Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijiskie vibaya mkuu. Mimi kuna redio ipo hadi leo kwenye room ya mzee ila kila time akiniona lazma la anikumbushe kuwa imenizidi umri 😁Kumbe itv imenizid umri
Halali [mention]Kelsea [/mention] anikatae[emoji28][emoji28]
Beenie Man alipokuja Tanzania alifanyiwa interview na Eddie Sultan .Eddie alikuwa yupo vizuri sana beenie Man ali appreciateSasa si namzungumzia huyo huyo au kulikuwa na eddie mwingine
Jamaa yuko vizuriBeenie Man alipokuja Tanzania alifanyiwa interview na Eddie Sultan .Eddie alikuwa yupo vizuri sana beenie Man ali appreciate
Nadhani ilikuwa inaitwa The Monkey King. Pia ilikuwepo "The Jewels in The Palace" tamthilia nzuri sana ya kichinaKuna ile movie ya nyani itv saa nne asubuhi inaitwaje
Miaka fulani 2010+ hivi tv ilikuwepo pale DITwatu wa mikocheni,mbezi beach,kijitonyama,upanga,posta,kariakoo na sinza 1999 ukiingia kwa doni hii ndio flat kipindi cha nyuma
View attachment 2477786
Siyo huyo.Mwenye mwanya ni Rukia Mtingwa
Hatujawahi lipia TV Tanzania, labda ni cable kama ulivyosemaMmmh hii sikupata kusikia.
Au mlikuwa mnalipia Cable TV yaani huduma ya kupata matangazo ya TV stations kupitia cable?
TV kwa maana ya ile device sidhani kama iliwahi kulipiwa kwa mtindo huo.
Nasubiri majibu ya wengine.
Wakati huo EPL tunaiangalia bure kabisa kupitia TV AfricaYeah sijui media za Bongo zilifeli wapi? Nafikiri ada (Television rights) za kuonyesha mechi za UEFA huenda ziliwashinda
Sahihi kabisa mkuuWakati huo EPL tunaiangalia bure kabisa kupitia TV Africa
Asante mkuu.Mwamba alikitendea haki kipindi,apumzike kwa amani.Itakuwa ni Misanya Bingi huyo - mzee wa O.
![]()
Aliishia kuwa Mhadhiri wa UDSM kitengo cha Sociology. Ameshafariki.
Ile ya ITV iliitwa The Journey to the West sio The Monkey King mkuuNadhani ilikuwa inaitwaThe Monkey King. Pia ilikuwepo "The Jewels in The Palace" tamthilia nzuri sana ya kichina
Journal to the westKuna ile movie ya nyani itv saa nne asubuhi inaitwaje
my name kunta kinte View attachment 2477789
John Cena wa Juzi... Mieleka enzi hizo Tunawacheki wakina Hulk HOgani ndio wababe wa Mieleka wa wakati huoMi kipindi nakua nakumbuka ITV ilikua na maigizo ya Mizengwe ya Max na Zembwela, igizo la Mambo hayo akiwepo kina Dokii,Dr cheni Joti na mpoki kama sikosei.
Nawakumbuka kina Mlopelo, Muhogo Mchungu na Mzee Pwagu
Kukawa na Igizo la sayari mziki wake ukawa unaimbwa "Sayari yetu sayarii oooh sayarii[emoji445]" hapo nilikua namuona Johari, Ray, Kanumba, Mzee magari, na Ben, alafu likaja igizo la Jahazi.
Maigizo tulikua tunayaangalia marudio yake siku ya jumamosi mchana yaani siku ya jumamosi inakua Kama siku ya sherehe nawahi kuoga na ninafanya usafi kwa juhudi ili saaa 9 inikute nimeshamaliza kazi zote niangalie marudio.
Alafu jumamosi saa 3 usiku maigizo yanaendelea saa 4 usiku naangalia WWE miereka ya kina DX na John Cena kabla ya igizo kuisha kunakua na matangazo matatu , kulikua na matangazo ya chai jaba na lile tangazo la jambo lotion lotion inakata kiuono balaa
Mimi naitwa jambo kubwaa[emoji445] na wewe jee[emoji445] Mimi naitwa jambo katikatii [emoji445] na wewe jee ? Mimi naitwa jambo ndogoo[emoji445]
Daaaaah Times flies, Times flies.