ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

Kumbe itv imenizid umri
Halali [mention]Kelsea [/mention] anikatae[emoji28][emoji28]
Usijiskie vibaya mkuu. Mimi kuna redio ipo hadi leo kwenye room ya mzee ila kila time akiniona lazma la anikumbushe kuwa imenizidi umri 😁
 
Dodoma Tv ya kwanza kuletwa ilikuwa DTV kama sikosei ilikuwa mwaka 1993-4,ilikuwa inachenga kinoma na hapo wahindi walitupiga heta vibaya wakizuga Kuna vifaa vinatakiwa vifungwe ndani ya TV ili ionekane bila chenga....kipindi ninachokikumbuka sana ni cha mieleka
 
Kuna ile movie ya jamaa anaishi mstuni ana fimbo moja nyeupe ambayo ina weza achanishwa katikati zikawa mbili,nilikua naipenda sana sijui inaitwaje .
 
John Cena wa Juzi... Mieleka enzi hizo Tunawacheki wakina Hulk HOgani ndio wababe wa Mieleka wa wakati huo

Kaole Sanaa Group walishika nchi... Kina Kibakuli....

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
 
Hata EATV (formerly Channel Five) isingekuwa kifo cha yule mtoto wa Mengi, Rodney Mutie Mengi ingefika mbali sana hapa East Africa hasa kwenye burudani kufikia sasa. Dogo alikuwa mbele ya wakati sana

ITV na EATV walibweteka na kukosa ubunifu tofauti na Azam media

IPP kwenye ubora wao walishinda tuzo nyingi sana za kimataifa kipindi kile South Africa kwenye mashindano ya media bora Africa, siku hizi siwasikii kwenye hizo tuzo, inasikitisha sana 😔

Wakati mwingine mishahara yenyewe wanalipwa hadi tarehe 40. Kuna kipindi mishahara ilichelewa ikabidi pesa za Bonite ndio zitumike kuwalipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…