Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Mimi tangu mwaka jana mwezi wa 7 hadi leo nimenyimwa papuchi kisa mpaka ndoa.. Basi anaona kanikomoa hajui kwake nafuata utelezi, utamu ninao mwenyewe..
Inawezekana mkuu mapenzi sio ngono tu ni vitu vingi. Kuna manzi nilikaa nae tokea March 2015 mpaka juzi February ndio nikala uroda..
Demu anayekunyima hivyo huyo siyo demu wako. Maana vyote hivyo anavyofanya hata ndugu zako wanaweza kukusaidia. Demu ni demu anapotoa papuchi hapo ndiyo tofauti inapokujaKaka nimekuelewa ivi mfano umepata binti ambaye anakujali kwa yote anakufanyia yote uyatakayo na anakusikiliza yote uyazungumzayo
Ila linapofika swala papuchi unapigwa kiswahili ivi hapa unazungumziaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utakua mgeni na hizi mbinu za kutongoza, unafaa kumuongopea mrembo kwamba aachie utaingiza kichwa na kuchomoa basi.
Hapo chacha!!1 inakuwaje wanawake wanasemaga eti huyu mwanaume kanibaka?? mbona hawa wa hivi hawajawahi kubakwa? tena wanalala uchi usiku mzimakitanda kimoaja chumaba kimoja tena halali yako,Jamani naombeni msaada kuna rafiki yangu sasa unakwenda mwezi wa saba amenyimwa unyumba na hajawahi kupewa papuchi hata angalau ya kuonja kama kuomba ameomba sana mpka amechoka mwanamke anamwambia asubili mpka atakapokuwa tayali jambo linalomfanya aumie roho ajione kama labda ana kasoro.
Lakini hebu tujiulezeni vizuli ivi mwanamke anayekupenda kwa dhati na moyo wote ni kweli anaweza kukunyima papuchi hata ile ya kuonja nusu nusu anakubania sana
Ivi unajua Mapenzi ni zaidi ya ngono??
Sema shida inakuja unapoamua kuvumilia lkn nyuma.yapazia kuna muhun anakamua mpaka maziwa ya mwisho.
Sasa dawa ya hii kitu ni ndogo mno , Unatafuta mwanamke mwingine, unaendelea kula mzigo , siku atakapoona vema kukupazigo atakupa, na ukikuta yaliyomo sio yale alokua anakuzungushaaaaaa basi naww unamuacha ,unabaki na kabinti kako kalokua kanakujali .
Kuna mjanja zaidi uko anapewa kwa masharti nafuu kabisa...papuchi haiombwi mkuu