thatfunnyboy23
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 850
- 1,134
Hahahaha sawa mkuuNasubiria tuu aachike nijitwalie hiyo pic kali! Ipo siku tena si nyingi atakuwa wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha sawa mkuuNasubiria tuu aachike nijitwalie hiyo pic kali! Ipo siku tena si nyingi atakuwa wangu
HaaahaaaFundi umeme upo sahihi
Aisee huyu una mwaga ubongo hatari😍😍😍😍Ivona.......what a beautiful lady.....
Acha uongo,ivona ana ulevi gani?kutaka kuharibu personality ya mtu 🤔Ila mlevi sana
Labda Ulaya na sio Bongo. Wastaafu wengi hapa ni mashaka na Stress na mnakuwa mmepigika sana .FOR YOUR INFORMATION SOME RETIREES WANA MIRADI YA KUTOSHA KUISHI VEMA KABISA NAPENSHENI KUBWA TU. LAKINI ZINAA HAPANA. IKIMBIE ZINAAA, NARUDIA
Huyu na mme wake wana ajiriwaga pamoja sijui wanafanyaje 😃Ivona.......what a beautiful lady.....
Jamaa kwa kweli alipata dhahabu.Chombo ya Raymond Nyamwihula hiyo mkuu,acha kutamani vya watu.
Mumewe yupo hapo hapo, hachezi mbali naye, ila sijawahi kuona wakisema Habari pamojaNiseme tu kuwa huyu mtangazaji napenda haiba yake. Mbali na muonekano wake mzuri lakini ana sauti na uongeaji wa kipekee sana. Ana personality very unique na ukimfuatilia anavyo soma habari au kufanya mahojiano utagundua pia Kichwani yupo Smart sana.
Huyu ni mtangazaji wa pili zao la Star tv/ RFA ambapo nakumbuka kulikuwa na mtangazaji mwingine zamani alikuwa anaitwa Joan Itanisa , Sijui alipotelea wapi naye huyu alikuwa mzuri sana.
Natamani Mamlaka za nchi zimfuatilie IVONA zimuone hata kumpa teuzi au Ubunge viti Maalum. Imagine Sauti ile ikisikika Bungeni.
NyamuhulaHuyu na mme wake wana ajiriwaga pamoja sijui wanafanyaje 😃
Mbona wakawaida!Ivona.......what a beautiful lady.....
Halafu zinapopitishwa sheria za hovyo bungeni tu akuja kulalamimia Tra.Pathetic.
Kwa hiyo Bungeni tujaze watu kwa sababu ya urembo wao na sauti za kuvutia?
Hapo alipo ndipo panapomfaa. Kukuvutia tu ni sehemu ya kazi yake.
Kilele cha mafanikio ya raia wa nchi hii wote ni kupata teuzi au platform za kisiasa?? Kama anafanya vzr kwann usimuombee aje kumiliki Tv yake ifanye vzr kuliko Azam??Niseme tu kuwa huyu mtangazaji napenda haiba yake. Mbali na muonekano wake mzuri lakini ana sauti na uongeaji wa kipekee sana. Ana personality very unique na ukimfuatilia anavyo soma habari au kufanya mahojiano utagundua pia Kichwani yupo Smart sana.
Huyu ni mtangazaji wa pili zao la Star tv/ RFA ambapo nakumbuka kulikuwa na mtangazaji mwingine zamani alikuwa anaitwa Joan Itanisa , Sijui alipotelea wapi naye huyu alikuwa mzuri sana.
Natamani Mamlaka za nchi zimfuatilie IVONA zimuone hata kumpa teuzi au Ubunge viti Maalum. Imagine Sauti ile ikisikika Bungeni.