Ivan Ssemwanga anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato?

Ivan Ssemwanga anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato?

Kuna jamaa yangu yuko kampala anafanya kazi media house moja kubwa alinitumia DM za zari kwa Ivan wakati wa ile issue ya domo ya nyumba wakati wa BD ya Zari. Zari alikuwa anamplease sana Ivan asijibu wala kufanya lolote n its like zari anajua how rich gang are capable of doing. N its like zari ana meet sana na Ivan huko SA.
Halafu hawa rich gang wakitaka kuexpose kila mawasiliano ya zari kwa Ivan mbona domo atamkimbiza zari mchana kweupe
Iliachiwa sextape sijui clip na hajaachwa mtu, usipende kuwa mpiga ramli kwenye mapenzi ya wenzio. Wakichokana wataachana tu.
 
mganga yule!

Zari na Ivan ni partners in crimes na ukumbuke wale ni wazazi wa watoto wa3

Naamini mpk Leo Ivan anakula mzigo ule kiulaini!

Na mondi anachunwaaa!!

Hujawahi ona mwanamke kaolewa Ila bwana ake wa longi akimtaka anampata kwa urahisi tu!

So Mwisho wa mchezo Zari atarudi kwa ivan !!


Amini maneno yangu!
Sasa hapa nani ni mganga wa kienyeji, wewe au Ivan au wote, najaribu kujiuliza umeyajuaje hayo uliyoyasimulia hapo!
 
Soma Autography ya Pablo, sio maneno yangu its true. Hana picha akiwa ameshika hata dollar moja.

My point sio diversity ya life styles, because hata vichaa ni tofauti na wenye akili timamu.

My point ni kuwa, attachments on show-off?

Kuna rich peoples ambao hawana hiyo show-off na wana pesa.

And beside, at the end everyone was born naked and we will die naked. We will leave everything, hatutaondoka hata na senti moja, not even our bodies and its beautiful look, tutaacha vyote.

Then we can do something meaningful in life, something that can not decay. Sio sifa.
Kama they cant show what they have then its up to them.. Hakuna sheria ya nchi wala ya kidini inayolazimisha tajiri asiwe na show off.. Besides everyone has his/her way to show off.. Hao matajiri unaosema they don't brag out waambie watembelee Vits na wakae kwenye nyumba za kawaida..

Mistake kulazimisha kila mtu aishi kama mtakavyo..
 
Anamiliki chuo halafu unajijibu mwenyewe, mume mnakubaki yao na kutaka kujua wamepataje nanyi mpate kumiliki.

Vyuo ni umiliki wake na mama watoto wake aka Mke wa Diamond.
 
Bill Gates
Warren Buffet
Mark zuckerberg
Amancio ortega
R.Mengi
Mzee Bakhresa

Moh dewj
.
.
Etc.

Toka nime anza kuwafatilia hawa nilio wataja apo juu sija wahi ona wakifanya show offs za kijinga kama anazo fanya uyu jamaa + mywether na wengneo
Sijui ni ushamba??
Kila mtu ana jinsi ya kushow off... Mfano, Mzee Mengi hatembei na gari yeyote zaidi ya Mercedes Benz..
 
Nothing is personal , nauliza tu kama hao unaoendelea kuwataja hawapigi picha na hela basi wengine wanaojisikia kufanya hivyo wasifanye?
Haha Haya usiku mwema kesho twende Bank Ku Deposit mahela au sio halafu tuje tupige picha
bca35575b936409870975363bd48a49a.jpg
[emoji3] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji16] [emoji38]
 
Back
Top Bottom