Kaizer
semina ni lini. Nimeshapotelewa tena na mkanda wangu wa kiunoni
umenionea wapi. Samahani kama swali litakuwa gumu kwako lakini najua
munaongea lugha moja unaweza kuniitia hata kwa lugha ya mama.
Mwenge Dsm, St Peter Dodoma,
St Theresia.Arusha, Nyakato Mwanza, Nyegezi Mwanza, chuo kikuu.Dsm na
saut Mwanza. Kazi.zangu nazungukia.zaidi.hayo.maeneo na hozo zote huwa
nasalu
mmh jamani mwallu nadhani umeanza kupata hisia za kupenda. jiweke mbali na huyo mkaa bana usijepata majaribu bure!! ujue mimi niko kwenye zoezi la kukujoin huko utawani. hapa namtafuta mtu wa kuni "undo" tu. Baba V alitaka hii chance lakini bado nimemuweka kwenye probation.