Ivi najaribiwa na muovu au nini?

Ivi najaribiwa na muovu au nini?

jamani mamito nimechinganya wapi mie lakini
au unanipakazia mjengoni humu, sina hata
chembe wala tone la :busu humu ndani
sijawahi fanya hivyo hata mara 1 na sina mtu
yeyote humu mjengoni isitoshe hata :croc:

iweje leo uniambie kuwa nimejichanganya na
usikute unatumiwa bila kujijua, hebu
sahihisha msemo wako wa mwanzo
pls pls pls pls pls bestito :focus:
mwallu asante kwa kunipa jukumu
hata hivyo ni kama ninaoteshwa neno fulani
hapa naona kama picha ya KakaKiiza ikiwa
mbele yako;

Ngoja niite kamati ya maombi kwanza
ili waweze kuifafanua ndoto Bujibuji japo ulikuwa
nyuma ya nondo sijui utakuwa huru lini; Paloma muke ya mutu sijui kama bado unao wito wa maombi; lady furahia japo umejichanganya sana lakini ukitubu utarudia wito wako;
Nasikia na Bishanga eti kaokoka; karibu tuombe ili mwallu awekwe huru;
 
Huyo ni chaguo lakoooo....chaguo lakoooo....
Unaujua hio wimbo?
Utafute ni wa somebody SANGA
 
Ni pale ulipokubali kupokea rushwa ya
kumpata mshindi wa wimbo bora tu

jamani mamito nimechinganya wapi mie lakini
au unanipakazia mjengoni humu, sina hata
chembe wala tone la :busu humu ndani
sijawahi fanya hivyo hata mara 1 na sina mtu
yeyote humu mjengoni isitoshe hata :croc:

iweje leo uniambie kuwa nimejichanganya na
usikute unatumiwa bila kujijua, hebu
sahihisha msemo wako wa mwanzo
pls pls pls pls pls bestito :focus:
 
Mamndenyi hakika nimepatwa na kigugumizi.
sina neno kwa huyu binti kwa sasa...................
 
Last edited by a moderator:
pole sana ladyfurahia...mie sitaki wala sitakaa niwaze kuondoka utawani..kuna raha yake ya kunitosha tu..sema tu hili pito nalo...mh!

Baba V..watawa tunalala parokiani tu..sio sehemu nyingine
Sijui nianzie wapi kukushauri mamito mwallu
kwani hata mm nilikuwa mtawa mambo yakanishinda
Dayosisi ya nyanda za kati na kusini, si nikamezwa na
:smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow:
nikaingia quality game na hivi sasa niko 2 in 1

Ila cha kukushauri bestito kuwa mtu wa maombi
na mtu mwenye kuipenda huduma yako ya utawa
huku ukichochea kwa sala na dua nadhani hapo
utasaidika bestito
 
Last edited by a moderator:
Sijui nianzie wapi kukushauri mamito mwallu
kwani hata mm nilikuwa mtawa mambo yakanishinda
Dayosisi ya nyanda za kati na kusini, si nikamezwa na
:smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow:
nikaingia quality game na hivi sasa niko 2 in 1

Ila cha kukushauri bestito kuwa mtu wa maombi
na mtu mwenye kuipenda huduma yako ya utawa
huku ukichochea kwa sala na dua nadhani hapo
utasaidika bestito

......kuuumbeeeeeeeeeeee!!!!
 
hahahahahahahaahhhh
usiwatishe watu. mwallu ni mwallu na ni ID ya mtu mmoja tu

Palomaa say sth au shusha maombi n

Erickb52 sitaki kuwaza hayo..niombee nishikamane zaidi na wito huu nilionao
Na wewe umeingia mkenge. Unataka kunambia mpaka sasa hujamjua mwallu ni nani?

Mtanishangaza. Ngoja nami nikaibuke na ile id nyingine niwarushe roho.
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahahaahhhh
usiwatishe watu. mwallu ni mwallu na ni ID ya mtu mmoja tu

Palomaa say sth au shusha maombi n

Erickb52 sitaki kuwaza hayo..niombee nishikamane zaidi na wito huu nilionao

nlishtuka.....na nikaanza kukirieti picha zingine!!!

eti nipewe ruhusa na mai ozzbend ya kuja wapi!!!

ngoja nikaungame kisha naja toa boonge ya novena juu ya hili! na hivi huu ni mwezi wa Mama.....usijali kabisa!!!
 
nlishtuka.....na nikaanza kukirieti picha zingine!!!

eti nipewe ruhusa na mai ozzbend ya kuja wapi!!!

ngoja nikaungame kisha naja toa boonge ya novena juu ya hili! na hivi huu ni mwezi wa Mama.....usijali kabisa!!!

Hahaha mtawa 24/7 yuko chitchat anachat hata hustuki?? Stuka Paloma, think!!
 
Last edited by a moderator:
mwallu lakini unajisikiaje kwenye huo utumishi?
Je unaweza kuendelea kuvaa hizo pingu za Bwana?

Tunaye mtawa mmoja mstaafu (Jina limenitoka), aliposhindwa
alileta bango hapa na ndoa ikabarikiwa huku huku
na sasa anaendelea kula raha ya ndoa.
 
Last edited by a moderator:
kuuacha utawa sio dhambi
ila mimi ni wito nilioitiwa,naona ivo kabisa..spiga maombi kwa sana tafadhari Mentor
Sister mwallu,
Hata Martin Luther alikuwa mtawa akauacha na kuingia ndani ya ndoa. Anywa sina maana hiyooooo ila sitaki tu uone kama dhambi kuuacha wito huo na kuufuata wito wa ndoa. Ingawa mimi braza Mentor nitasikitika kukukosa katika kumtumikia bwana full time natumai utakuwa unajiunga nasi mara moja moja.
 
Last edited by a moderator:
Asprin unaruhusiwa kuwaza na kuhitimisha utakavyo
Mamndenyi huu wito ni kutoka moyoni..naupenda sana na sifikirii ndoa kabisa
kiwatengu ..maombi yako hapa yanahitajika
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom