Uchaguzi 2020 Iwapo CCM itarudi madarakani, watumishi wa umma kukaa miaka sita na mshahara ule ule wa tangu Julai, 2015

Uchaguzi 2020 Iwapo CCM itarudi madarakani, watumishi wa umma kukaa miaka sita na mshahara ule ule wa tangu Julai, 2015

SS, unajitahidi sana, you are doing justice to your job, unakula oesa halali kwa kazi uliyotumwa na kulipwa.

Kwenye hili la mishahara ninakuinga mkono kuwa ni kosa kubwa linalofanywa na serekali ya chama changu, nina imani kuwa iwamu ijayo litarekebishwa.

Iwapo mishara haiongezwi, basi serekali ipunguze Ushuru, ili biashara ishamiri, na vitu na vyakula viwe vya bei nafuu.

UAE - Dubai, wamewagomea jirani zao Saudia kuongeza kodi ya VAT kutoka 5% hadi 15%, na custom duty bado iko palepale 4%, na baadhi ya vitu havilipiwi custom duty. Biasha zao zimeshamiri sana na mzunguko ni mkubwa sana hivyo vijikodi wanazopata zinekuwa mara dufu ya ingekuwa kodi zao ziko juu, ndio maana biashara yao ya RE-EXPORT ni kubwa sana ni $146 billions kwa mwaka, jee nasi tusingeweza pata hata robo ya hiyo kwa re export kwa nchi jirani, badala ya wao kwenda China, Dubai ama Uturuki, mashirika mengi yange fungua branches TZ, uchumi wetu ungepanda, ajira zingekuwa kemkem.
 
Kwa upande wa Watumshi wa Umma,Bajeti hii iliopita jana inamanisha jambo moja kubwa sana kwao nalo ni kubaki na mshahara ule ule wa tangu mwaka wa fedha wa 2015/2016 ulioanza July, 2015 na mshahara huo wataenda nao mpaka mwaka wa fedha wa 2021/2022(July 2021) hapa ikamanisha watakaa kwa kipindi cha miaka 6 na mshahara ule ule, na asipongeza tena hiyo July, 2021 iwapo CCM itarudi madarakani, maana yake watakaa kwa miaka 7 mpaka July, 2022 katika mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Hakika hii ni hatari na hili jambo lina madhara makubwa sana kwa watumishi na madhara haya yatagusa mpaka mafao yao kwani mshahara mtu anaostaafu ndio hutumika katika kukokotoa mafao yake(nijuavyo mimi) hivyo athari za kutopandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa miaka hii 6 itagusa kila mtumishi alieko katika utumishi wa umma leo hii hata kama bado ana miaka 10 au 20 ya kuendelea kuwa kazini unless utaratibu wa kukokokotoa mafao utakuja badilishwa huko mbeleni.

Kuirudisha CCM madarakani itakuwa ni kosa kubwa sana la kuendeleza unyanyasaji huu wa watumishi wa umma.
Wafanyakazi hawajielewi, achana nao wale joto yajiwe!
 
Kwa upande wa Watumshi wa Umma,Bajeti hii iliopita jana inamanisha jambo moja kubwa sana kwao nalo ni kubaki na mshahara ule ule wa tangu mwaka wa fedha wa 2015/2016 ulioanza July, 2015 na mshahara huo wataenda nao mpaka mwaka wa fedha wa 2021/2022(July 2021) hapa ikamanisha watakaa kwa kipindi cha miaka 6 na mshahara ule ule, na asipongeza tena hiyo July, 2021 iwapo CCM itarudi madarakani, maana yake watakaa kwa miaka 7 mpaka July, 2022 katika mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Hakika hii ni hatari na hili jambo lina madhara makubwa sana kwa watumishi na madhara haya yatagusa mpaka mafao yao kwani mshahara mtu anaostaafu ndio hutumika katika kukokotoa mafao yake(nijuavyo mimi) hivyo athari za kutopandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa miaka hii 6 itagusa kila mtumishi alieko katika utumishi wa umma leo hii hata kama bado ana miaka 10 au 20 ya kuendelea kuwa kazini unless utaratibu wa kukokokotoa mafao utakuja badilishwa huko mbeleni.

Kuirudisha CCM madarakani itakuwa ni kosa kubwa sana la kuendeleza unyanyasaji huu wa watumishi wa umma.
Akuongeze mshahara ili ufurahi, wategemee mwingine akija furaha yake ni kuona watu wakiteseka.
 
Mimi nina rafiki zangu ni waalimu tangu siku wamefungua account benki ndiyo ilikuwa siku ya kwanza na mwisho ya kuishika card yao ya benki maana walisha ikabidhi kwa mkopeshaji wao
Kwa upande wa Watumshi wa Umma,Bajeti hii iliopita jana inamanisha jambo moja kubwa sana kwao nalo ni kubaki na mshahara ule ule wa tangu mwaka wa fedha wa 2015/2016 ulioanza July, 2015 na mshahara huo wataenda nao mpaka mwaka wa fedha wa 2021/2022(July 2021) hapa ikamanisha watakaa kwa kipindi cha miaka 6 na mshahara ule ule, na asipongeza tena hiyo July, 2021 iwapo CCM itarudi madarakani, maana yake watakaa kwa miaka 7 mpaka July, 2022 katika mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Hakika hii ni hatari na hili jambo lina madhara makubwa sana kwa watumishi na madhara haya yatagusa mpaka mafao yao kwani mshahara mtu anaostaafu ndio hutumika katika kukokotoa mafao yake(nijuavyo mimi) hivyo athari za kutopandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa miaka hii 6 itagusa kila mtumishi alieko katika utumishi wa umma leo hii hata kama bado ana miaka 10 au 20 ya kuendelea kuwa kazini unless utaratibu wa kukokokotoa mafao utakuja badilishwa huko mbeleni.

Kuirudisha CCM madarakani itakuwa ni kosa kubwa sana la kuendeleza unyanyasaji huu wa watumishi wa umma.
 
Kwa upande wa Watumshi wa Umma,Bajeti hii iliopita jana inamanisha jambo moja kubwa sana kwao nalo ni kubaki na mshahara ule ule wa tangu mwaka wa fedha wa 2015/2016 ulioanza July, 2015 na mshahara huo wataenda nao mpaka mwaka wa fedha wa 2021/2022(July 2021) hapa ikamanisha watakaa kwa kipindi cha miaka 6 na mshahara ule ule, na asipongeza tena hiyo July, 2021 iwapo CCM itarudi madarakani, maana yake watakaa kwa miaka 7 mpaka July, 2022 katika mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Hakika hii ni hatari na hili jambo lina madhara makubwa sana kwa watumishi na madhara haya yatagusa mpaka mafao yao kwani mshahara mtu anaostaafu ndio hutumika katika kukokotoa mafao yake(nijuavyo mimi) hivyo athari za kutopandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa miaka hii 6 itagusa kila mtumishi alieko katika utumishi wa umma leo hii hata kama bado ana miaka 10 au 20 ya kuendelea kuwa kazini unless utaratibu wa kukokokotoa mafao utakuja badilishwa huko mbeleni.

Kuirudisha CCM madarakani itakuwa ni kosa kubwa sana la kuendeleza unyanyasaji huu wa watumishi wa umma.
Tusipobadilika Watanzania tutapata shida sana,suala LA watumishi wa umma linatuhusu sote maana tunategemeana.
Huyu Mzee anajijali yeye na wakwake tu,Kuna watu wananeemeka sana kwa uwepo wake,tuwe makini tuangushe mbuyu bila kuumizana.
 
Watumishi wa Umma hata wasipopiga KURA hawana Impact yoyote kwa Matokeo ya Uchaguzi.
 
Awamu hii magu kawaumiza watumishi Wa umma hatari, yaani walimu ndo wameachwa hohe hai utadhani yeye hakuwa mwalimu.Duh wanasiasa. Hawaaminiki
Hapo hapo utashangaa polisi wanaisaidia tena ccm ishinde ili waendelee kuwa masikini waje wakose tena haki zao,naami ili uwe mtumishi ni lzm urogwe kwanza.Inakuwaje usaidie kitu usichofaida nacho huku ukijua kitakuja kukuumiza again.
 
Mkuu mimi naamini kabisa Wafanyakazi wengi wanajitambua, Wakulima wengi wanajitambua na Wafanyabiashara wengi wanajitambua. Mateso makubwa waliyoyapata ndani ya hii miaka mitano chini ya huyo dikteta KAMWE hawawezi kumpigia kura Mbunge wa ccm wala huyo dikteta lakini bila TUME HURU ya Uchaguzi hiyo ni kazi bure kwani kutakuwa na wizi wa kufa mtu ambao pia unaweza kusababisha damu kumwagika sehemu mbali mbali nchini. TUME HURU ndiyo dawa pekee ya kuwaondoa hawa wahuni madarakani.

2430180_ERFcWLLW4AIVOAq.jpg
Nina imani sana kuwa baada ya uchaguzi wa mwaka huu jina la Tanzania litatajwa sana nchini uholanzi
 
Of course Mimi Ni mwana CCM ila kura yangu siwez mpa rais Magufuli kwa shida wako nayo watumishi wa umma na wazazi wao mashambani. Ila pia simpi kura mtu yoyote
 
Walipotezwa sana mwaka 2015,lkn safari hii wameapa kutorudia makosa kabisa maana wanajuta
Watu ushindwa kuelewa.Nchi sio chama,nchi ni katiba panapo katiba yeyeto tu hata liquid anaweza ongoza, kuongoza sio labda kuna mtu special, kiongozi ni Kama figure tu nembo ya nchi kukamilisha tu protocol.Yeyeto tu au chama chochote tu kinaweza ongoza tuache mazoea.Vyama kibao vya ukombozi vilishakufa na nchi zinasonga,Hakuna nchi isiyo nchi duniani imefutika eti tu chama asisi kimekufa.Hakuna chama chenye hatimiliki au mkataba wa kudumu
 
Vipi kuhusu wakulima na wafanya biashara?
Mkuu, watumishi wa umma wako laki nne hivi. Hata wasipopiga kura upande wa YESU hawawezi kuleta tofauti yoyote. Suala la muhimu ni kwamba wajiongeze tu kutafuta kipato cha ziada kwenye biashara ndogo ndogo
 
Hata huko kwenye kulima hakuna usalama kwani wakulima wa korosho bado wanalia kila msimu maana soko lao limevurugwa vibaya sana
Watumishi wauma wajiandae tu kuwa kama CCM ikiendelea kutawala hawatapata nyongeza hata senti tano. Alishawaambia kuwa mapori yapo mengi sana Tanzania kama wanaona mishahara midogo waende kulima.
 
Hata sisi wakulima ndiyo wanazidi kutumaliza kabisa
Makundi yote yameumizwa only wachache tu ndio wamenufaika labda wakuu wa vyombo, viongozi wa dini,TISS lkn wengine wote yaani wakulima, wafanyabiashara, wahitimu,nk wote hoi.Wakirudia kosa wataumizwa zaidi huku mateso yakizidi ili kuwakomoa kabisa.Kwann mtu mmoja aumize wengi je tumerogwa?hatuna utashi?
 
Back
Top Bottom