makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
🖕🖕🖕
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitolee upumbavu!Anza kumtukana mamako we unayetumia makalio
Wasemwe kwa kauli zilizo na staha na siyo karahaWadau hamjamboni nyote?
Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo
Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote
Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu
Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali
Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.
Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi
Tufanye hivyo mapema
Hayo tote yatazingatiwa wakati wa utungaji na utekelezaji sheria husikaBaada ya kutunga hiyo sheria, nani atakeyeamua ipi ni hoja lipi ni tusi? Ukilinganisha nchi imejaa upumbavu wa wazi kabisa?
Kusimamia nani anasema nini ni kitu kisichowezekana, especially kwa public figure. Na hiyo sheria itakuwa ni kupoteza muda na resources nyingine muhimu bila matunda chanya yoyote kwenye nchi. Kwa maneno mengine, itakuwa ni moja ya Upumbavu ninaoungelea.
Namba yangu ya simu siyo sehemu ya mjadalaNaona umesahau kuandika namba yako ya sim ili uka...🍆
Rais ni mtu wa kawaida ila ni Kiongozi Mkuu wa taasisi ya juu kabisa nchiniKwani raisi sio mtu wa kawaida kama wengine? Raisi razima aambiwe kwa namna yoyote ile kwani kazi ya uraisi hajarazimishwa kuifanya kaiomba mwenyewe. Nani ya kutumikia wananchi wa kila Aina.
Unaelewa vizuri maana ya freedom of speech?Kwa ufahamu wangu...haiwezekani coz of freedom of speech as well as...rights za opposing parties.
Upumbavu ni kama vazi halijifichi alisema Mwl NyerereWadau hamjamboni nyote?
Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo
Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote
Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu
Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali
Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.
Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi
Tufanye hivyo mapema
Uwe na adabu Kwa wakubwa zako TafadhaliWe nae na umri huo ulionao bado unajipendekeza tu kwa watawala?no wonder umemaliza first degree ukiwa mbabu.pathetic
Kazi zote hizo wanazifanya labda kama hujuiTCRA wanaongea tu juu ya kuzuia matusi katika mtandao badala ya kusema wanachukua hatua gani kuzuia wizi wa fedha katika mtandao.
Imesemwa hivyo kwenye bandiko?kwamb ni malaika
Kwa hiyo Mungu anavyotukanwa kwako waona ni sahihi?Anatukanwa Mungu aliye tuumba ..Ukiwa hapa duniani kutukanwa kupo tu hasa ukifanya makosa lazima wakutukane tu
Ulichoandika wewe unakiondoaje kwenye hiyo sifa?Upumbavu ni kama vazi halijifichi alisema Mwl Nyerere
Badala ya kusoma na kuchangia hoja iliyopo mezani unaleta Imani za kishirikinaHuyu chawa aliyeleta uzi huu kama alipata angalu D mbili O level zilairi achukue roho yangu sasa hivi
Sheria zipo, unless kama hujui. Sheria za kutoa adhabu kumkashifu mtu zipo. Kama mhusika anadai kukashfiwa aende mahakamaniWadau hamjamboni nyote?
Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo
Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote
Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu
Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali
Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.
Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi
Tufanye hivyo mapema
Raisi yupi na sisi tulio wengi tunachagua raisi wetu anashinda uchaguzi hatangzwii kama maalim seif. vipi hiyo Sheria itatufiikiria piaWadau hamjamboni nyote?
Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo
Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote
Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu
Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali
Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.
Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi
Tufanye hivyo mapema
😀 😀 😀 umeona eeh. Hii nchi tumeondoa ujinga ila hatujaondoa upumbavu bado.Na wapumbavu+wataunga mkono.bado hamjifunzi Kwa Hayati.Ngonjera,ndelemo na vifijo Kila wakati hamjifunzi tu.
Ama kweli ujinga mzigo😂😂😂
Soma kilichoandikwa kisha utoe maoniKulikoni tena Rais wetu Mwanademokrasia mahiri mnataka awe kundi moja na akina PK!
Wasemwe kwa kauli zilizo na staha na siyo karaha
Utofauti wako na Mwashambwa ni majina tu.