ITV kwenye taarifa za habari achaneni na matangazo ya pombe

ITV kwenye taarifa za habari achaneni na matangazo ya pombe

Mpalakugenda

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
4,611
Reaction score
5,009
TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.

Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.

Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.

Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.

Watoto walindwe na vishawishi.
 
TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.

Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.

Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.

Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.

Watoto walindwe na vishawishi.
Mishahara ya wafanyakazi utawapatia wewe. Pombe imechangia bilioni 900 kwenye pato la taifa.
 
TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.

Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.

Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.

Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.

Watoto walindwe na vishawishi.
Mabata ushungu mie
 
TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.

Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.

Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.

Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.

Watoto walindwe na vishawishi.
Hao TCRA na gwajima ndo watalipa mishahara Wafanyakazi wa ITV ?? 🤔 🤔.

. Kuna mambo mengi sana ya kukemea hapa TZ ila siyo hilo ulilosema.
 
TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.

Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.

Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.

Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.

Watoto walindwe na vishawishi.
Bora watoto wayazoee haya matangazo ili wasijekuwa washamba baadaye. Wakue wakijua lipi baya lipi zuri na wafanye maamuzi wao. Pia kwa sasa hivi, ni wajibu wako kuwaelekeza kuhusu yanayofaa na yasiyofaa.
 
Bro!!!

Bado unaangaliaga taarifa ya habari?

Baada ya kugundua hakunaga umuhimu wowote kwenye taarifa ya habari nikaachaga kuangalia.

Kama kuna habari muhimu sana itanifikia tu bila hata taarifa za habari.

Taarifa ya habari inamuandaa mtu kuwa mtumwa wa mfumo.

Hao watoto unaona wanainjoi kupata habari na elimu kumbe ndio unawadidimiza uwezo wao wa asili.(mf uwezo wa kuhoji)

Serikali hutumia taarifa za habari kuwafanya raia wawe mbumbumbu.

Mwanangu bora aangalie sizoni ila sio taarifa ya habari.

Kingine ni shule(hapa kukwepa ni ngumu sana) japo baadhi ya nchi saiz wanafosi iwepo sheria itakayoruhusu wazazi kumpa elimu mtoto wao wenyewe(home schooling )
 
TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.

Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.

Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.

Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.

Watoto walindwe na vishawishi.
Saa 2 usiku watoto wote inabidi wawe wameshalala watoto umri 0 mpaka 4
 
Back
Top Bottom