Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hapana sasa hapo ndo unaangalia major and minor factors !!Ukikuta yaliyomo yamo! Unakaacha kale kabinti kaliokuwa kanakujali???????????????????????????????
Niyupi kati yao anakustahili ?? Kisha unachagua mmoja .
Then unapiga magoti unaomba Mbingu zikusamehe,kiroho safi unaendeleza maisha.
Ujue, kuna watu walikua mabilionea sababu ya ujambazi wao, lkn baadae wakaacha ujambazi,wakatubu, nasaizi wanatumbua mihela na zaka na sadaka wanatoa km kawaida [emoji23][emoji23].