Ivona kamuntu yupo vema sana

FOR YOUR INFORMATION SOME RETIREES WANA MIRADI YA KUTOSHA KUISHI VEMA KABISA NAPENSHENI KUBWA TU. LAKINI ZINAA HAPANA. IKIMBIE ZINAAA, NARUDIA
Labda Ulaya na sio Bongo. Wastaafu wengi hapa ni mashaka na Stress na mnakuwa mmepigika sana .

Ila kama uliliheshimu neno ungali kijana na ungali kazini basi sina ugomvi na wewe na sio unanyenyekea kwa mistari baada ya kupigika .
 
Mumewe yupo hapo hapo, hachezi mbali naye, ila sijawahi kuona wakisema Habari pamoja
 
Mr....
.
 

Attachments

  • FB_IMG_1684531712707.jpg
    44 KB · Views: 3
Pathetic.

Kwa hiyo Bungeni tujaze watu kwa sababu ya urembo wao na sauti za kuvutia?

Hapo alipo ndipo panapomfaa. Kukuvutia tu ni sehemu ya kazi yake.
Halafu zinapopitishwa sheria za hovyo bungeni tu akuja kulalamimia Tra.
Kuna pumba zinaongewa bungeni hafi unashangaa , kumbe watu wanaangalia sura na sauti ya mbunge .
 
Kilele cha mafanikio ya raia wa nchi hii wote ni kupata teuzi au platform za kisiasa?? Kama anafanya vzr kwann usimuombee aje kumiliki Tv yake ifanye vzr kuliko Azam??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…