Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila picha uzi wako ni batili
Mnapokuwa kazini hamuoni umuhimu wa maandiko, ila mnapostaafu ndio roho mtakatifu huwashukia.Ikimbie zinaa.. IKIMBIE ZINAA 1 KOR. 6:18-19
Eti na wewe ni DrPathetic.
Kwa hiyo Bungeni tujaze watu kwa sababu ya urembo wao na sauti za kuvutia?
Hapo alipo ndipo panapomfaa. Kukuvutia tu ni sehemu ya kazi yake.
Mkuu weka kapicha! But still Ivona ni the best ever! Sio yule mchaga wako wa TBC miguu kama Maria Roza # lingongotiEsther kahumbi wa bbc swahili ndio best kwa sasa. mtazame siku moja.
Weka picha sasaNiseme tu kuwa huyu mtangazaji napenda haiba yake. Mbali na muonekano wake mzuri lakini ana sauti na uongeaji wa kipekee sana. Ana personality very unique na ukimfuatilia anavyo soma habari au kufanya mahojiano utagundua pia Kichwani yupo Smart sana.
Huyu ni mtangazaji wa pili zao la Star tv/ RFA ambapo nakumbuka kulikuwa na mtangazaji mwingine zamani alikuwa anaitwa Joan Itanisa , Sijui alipotelea wapi naye huyu alikuwa mzuri sana.
Natamani Mamlaka za nchi zimfuatilie IVONA zimuone hata kumpa teuzi au Ubunge viti Maalum. Imagine Sauti ile ikisikika Bungeni.
Niseme tu kuwa huyu mtangazaji napenda haiba yake. Mbali na muonekano wake mzuri lakini ana sauti na uongeaji wa kipekee sana. Ana personality very unique na ukimfuatilia anavyo soma habari au kufanya mahojiano utagundua pia Kichwani yupo Smart sana.
Huyu ni mtangazaji wa pili zao la Star tv/ RFA ambapo nakumbuka kulikuwa na mtangazaji mwingine zamani alikuwa anaitwa Joan Itanisa , Sijui alipotelea wapi naye huyu alikuwa mzuri sana.
Natamani Mamlaka za nchi zimfuatilie IVONA zimuone hata kumpa teuzi au Ubunge viti Maalum. Imagine Sauti ile ikisikika Bungeni.
HaaahaaaDume zima limbea!
Acha WivuIla mlevi sana
Mlevi umuonee wivu? 😡😡Acha Wivu
Watu wa aina yako tunao makazini, yaani kuponda kila anayesifiwa kwa utendaji. Ukisikia watu wana appreciate utendaji wa staff mwenzenu basi unajawa kijiba na kuanza kuponda kuwa yule ni mchoyo, mdini nk. Nina uhakika wewe huko unakofanyia upo hivyo.Mlevi umuonee wivu? 😡😡
Huyu dada KWENYE camera siyo uhalisia ukimuona live ni mzuri sana live kuliko HATA camera KWA mimi binafsi alafu awe amenyoa ni mzuri mnoIvona.......what a beautiful lady.....
Fundi umeme upo sahihiNiseme tu kuwa huyu mtangazaji napenda haiba yake. Mbali na muonekano wake mzuri lakini ana sauti na uongeaji wa kipekee sana. Ana personality very unique na ukimfuatilia anavyo soma habari au kufanya mahojiano utagundua pia Kichwani yupo Smart sana.
Huyu ni mtangazaji wa pili zao la Star tv/ RFA ambapo nakumbuka kulikuwa na mtangazaji mwingine zamani alikuwa anaitwa Joan Itanisa , Sijui alipotelea wapi naye huyu alikuwa mzuri sana.
Natamani Mamlaka za nchi zimfuatilie IVONA zimuone hata kumpa teuzi au Ubunge viti Maalum. Imagine Sauti ile ikisikika Bungeni.
FOR YOUR INFORMATION SOME RETIREES WANA MIRADI YA KUTOSHA KUISHI VEMA KABISA NAPENSHENI KUBWA TU. LAKINI ZINAA HAPANA. IKIMBIE ZINAAA, NARUDIAMnapokuwa kazini hamuoni umuhimu wa maandiko, ila mnapostaafu ndio roho mtakatifu huwashukia.
Ndugu yangu Retired au hela ya mafao imeshakata
Nasubiria tuu aachike nijitwalie hiyo pic kali! Ipo siku tena si nyingi atakuwa wanguHuyu dada KWENYE camera siyo uhalisia ukimuona live ni mzuri sana live kuliko HATA camera KWA mimi binafsi alafu awe amenyoa ni mzuri mno