ITV wametoa tamthiliya ya uzalo kutoka saa 1:30 wakaweka tamthiliya nyingine muda huo

ITV wametoa tamthiliya ya uzalo kutoka saa 1:30 wakaweka tamthiliya nyingine muda huo

Magangati

Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
32
Reaction score
30
Binafsi mimi na watoto wangu hupenda kuangalia vipindi vya ITV kwa sababu vingi ni vizuri hata kwa watoto.Kwa muda mrefu tulizoea kuangalia tamthiliya ya uzalo saa 1:30 jioni,kifupi tamthiliya hii inafaa hata kuangaliana watoto kwa sababu muda huo hata watoto wanakua hawajalala.Cha kushangaza ITV wameitoa tamthiliya hiyo muda huo na kuweka tamthikiya nyingine ambayo haifai hata kuangalia na watoto.Natamani uzalo irudi saa 1:30 jioni.
 
Binafsi mimi na watoto wangu hupenda kuangalia vipindi vya ITV kwa sababu vingi ni vizuri hata kwa watoto.Kwa muda mrefu tulizoea kuangalia tamthiliya ya uzalo saa 1:30 jioni,kifupi tamthiliya hii inafaa hata kuangaliana watoto kwa sababu muda huo hata watoto wanakua hawajalala.Cha kushangaza ITV wameitoa tamthiliya hiyo muda huo na kuweka tamthikiya nyingine ambayo haifai hata kuangalia na watoto.Natamani uzalo irudi saa 1:30 jioni.
Kama na una watoto halafu Unaandika huu uharo wanao Ni wa kuonea huruma Sana.
 
Binafsi mimi na watoto wangu hupenda kuangalia vipindi vya ITV kwa sababu vingi ni vizuri hata kwa watoto.Kwa muda mrefu tulizoea kuangalia tamthiliya ya uzalo saa 1:30 jioni,kifupi tamthiliya hii inafaa hata kuangaliana watoto kwa sababu muda huo hata watoto wanakua hawajalala.Cha kushangaza ITV wameitoa tamthiliya hiyo muda huo na kuweka tamthikiya nyingine ambayo haifai hata kuangalia na watoto.Natamani uzalo irudi saa 1:30 jioni.
Dude,Saa 1:30PM unapaswa uwepo BAA na sio kukaa living room na watoto wadogo unaangalia tamthilia.
 
Kwa muda mrefu tulizoea kuangalia tamthiliya ya uzalo saa 1:30 jioni,kifupi tamthiliya hii inafaa hata kuangaliana watoto kwa sababu muda huo hata watoto wanakua hawajalala
Samahani lakini muda huu naona kama ni mzuri kwa watoto kujisomea wenyewe, yaani kuangalia madaftari na kudurusu yale waliyosomeshwa shuleni siku ile.

Au mimi ni wa zamani sana siku hizi mambo yamebadilika?
 
Back
Top Bottom