Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vipindi ni universal, unatarajia watu wengi wanatazama.Imani yako sio Imani ya Dunia nzima mzee. Ukiona tangazo badili Channel. Zipo TV za Imani yako tune huko. Busara sio ya kila mtu ila jitahidi kuishi hivyo
Mleta mada ni mdini anatamani nchi iendeshwe kidini( kiislamu) sasa anaona aibu kusema ndio anakimbilia pombe hizo hizo hela haram (za pombe) ndio zinajenga misikiti na hawazikatai shenzi kabisaImani yako sio Imani ya Dunia nzima mzee. Ukiona tangazo badili Channel. Zipo TV za Imani yako tune huko. Busara sio ya kila mtu ila jitahidi kuishi hivyo
Ndugu Mjumbe mbona umemalizia hoja yako kwa hasira sana😀Mleta mada ni mdini anatamani nchi iendeshwe kidini( kiislamu) sasa anaona aibu kusema ndio anakimbilia pombe hizo hizo hela haram (za pombe) ndio zinajenga misikiti na hawazikatai shenzi kabisa
Kwahiyo....Kuna vipindi ni universal, unatarajia watu wengi wanatazama.
Kweli kabisa.Imani yako sio Imani ya Dunia nzima mzee. Ukiona tangazo badili Channel. Zipo TV za Imani yako tune huko. Busara sio ya kila mtu ila jitahidi kuishi hivyo.
Wenda wazimu inabidi wajibiwe ivo ivo ndio lugha wanayoielewaNdugu Mjumbe mbona umemalizia hoja yako kwa hasira sana😀
Punguza jazba, usikute unapiga komoni huko mpakni. Kesho nakutafuta nitafika jioni tukalewe kidogo.Mleta mada ni mdini anatamani nchi iendeshwe kidini( kiislamu) sasa anaona aibu kusema ndio anakimbilia pombe hizo hizo hela haram (za pombe) ndio zinajenga misikiti na hawazikatai shenzi kabisa
Matatizo sio kuyakimbia bali ni kuyakabili. Tumepinga ushoga kwani wote wanatumia mashoga?Kwahiyo....
Sio lazima kutazama hiyo na Kama Taarifa ya Habari zipo televisheni nyingine zinaonesha
M mkatoliki nakula kitimoto nashushia na bia, shida wewe mpemba unayeharamisha bia(pombe) na kuhalalisha ufirwaji hapo ungujaPunguza jazba, usikute unapiga komoni huko mpakni. Kesho nakutafuta nitafika jioni tukalewe kidogo.
Nyie ndo mnaokunywa hadi mtangaziwe.
Wavaa kobazi wanashida sana.M mkatoliki nakula kitimoto nashushia na bia, shida wewe mpemba unayeharamisha bia(pombe) na kuhalalisha ufirwaji hapo unguja
Hoja yako ni nyepesi sana labda ungekuwa huko Arabuni wangekuelewa hao unaowapa ushauri. Au zenji kidogo.Matatizo sio kuyakimbia bali ni kuyakabili. Tumepinga ushoga kwani wote wanatumia mashoga?
Si tungesema tuachane nao mbona wengine wapo wanatumia Ke.
Hata hili linaweza kuzuiwa muda huo likawekwa muda mwingine.
Shenzi mwenyewe, nini kutukanana bwana.Mleta mada ni mdini anatamani nchi iendeshwe kidini( kiislamu) sasa anaona aibu kusema ndio anakimbilia pombe hizo hizo hela haram (za pombe) ndio zinajenga misikiti na hawazikatai shenzi kabisa
Nyinyi ni washenzi mna tabia za kike sanaShenzi mwenyewe, nini kutukanana bwana.
TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.
Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.
Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.
Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.
Watoto walindwe na vishawishi.