ITV imenunuliwa na mafisadi kutorusha habari za Makonda?

ITV imenunuliwa na mafisadi kutorusha habari za Makonda?

Baada ya kufariki dunia Dk. Reginald Abraham Mengi Kituo cha Televisheni cha ITV kimebadili mtizamo wake kutoka kuwa chombo kimbilio la wanyonge na chombo makini cha kuanika maovu ndani ya jamii leo kimegeuka kuwa jukwaa la machawa na watuhumiwa wa ufisadi.

Tangu Makonda ameteuliwa ITV hawataki kurusha Press za Makonda fuatilia alipopokelewa DAR na hata alipopokelewa Dodoma ITV saa 2 hawakurusha maagizo ya Makonda.

Lakini TV karibu zote ziliripoti mkutano wa Makonda.

ITV pekee ndio hawajarusha taarifa ya Makonda.

ITV kama mmenunuliwa na Mafisadi mkiamini mtaweza kuzima ndoto za Makonda kuwasemea watanzania wanyonge mtakuwa mmekwama sana siku hizi dunia imeshahama huko.
Mnadhani ITV ni Ayo TV?
 
Baada ya kufariki dunia Dk. Reginald Abraham Mengi Kituo cha Televisheni cha ITV kimebadili mtizamo wake kutoka kuwa chombo kimbilio la wanyonge na chombo makini cha kuanika maovu ndani ya jamii leo kimegeuka kuwa jukwaa la machawa na watuhumiwa wa ufisadi.

Tangu Makonda ameteuliwa ITV hawataki kurusha Press za Makonda fuatilia alipopokelewa DAR na hata alipopokelewa Dodoma ITV saa 2 hawakurusha maagizo ya Makonda.

Lakini TV karibu zote ziliripoti mkutano wa Makonda.

ITV pekee ndio hawajarusha taarifa ya Makonda.

ITV kama mmenunuliwa na Mafisadi mkiamini mtaweza kuzima ndoto za Makonda kuwasemea watanzania wanyonge mtakuwa mmekwama sana siku hizi dunia imeshahama huko.
Sisi tunaofuatilia tabia za ITV kwa miaka mingi dhidi ya jamii flani flani hapa Tz tuna mengi lkn. tunasubiri wengine wayaone pia, hawa jamaa wanajifanya BBC (Wazee wa fitna)
 
Baada ya kufariki dunia Dk. Reginald Abraham Mengi Kituo cha Televisheni cha ITV kimebadili mtizamo wake kutoka kuwa chombo kimbilio la wanyonge na chombo makini cha kuanika maovu ndani ya jamii leo kimegeuka kuwa jukwaa la machawa na watuhumiwa wa ufisadi.

Tangu Makonda ameteuliwa ITV hawataki kurusha Press za Makonda fuatilia alipopokelewa DAR na hata alipopokelewa Dodoma ITV saa 2 hawakurusha maagizo ya Makonda.

Lakini TV karibu zote ziliripoti mkutano wa Makonda.

ITV pekee ndio hawajarusha taarifa ya Makonda.

ITV kama mmenunuliwa na Mafisadi mkiamini mtaweza kuzima ndoto za Makonda kuwasemea watanzania wanyonge mtakuwa mmekwama sana siku hizi dunia imeshahama huko.
Binadamu unadhaminiwa ukiwa hai, ukifariki basi hata kama ulikuwa na mali kiasi gani,ukisha kufa zote zinaharibika tu.
 
Baada ya kufariki dunia Dk. Reginald Abraham Mengi Kituo cha Televisheni cha ITV kimebadili mtizamo wake kutoka kuwa chombo kimbilio la wanyonge na chombo makini cha kuanika maovu ndani ya jamii leo kimegeuka kuwa jukwaa la machawa na watuhumiwa wa ufisadi.

Tangu Makonda ameteuliwa ITV hawataki kurusha Press za Makonda fuatilia alipopokelewa DAR na hata alipopokelewa Dodoma ITV saa 2 hawakurusha maagizo ya Makonda.

Lakini TV karibu zote ziliripoti mkutano wa Makonda.

ITV pekee ndio hawajarusha taarifa ya Makonda.

ITV kama mmenunuliwa na Mafisadi mkiamini mtaweza kuzima ndoto za Makonda kuwasemea watanzania wanyonge mtakuwa mmekwama sana siku hizi dunia imeshahama huko.
Mnayo TBC,Channel Ten na Star TV bado haziwatoshi tu?
 
Baada ya kufariki dunia Dk. Reginald Abraham Mengi Kituo cha Televisheni cha ITV kimebadili mtizamo wake kutoka kuwa chombo kimbilio la wanyonge na chombo makini cha kuanika maovu ndani ya jamii leo kimegeuka kuwa jukwaa la machawa na watuhumiwa wa ufisadi.

Tangu Makonda ameteuliwa ITV hawataki kurusha Press za Makonda fuatilia alipopokelewa DAR na hata alipopokelewa Dodoma ITV saa 2 hawakurusha maagizo ya Makonda.

Lakini TV karibu zote ziliripoti mkutano wa Makonda.

ITV pekee ndio hawajarusha taarifa ya Makonda.

ITV kama mmenunuliwa na Mafisadi mkiamini mtaweza kuzima ndoto za Makonda kuwasemea watanzania wanyonge mtakuwa mmekwama sana siku hizi dunia imeshahama huko.
Kwani Makonda ni mnyonge?
 
makonda ndie nani? MTU WA KAWAIDA
Ni International figure? HAPANA
Taaifa zake ni muhimu kwa Taifa? HAKUNA KITU
Mleta mada sio kila kitu ni cha kurusha ktk vyombo, mnaweza kujikuta mnarusha hadi ujinga!
 
Back
Top Bottom