Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Amesema hapo ni rafiki yakeKwani ni jamaa yake au yeye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema hapo ni rafiki yakeKwani ni jamaa yake au yeye?
Ngoja tujilazimishe kuamini hivyoAmesema hapo ni rafiki yake
Acha tujilazimishe itakuwa rafiki ake aliamua kushare nae tatizo alilonaloNgoja tujilazimishe kuamini hivyo
Kweli kushare na rafiki ni muhimuAcha tujilazimishe itakuwa rafiki ake aliamua kushare nae tatizo alilonalo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kushare na rafiki ni muhimu
Huyo demu wake ni mtoto wa mchungaji labdaJamani naombeni msaada kuna rafiki yangu sasa unakwenda mwezi wa saba amenyimwa unyumba na hajawahi kupewa papuchi hata angalau ya kuonja kama kuomba ameomba sana mpka amechoka mwanamke anamwambia asubili mpka atakapokuwa tayali jambo linalomfanya aumie roho ajione kama labda ana kasoro.
Lakini hebu tujiulezeni vizuli ivi mwanamke anayekupenda kwa dhati na moyo wote ni kweli anaweza kukunyima papuchi hata ile ya kuonja nusu nusu anakubania sana
Ni yao woteAnakunyima tu mkuu si ni yake mkuu
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha nilale zangu kuna kitu nimekumbuka kushare na rafikiAisee
Ni ya wote kweli lakini tukitumia ile philosophy idea ya nyerere socialism kwa idea zingne inagoma kuwa ya woteNi yao wote
Hahah!! Aya lalaAcha nilale zangu kuna kitu nimekumbuka kushare na rafiki
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseee nikweli mkuuNi ya wote kweli lakini tukitumia ile philosophy idea ya nyerere socialism kwa idea zingne inagoma kuwa ya wote
Hawezi, atakuonea huruma sana.Jamani naombeni msaada kuna rafiki yangu sasa unakwenda mwezi wa saba amenyimwa unyumba na hajawahi kupewa papuchi hata angalau ya kuonja kama kuomba ameomba sana mpka amechoka mwanamke anamwambia asubili mpka atakapokuwa tayali jambo linalomfanya aumie roho ajione kama labda ana kasoro.
Lakini hebu tujiulezeni vizuli ivi mwanamke anayekupenda kwa dhati na moyo wote ni kweli anaweza kukunyima papuchi hata ile ya kuonja nusu nusu anakubania sana
Hapo anakuwa hakuamini, anahisi akikupa utamkimbia...hahaha.Kaka nimekuelewa ivi mfano umepata binti ambaye anakujali kwa yote anakufanyia yote uyatakayo na anakusikiliza yote uyazungumzayo
Ila linapofika swala papuchi unapigwa kiswahili ivi hapa unazungumziaje
Ukikuta yaliyomo yamo! Unakaacha kale kabinti kaliokuwa kanakujali???????????????????????????????Ivi unajua Mapenzi ni zaidi ya ngono??
Sema shida inakuja unapoamua kuvumilia lkn nyuma.yapazia kuna muhun anakamua mpaka maziwa ya mwisho.
Sasa dawa ya hii kitu ni ndogo mno , Unatafuta mwanamke mwingine, unaendelea kula mzigo , siku atakapoona vema kukupazigo atakupa, na ukikuta yaliyomo sio yale alokua anakuzungushaaaaaa basi naww unamuacha ,unabaki na kabinti kako kalokua kanakujali .