ITV imenunuliwa na mafisadi kutorusha habari za Makonda?

Mental health
 
Ww mtu una akili sana aisee sidhani kama ww ni mtanzania unastahili uishi Nigeria Canada USA UK SA nk
Unamuita mtu ana akili kisa kapost unachokipenda, jiandae siku akija na post mnayotofautiana utatamani angeishi Ifakara ndani ndani huko
 
Mpumbavu mkubwa wee!
 
wewe uliangalia TV zote kwa wakati mmoja??????
 
Duuu! mbona povu mzee 😀
 
View attachment 2801206
Bashite yeye ni kama nani ???????
Photo shopping inatumika sana kuchezea akili za watu wa kawaida, yaani hapa hata mtu mwenye akili kama za kwangu ni rahisi kugundua uongo wa wazi! ukiangalia mikono ya makonda ina rangi mbili tofauti, lkn pia enzi mama samia akiwa kwenye staili hii makonda alikua hajazaliwa, watu bhana!
 

Si Kuna channel ten ya CCM . Punguzeni lawama za kitoto.
 
Kila chama cha siasa kina katibu wa uenezi. Je, how Makonda anakuwa exceptional?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…