Ivi dar live(mbagala) ni ya nan?

Ivi dar live(mbagala) ni ya nan?

kinondoni unataka kuifananisha na mbagala!!!unajua leaders iko maeneo gani au unaisoma tu magazetini????leaders iko kinondoni kitovuni mwa ada estate yaani hapo utakuta nyumba za vigogo wa serikali yako,ukichungulia huku ubalozi wa france,mbele kidogo ulipokuwa ubalozi wa marekani zamani, ukikata corner bahari ya hindi!kiufupi ukiwa leaders kipupwe cha bahari unajenga nacho urafiki!!!!!!haya toa maeneo yanayopakana na maeneo ya dar live!!!kama hujaanza kusema sijui kwa mbele shamba la nazi la mzee kauzeni,kwa nyuma sijui fundi seremala cheusi dawa ukikata kona magofu ya mabomu...we!!!!iache leaders kabisa!

Very low! Na wewe unajiita great thinker??
 
Bab usipanic!ishi maisha yako usishandane na mtu!mimi napenda maisha haya!wewe unaweza ukapata million ukafikiria kuzalisha mimi nikapata hiyo million nikafikiria kununua kitu ambacho naamini kitanipa furaha!!!usikubali unyonge!nenda dar live kama umemiss ulocal flan au kuna kitu kitakupa furaha ila usiende dar live kufata urahisi!if I may ask u!dar live kuna nini cha ajabu kinitoe mimi kinondoni?

Hivi kumbe hata nyie wa huko Dar mnaonana washamba pia? Nilidhani kwa kuwa kwenu huko Dar sisi wa mnaotuita "wa mikoani" ndo washamba! Kuna kitu kimoja huwa kinanishangaza kuhusu nyie wa Dar, huwa mnajiona ndo mnajua kila kitu na kila starehe iko huko kwenu, hiyo mindset iko mpaka kwa watoto wenu, wakija huku mara oh iko wapi Mlimani city, Coco Beach etc!

Huh! Wakati mwingine hata vitu rahisi tu vya kimaisha mpaka mhangaike weee! Anyway ni ligi yenu hiyo Mbagala na Kinondoni!
 
Very low! Na wewe unajiita great thinker??

wewe pimbi kweli nani kakuambia mimi najiita great thinker????mimi nipo hapa nikishafanya mambo yangu nakuja kuchungulia nyie mnaojidanganya ndo magreat thinker mnaongelea nini!
 
inasemekana kiwanja ni cha mh john cheyo ila dar live niya shigongo inawezekana kuna ubia wa kibiashara kati ya hawa wasukuma
 
inasemekana kiwanja ni cha mh john cheyo ila dar live niya shigongo inawezekana kuna ubia wa kibiashara kati ya hawa wasukuma

Kuhusu kiwanja cha nani sina hakika lakini kwa Shigongo umepata....
 
Ridhwan hakuna parking bana ondoa benk ya CRDB haraka tupate parking
 
mbona kama mnagombana marafiki? tupeane habari kwa amani jamani! dar live ina milikiwa na Global publishers.Amani kwa wote.
 
Back
Top Bottom