Ivi najaribiwa na muovu au nini?

Ivi najaribiwa na muovu au nini?

Kaizer semina ni lini. Nimeshapotelewa tena na mkanda wangu wa kiunoni umenionea wapi. Samahani kama swali litakuwa gumu kwako lakini najua munaongea lugha moja unaweza kuniitia hata kwa lugha ya mama.
 
Last edited by a moderator:
ladyfurahia twende sawa sasa. Pata amani yako. Nilitaka kuona una ukomavu gani.
 
Last edited by a moderator:
Hapa nasikia harufu ya bikira kutokuwepo hapa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
huu msukumo ndo unanifanya hata niwaze ivo...kwa maombi yako naamini sitavua lemba hata nikuona tena
nimechelewa kuja n@mwalu ila nina wasiwasi na uanawali wako kupotea punde
maana kama hutaki kupoteza nafasi yako ya utawa huyo kijana unataka kumwona wa nn hadi unaandaa semina lol
atazidi kukupagawisha na vikikolea lemba utalivua kama sister mary
 
kwani we unali parokia gani kwa sasa?

Mwenge Dsm, St Peter Dodoma, St Theresia.Arusha, Nyakato Mwanza, Nyegezi Mwanza, chuo kikuu.Dsm na saut Mwanza. Kazi.zangu nazungukia.zaidi.hayo.maeneo na hozo zote huwa nasalu
 
bestito mbona hapo waonekana umevua lemba
mwenzio huyu mm.jpghakuvua lemba na Mungu alimpenda kwa kazi yake hapa duniani
huu msukumo ndo unanifanya hata niwaze ivo...kwa maombi yako naamini sitavua lemba hata nikuona tena
 
Back
Top Bottom