Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Wakati walishakuwa walevi tangu tumboni mwa wazazi wao....Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia
Yani acha tu kuna kipindi nilikuwa dom yani tulikuta kuna bi dada yupo bar na wenzake wanakula muwa na ni mjamzito.Wakati walishakuwa walevi tangu tumboni mwa wazazi wao....
Matangazo ya pombe hayajaanza leo
Sijazuia kurushwa,Wape dili la matangazo mkuu...
Maana ni pesa hiyo
🤣🤣🤣Yani acha tu kuna kipindi nilikuwa dom yani tulikuta kuna bi dada yupo bar na wenzake wanakula muwa na ni mjamzito.
Mishahara ya wafanyakazi utawapatia wewe. Pombe imechangia bilioni 900 kwenye pato la taifa.TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.
Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.
Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.
Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.
Watoto walindwe na vishawishi.
Mabata ushungu mieTCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.
Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.
Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.
Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.
Watoto walindwe na vishawishi.
Hao TCRA na gwajima ndo watalipa mishahara Wafanyakazi wa ITV ?? 🤔 🤔.TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.
Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.
Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.
Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.
Watoto walindwe na vishawishi.
Bora watoto wayazoee haya matangazo ili wasijekuwa washamba baadaye. Wakue wakijua lipi baya lipi zuri na wafanye maamuzi wao. Pia kwa sasa hivi, ni wajibu wako kuwaelekeza kuhusu yanayofaa na yasiyofaa.TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.
Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.
Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.
Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.
Watoto walindwe na vishawishi.
Zima TV wakati wa habari
Saa 2 usiku watoto wote inabidi wawe wameshalala watoto umri 0 mpaka 4TCRA pia Dkt. Gwajima D waangalie namna ya kulinda watoto.
Matangazo ya pombe kuwekwa katikati wakati unatazama taarifa ya habari binafsi naona sio sawa.
Maana ni mazuri na unakuta watoto wanayafurahia kweli. Tafsiri yake inawachochea kutamani kutumia.
Hii iwe hata kwa matangazo mengine, waangalie namna bora ya kuyapeleka hewani ili wazee wa drink.com responsibly waendelee kufurahia.
Watoto walindwe na vishawishi.