Ivona kamuntu yupo vema sana

Weka picha sasa

Ova
 

Ila mlevi sana
 
Mlevi umuonee wivu? 😡😡
Watu wa aina yako tunao makazini, yaani kuponda kila anayesifiwa kwa utendaji. Ukisikia watu wana appreciate utendaji wa staff mwenzenu basi unajawa kijiba na kuanza kuponda kuwa yule ni mchoyo, mdini nk. Nina uhakika wewe huko unakofanyia upo hivyo.

Acha wivu
 
Fundi umeme upo sahihi
 
Mnapokuwa kazini hamuoni umuhimu wa maandiko, ila mnapostaafu ndio roho mtakatifu huwashukia.

Ndugu yangu Retired au hela ya mafao imeshakata
FOR YOUR INFORMATION SOME RETIREES WANA MIRADI YA KUTOSHA KUISHI VEMA KABISA NAPENSHENI KUBWA TU. LAKINI ZINAA HAPANA. IKIMBIE ZINAAA, NARUDIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…