Pre GE2025 Itungwe sheria inayotoa adhabu dhidi ya wanaomtukana Rais

Pre GE2025 Itungwe sheria inayotoa adhabu dhidi ya wanaomtukana Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kabla ya hapo Kwanza itungwe sheria ya kuwanyonga wabadhirifu wote wa fedha za umma waliotajwa kwenye ripoti ya CAG 2020/21, 2021/2022, 2022/23 na 2023/24 na wale wote waliohusika kuuza Ngorongoro na bandari kwa Waarabu.
 
Hii ni Nchi pekee yenye wananchi nusu yake ni NUSU KAPUTI walioko ccm.Ukiwa ccm hata uwe na PhD holder.mtu yule anakuwa hana tofauti na cc ngumbalo.
Haya maneno waambieni wagombea wenu wawe wanayatamka kipindi Cha KAMPENI.
Hapo ndo mtaeleweka vizuri,tofauti na hapo nyie mbulu kenge mliobaki hatuwezi kuwaeleweni ,shenzi kabisa.

Na vipi kiongozi anaekiuka kufata Katiba wakati aliapa kuilinda na kuiheshimu Katiba afanye nn nyie mbulu kenge🤔.

Hamjifunzi tu kipindi Cha hayati.
Shusheni nyuzi zenu zote za kipindi Cha JPM afu mjitathimini sawa.

Hoja zisizokuwa na msingi,inadhihirisha elimu yetu Bado katika nyanja za kuhakikisha mwanachi aipatapo,basi iwe na tija.

Kwa hali hii,hakuna maana kuwa na wananchi wenye mtizamo huu.

Jitafute Tena,pia mtafuteni mwenyekiti wenu wa wasomi chawa PASCO MAYALA.
Ndo kiongozi wenu,kikundi Cha Kusifu na kutukuzq viongozi badala ya kukemea.
Kiongozi qnatakiwa kuwqjibika Kwa kazi aliyoiomba Kwa wananchi wake.
 
Wimbo wetu wa taifa pia unahitaji la kuboreshwa kwa kuondoa maombi ya kubarikiwa kwa viongozi wake, ... 😲

Viongozi wabadhirifu na mafisadi, tunawaombeaje baraka kutoka kwa Mungu ...

Hatujijali? Hatujitambui? Au tumejitoa kama kafara? 🤔
 
Hii ni Nchi pekee yenye wananchi nusu yake ni NUSU KAPUTI walioko ccm.Ukiwa ccm hata uwe na PhD holder.mtu yule anakuwa hana tofauti na cc ngumbalo.
Haya maneno waambieni wagombea wenu wawe wanayatamka kipindi Cha KAMPENI.
Hapo ndo mtaeleweka vizuri,tofauti na hapo nyie mbulu kenge mliobaki hatuwezi kuwaeleweni ,shenzi kabisa.

Na vipi kiongozi anaekiuka kufata Katiba wakati aliapa kuilinda na kuiheshimu Katiba afanye nn nyie mbulu kenge🤔.

Hamjifunzi tu kipindi Cha hayati.
Shusheni nyuzi zenu zote za kipindi Cha JPM afu mjitathimini sawa.

Hoja zisizokuwa na msingi,inadhihirisha elimu yetu Bado katika nyanja za kuhakikisha mwanachi aipatapo,basi iwe na tija.

Kwa hali hii,hakuna maana kuwa na wananchi wenye mtizamo huu.

Jitafute Tena,pia mtafuteni mwenyekiti wenu wa wasomi chawa PASCO MAYALA.
Ndo kiongozi wenu,kikundi Cha Kusifu na kutukuzq viongozi badala ya kukemea.
Kiongozi qnatakiwa kuwqjibika Kwa kazi aliyoiomba Kwa wananchi wake.
Soma tena Kwa umakini ulichoandika
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa tanzania inayonipa uhuru huo

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu

Tutunge sheria hiyo mapema Ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi

Tufanye hivyo mapema
Awamu ya tano walitunga Sheria ya kumuzuia Zitto asichambue takwimu za uchumi matokeo yake wao ndiyo wakanyimwa misaada na mabwana zao.

Nchi ina watu wa ajabu hii
 
Soma tena Kwa umakini ulichoandika
Akifanya vizuri nani atamjaji.
Mnataka rais awe Mungu sio🤔.
Aliomba kura Kwa kupiga KAMPENI Nchi nzima,hivyo ni wajibu wake ajitetee Kwa kufanya kazi Kwa kufata Katiba na weledi.

Mnasifu na kuabudu mpaka mnakela.

Nchi hii ni ya kidemocrasia na sio kikomonist.

Unachaguliwa Kwa kupiga kelele,ukizingua unapigiwa kelele.
 
Hapana. Unachokisema siyo sahihi.
Anayekosea anastahili kuambiwa hata kwa lugha kali. Hubembelezwi ukikosewa.

Biblia inasema unapotakiwa kuonya, onya hata kwa ukali.

Kiongozi siyo malaika, anaweza kukosea, anaweza kuwa mwovu kupindukia kuwazidi hata majambazi. Ndiyo maana kuna viongozi wanaondolewa kwenye madaraka bila staha, wanashitakiwa, na kuna wengine wanahukumiwa hata kunyongwa hadi kufa.

Hivyo, tunatakiwa kuangalia kauli na vitendo vya Rais ili kutambua tuna kiongozi wa namna gani, na kisha kumpongeza, kumuonya, kumkosoa au hata kumfukuza kwenye uongozi kwa njia yoyote yenye tija kwa nchi.
Kukosolewa haijwahi kuwa kosa kisheria ola lugha zisizo na staha ndiyo kosa lenyewe
 
Stupid. Baadala upendekeze sheria Kali kwa mafisadi wewe umebaki kulamba makalio ya Rais. Stupid.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi.

Tufanye hivyo mapema.
Mkuu hao ulio wataja, wametokea msituni, wa hapa kwetu, utashi wao ndio una-wasukuma kuomba kazi hiyo kwa wenye Nchi (Wananchi) huku wakijua adha na kinga zilizopo kwa kazi hiyo kwa mujibu wa Sheria, Taratibu na kanuni zake.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya

Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi.

Tufanye hivyo mapema.
Elewa tu kuwa mjambiani ni mpumbavu uwezi kuua watanganyika kwa ajili ya kummilikisha mshenzi muarabu ardhi yetu tukufu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi.

Tufanye hivyo mapema.
rais sio mungu, wacha kumvimbisha kichwa, ni kiumbe yeyote kama wewe tu. hoja ingekuwa sheria inayozuia matusi na fujo, ambayo tayari ipo. Kwenye kanuni ya adhabu kuna vifungu vimecover mambo yote hayo, ila sio kwa "rais" peke yake, ni kwa wanadamu wote kwasababu hata yeye hana tofauti na wanadamu wengine.
 
Anaogopaje kutukanwa? Watu wakikutukana wambie nigeuke upande upi muuone ili mtukane vizuri zaidi
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nimaoni yangu kwa mujibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru huo.

Ipo haja ya kutunga sheria maalumu ya kumlinda moja kwa moja Rais wetu dhidi ya maneno au matamko au kauli zinazokera na zisizo na uthitibitisho wowote

Naam sheria itakayotoa adhabu kali kwa wote watakaotumia vibaya uhuru wao wa kidemokrasia na kuamua kutoa kauli zisizokubalika dhidi ya Kiongozi wetu Mkuu.

Tutunge sheria hiyo mapema ili watu wasio na staha wajifunze kuwa na staha kwa kushikishwa adabu na sheria kali.

Ikiwezekana kuwepo pia na kikosi kazi maalumu kufuatilia utekelezaji wa sheria hiyo.

Ukienda Rwanda au Uganda huthubutu kutoa ulimi wako nje dhidi ya Rais kwani ni mamlaka ya juu kabisa ya nchi.

Tufanye hivyo mapema.
Rais ni Mungu ?
 
Moja ya faida ya sekondari za kata. Zimewawezesha div 3 , 4 na 0 toka shule hizi kujua kutumia mitandao ya kijamii. Na div 3 walipenya mpaka kidato cha 6 na wakaingia hata UDOM. Mkuu tuwavumilie.
Kwa kweli wanajua kutuumiza vichwa
 
Back
Top Bottom