyo inatajwa kuwa sehemu pekee kwa sasa hivi yenye bar nzuri,safi,na zinazojaza kuliko sehemu yeyote kwa dar.hujafika Tabata week end basi hujafika dar bado.
Nenda 40/40,the great park,kitambaa cheupe,pale mawenzi sijui kuna bar gan pale daaaa ama kwa hakika Tabata kwa wala bata.
Unafeli sana mkuu...bila shaka ni wakuja hapa mjiniKunywa togwa mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23]poa barmaid wa 40/40
Ni kweli mkuu. Hapa wenyeji wa huu mji ni wazaramo na wandengereko. Wengine wote tumekuja tu hapa mjini ila nina imani nilikutangulia kuja mjini.Unafeli sana mkuu...bila shaka ni wakuja hapa mjini
Hakuna anayelala njeHivi hao wote wanaokula bata za Tabata wamejenga?
40/40 eneo dogo!Wanasema Mji umehamia Tabata,bar zote kali (executive) zipo Tabata.watu wanatoka kila kona ya Mji huu wa dar wanakuja kula bata Tabata.saa nane usiku hapo 40/40 bar hupati hata nafasi ya kusogeza kisigino.
Tabata ndiyo inatajwa kuwa sehemu pekee kwa sasa hivi yenye bar nzuri,safi,na zinazojaza kuliko sehemu yeyote kwa dar.hujafika Tabata week end basi hujafika dar bado.
Nenda 40/40,the great park,kitambaa cheupe,pale mawenzi sijui kuna bar gan pale daaaa ama kwa hakika Tabata kwa wala bata.
Hata wenye makanisa wanajaza kama kawaidaHahaha siku hizi ni sifa kujaza bar kuliko kujaza msikiti au kanisa.
Wanaweza wasije kwa kubanwa na ratiba za bar na hang over.
Wenyeji wenyewe wako wapi si wapo chanika...hao wazaramo na wandengereko..ulikuja mjini mwaka gani mkuu?Ni kweli mkuu. Hapa wenyeji wa huu mji ni wazaramo na wandengereko. Wengine wote tumekuja tu hapa mjini ila nina imani nilikutangulia kuja mjini.
Zamani kidogo, mwaka 1991.Wenyeji wenyewe wako wapi si wapo chanika...hao wazaramo na wandengereko..ulikuja mjini mwaka gani mkuu?
Mimi nimezaliwa mjini kabla ya mwaka huo haujaja mkuuZamani kidogo, mwaka 1991.
Sawa mkuu.Mimi nimezaliwa mjini kabla ya mwaka huo haujaja mkuu