Ivi mwanamke anayekupenda kweli anaweza kukunyima papuchi mpka siku atayoamua yeye au atakavyojisikia kukupa

Ivi mwanamke anayekupenda kweli anaweza kukunyima papuchi mpka siku atayoamua yeye au atakavyojisikia kukupa

Kweli kushare na rafiki ni muhimu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani naombeni msaada kuna rafiki yangu sasa unakwenda mwezi wa saba amenyimwa unyumba na hajawahi kupewa papuchi hata angalau ya kuonja kama kuomba ameomba sana mpka amechoka mwanamke anamwambia asubili mpka atakapokuwa tayali jambo linalomfanya aumie roho ajione kama labda ana kasoro.

Lakini hebu tujiulezeni vizuli ivi mwanamke anayekupenda kwa dhati na moyo wote ni kweli anaweza kukunyima papuchi hata ile ya kuonja nusu nusu anakubania sana
Huyo demu wake ni mtoto wa mchungaji labda
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee
 
Jamani naombeni msaada kuna rafiki yangu sasa unakwenda mwezi wa saba amenyimwa unyumba na hajawahi kupewa papuchi hata angalau ya kuonja kama kuomba ameomba sana mpka amechoka mwanamke anamwambia asubili mpka atakapokuwa tayali jambo linalomfanya aumie roho ajione kama labda ana kasoro.

Lakini hebu tujiulezeni vizuli ivi mwanamke anayekupenda kwa dhati na moyo wote ni kweli anaweza kukunyima papuchi hata ile ya kuonja nusu nusu anakubania sana
Hawezi, atakuonea huruma sana.

Mimi kuna Msichana hadi yupo """Siku zake""" ananiambia ngoja nikusaidie, ananipa mzigo kidogo[emoji2]
 
Kaka nimekuelewa ivi mfano umepata binti ambaye anakujali kwa yote anakufanyia yote uyatakayo na anakusikiliza yote uyazungumzayo
Ila linapofika swala papuchi unapigwa kiswahili ivi hapa unazungumziaje
Hapo anakuwa hakuamini, anahisi akikupa utamkimbia...hahaha.

Au anaogopa, ni kama mtu aliyeng'atwa na nyoka[emoji2] akiona jani anashtuka.
 
Ivi unajua Mapenzi ni zaidi ya ngono??

Sema shida inakuja unapoamua kuvumilia lkn nyuma.yapazia kuna muhun anakamua mpaka maziwa ya mwisho.

Sasa dawa ya hii kitu ni ndogo mno , Unatafuta mwanamke mwingine, unaendelea kula mzigo , siku atakapoona vema kukupazigo atakupa, na ukikuta yaliyomo sio yale alokua anakuzungushaaaaaa basi naww unamuacha ,unabaki na kabinti kako kalokua kanakujali .
Ukikuta yaliyomo yamo! Unakaacha kale kabinti kaliokuwa kanakujali???????????????????????????????
 
Kwa hyo mkuu wwe dem wako unakula[emoji13], ila tu unaumia mchz wako hapewi???!, au ni ww mwwnyw unatuzuga tu apaa!!?
Maan uko tooo empathetic
 
Back
Top Bottom