Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄🤔Wadau hamjamboni nyote?
Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo
Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote
Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu
Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali
Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.
Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi
Tufanye hivyo mapema
Mkuu, Sheria ni msumeno. Tuko hapa tulipo sometimes kutokana na Sheria mbovu zilizopitishwa kutokana na mihemko kama hii.
Hivi rais ni mtumishi wa umma, au umma ndo watumishi wa rais?!Itungwe sheria maalumu yenye adhabu kali Kwa watakaotoa kauli au maneno yasiyo na staha dhidi ya Rais wetu
Wewe unatolea mifano Rwanda na Uganda nchi zenye udikteta? Hauko sawa kichwani wewe , Rais sio mungu elewa hilo msimpe utukufu asio kuwa naoWadau hamjamboni nyote?
Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo
Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote
Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu
Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali
Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.
Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi
Tufanye hivyo mapema
Machawa mna shida sana. Hivi Rwanda na Uganda Ni nchi za kutolewa mfano jamani Hii tayari inatoa taswira wewe ni mtu wa namna gani?Wadau hamjamboni nyote?
Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo
Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote
Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu
Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali
Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.
Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi
Tufanye hivyo mapema
Wadau hamjamboni nyote?
Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo
Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote
Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu
Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali
Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.
Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi
Tufanye hivyo mapema
Chawa mleta uzi acha ujinga
Barikiwa Sana Sana Ndugu yanguNchi inahitaji vijana jeuri wenye uwezo wa kuwahoji viongozi, siyo vijana wanafiki wa kuwasifia viongozi kwa kila jambo" - Mwl. Nyerere.
Anadhani watu wote ni wajinga kama yeyeSasa kama ni watu wanamadhaifu yao wasisemwe!
Tutolee ujinga wako mkuu.
utasemwa tu na sio lazima tukuseme kwa staaha tutakusema hata kwa kukutukana ili akili zikukae vuzuri.
Ule pesa zetu ujimilikushe utajiri kwenye jamii maskini et tusikutukane utakuwa unaumwa wewe!
Siiliwaendelee kuiba mali za ummaKwanini mnapenda kunyofoanyofoa sheria mama? Leteni KATIBA MPYA.
yaani matusi ndiyo sifa? kutoa maoni siyo hoja, hoja ni yale matusi yasiyo na faida. Na hii siyo kwake tu hata kwa watu wa kawaida kwa nini umtolee mtu matusi?Kwani raisi sio mtu wa kawaida kama wengine? Raisi razima aambiwe kwa namna yoyote ile kwani kazi ya uraisi hajarazimishwa kuifanya kaiomba mwenyewe. Nani ya kutumikia wananchi wa kila Aina.
Hayo yakifanyika inatakiwa kinga ya rais kutoshitakiwa iondolewe, maana hii Kinga ndio inamfanya rais kuwa Mungu mtu na kufanya atakavyo kama kuuza bandari nk.Wadau hamjamboni nyote?
Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo
Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote
Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu
Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali
Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.
Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi
Tufanye hivyo mapema
Mama yake ni jizi? Ameuza bandari?Anza kumtukana mamako we unayetumia makalio
Pia kwa viongozi wa kitaifa wanaosema uongo ama kujitoa ufahamu, kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kuogopa viongozi wao na kutumikia kundi Fulani Bila kujali masilahi ya Taifa,(conflict of interest)Wadau hamjamboni nyote?
Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo
Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote
Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu
Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali
Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.
Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi
Tufanye hivyo mapema