Ivi najaribiwa na muovu au nini?

Ivi najaribiwa na muovu au nini?

kuuacha utawa sio dhambi
ila mimi ni wito nilioitiwa,naona ivo kabisa..spiga maombi kwa sana tafadhari Mentor

Nitapiga maombi iwapo ni kumwambia, 'Mapenzi yako yatimizwe'! Maana huo nao ni wito na huenda ulikuwa mtawa kwa sababu tu Mr. right hakuwa ametokea kwa muda mrefu kiasi.
 
jamani mamito nimechinganya wapi mie lakini
au unanipakazia mjengoni humu, sina hata
chembe wala tone la :busu humu ndani
sijawahi fanya hivyo hata mara 1 na sina mtu
yeyote humu mjengoni isitoshe hata :croc:

iweje leo uniambie kuwa nimejichanganya na
usikute unatumiwa bila kujijua, hebu
sahihisha msemo wako wa mwanzo
pls pls pls pls pls bestito :focus:

mbona unajihami sana mamitoow.........usipanic bana!
past is past!!! sawa mamy
 
mmh jamani mwallu nadhani umeanza kupata hisia za kupenda. jiweke mbali na huyo mkaa bana usijepata majaribu bure!! ujue mimi niko kwenye zoezi la kukujoin huko utawani. hapa namtafuta mtu wa kuni "undo" tu. Baba V alitaka hii chance lakini bado nimemuweka kwenye probation.
 
Last edited by a moderator:
ombeni nanyi mtapewa
mi naomba kuendelea na utawa
Nitapiga maombi iwapo ni
kumwambia, 'Mapenzi yako yatimizwe'! Maana huo nao ni wito na huenda
ulikuwa mtawa kwa sababu tu Mr. right hakuwa ametokea kwa muda mrefu
kiasi.
 
Last edited by a moderator:
nakaa nae mbali..ata ivo nahitaji maombi ili kuondoa hii hali inayonipata
mmh jamani
mwallu nadhani umeanza kupata hisia za
kupenda. jiweke mbali na huyo mkaa bana usijepata majaribu bure!! ujue
mimi niko kwenye zoezi la kukujoin huko utawani. hapa namtafuta mtu wa
kuni "undo" tu. Baba V alitaka hii chance
lakini bado nimemuweka kwenye probation.
 
Last edited by a moderator:
Nilikuomba kujua parokia yako tushirikane.kuomba ila hujanipa!!!
 
nimechelewa kuja n@mwalu ila nina wasiwasi na uanawali wako kupotea punde
maana kama hutaki kupoteza nafasi yako ya utawa huyo kijana unataka kumwona wa nn hadi unaandaa semina lol
atazidi kukupagawisha na vikikolea lemba utalivua kama sister mary
 
Back
Top Bottom