Uchaguzi 2020 Iwapo CCM itarudi madarakani, watumishi wa umma kukaa miaka sita na mshahara ule ule wa tangu Julai, 2015

Uchaguzi 2020 Iwapo CCM itarudi madarakani, watumishi wa umma kukaa miaka sita na mshahara ule ule wa tangu Julai, 2015

Na hpo ni mpka yesu aamue kuongeza, asipoamua itabaki hvyo hvyo mpk 2025 Mungu akijalia, yesu oyeeee.
 
Upo sahihi mkuu
Watu ushindwa kuelewa.Nchi sio chama,nchi ni katiba panapo katiba yeyeto tu hata liquid anaweza ongoza, kuongoza sio labda kuna mtu special, kiongozi ni Kama figure tu nembo ya nchi kukamilisha tu protocol.Yeyeto tu au chama chochote tu kinaweza ongoza tuache mazoea.Vyama kibao vya ukombozi vilishakufa na nchi zinasonga,Hakuna nchi isiyo nchi duniani imefutika eti tu chama asisi kimekufa.Hakuna chama chenye hatimiliki au mkataba wa kudumu
 
Hii nchi ya ajabu sana unathamini ujenzi kuliko hata maisha ya raia wako
 
Mkuu hao watumishi wako wangapi? wananchi wa kawaida(wakulima, wajasiriamali, wafanyabiashara wadogo n.k) ni wengi zaidi na ndio wanaomkubali jembe. Jiandae kisaikolojia mzee atapita kwa zaidi asilimia 90% ya kura zote.
 
Mkuu hilo likitokea nitalia machozi ya furaha na huzuni kwa jinsi Nchi yetu ilivyopitia vipindi vigumu mno chini ya hawa wahuni. Nadhani pia Watanzania wengi watalia machozi ya furaha na huzuni na mitaani itakuwa kama tumepata uhuru wetu kwa mara ya kwanza na furaha yake ile furaha ya December 9, 1961 haitaona ndani kabisa kwani itakuwa kubwa sana isiyo kifani.
😂 😂 😂 😂 😂 hayo machozi yatunze
 
Mkuu mimi naamini kabisa Wafanyakazi wengi wanajitambua, Wakulima wengi wanajitambua na Wafanyabiashara wengi wanajitambua. Mateso makubwa waliyoyapata ndani ya hii miaka mitano chini ya huyo dikteta KAMWE hawawezi kumpigia kura Mbunge wa ccm wala huyo dikteta lakini bila TUME HURU ya Uchaguzi hiyo ni kazi bure kwani kutakuwa na wizi wa kufa mtu ambao pia unaweza kusababisha damu kumwagika sehemu mbali mbali nchini. TUME HURU ndiyo dawa pekee ya kuwaondoa hawa wahuni madarakani.

2430180_ERFcWLLW4AIVOAq.jpg

unalipenda sana hili gazeti la 2019, we ulishawahi kuona wapi watumishi wa umma kokote duniani wana furaha na mishahara yao? hakuna na haitawahi tokea! ukishaitwa mfanya kazi wewe unatakiwa kufanya kazi, na ndo kote duniani kupo ivo, infact nchi kama USA unamaliza tu shule unadaiwa mkopo wa mil 70 mpaka 100, hapo hujapata hata kazi, umeingia mtaani you use something called credit cards, madeni pia jumla! na ukiingia ofisini kamwe huezi kulipa hayo madeni na haiwezekani kodi yenyewe unakatwa 60%, ukiachana na jinsi life is expensive there!
 
Wafanayakazi wa uma hapa Bongo ni wanyenyekevu mmno.hata ktk sekta zenye risk kama za afya.Miaka 5 bila nyongeza ya mshahara sijawahi ona popote duniani hii
 
Wanawaweka watoto wao katika nafasi nzuri za kimaslahi,wanafanya vivyo hivyo na kwa ndugu zao pia,haitoshi wanaendelea kuwabeba marafiki zao pia,wasio na mahusiano nao ambao ndio wengi wanawaumiza, hawaifikirii kuhusu hatma yao,Mungu ni Fundi sana,ipo siku atailipa hii Karma kwa kuwa mara zote kilio cha mnyonye huleta dhahama kubwa sana kwa mnyongaji.
 
Mada kama hizi!huwa zinanifanya nitukane hadharani huyu jiwe !halafu Melo na genge lake wananifungia mwezi na nusu jf!!!!
 
Hili la mishahara ya watumishi wa uma ni ajenga hatari sana ya uchaguzi. Wakipatiakana watu wakaitumia vizuri ajenda hii ,,uma utawaunga mkono sana.
 
Kwa upande wa Watumshi wa Umma,Bajeti hii iliopita jana inamanisha jambo moja kubwa sana kwao nalo ni kubaki na mshahara ule ule wa tangu mwaka wa fedha wa 2015/2016 ulioanza July, 2015 na mshahara huo wataenda nao mpaka mwaka wa fedha wa 2021/2022(July 2021) hapa ikamanisha watakaa kwa kipindi cha miaka 6 na mshahara ule ule, na asipongeza tena hiyo July, 2021 iwapo CCM itarudi madarakani, maana yake watakaa kwa miaka 7 mpaka July, 2022 katika mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Hakika hii ni hatari na hili jambo lina madhara makubwa sana kwa watumishi na madhara haya yatagusa mpaka mafao yao kwani mshahara mtu anaostaafu ndio hutumika katika kukokotoa mafao yake(nijuavyo mimi) hivyo athari za kutopandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa miaka hii 6 itagusa kila mtumishi alieko katika utumishi wa umma leo hii hata kama bado ana miaka 10 au 20 ya kuendelea kuwa kazini unless utaratibu wa kukokokotoa mafao utakuja badilishwa huko mbeleni.

Kuirudisha CCM madarakani itakuwa ni kosa kubwa sana la kuendeleza unyanyasaji huu wa watumishi wa umma.
mkuu unaongeaga madini matupu,ni kweli mshahara asipopandisha makato ya pesheni yatabaki vilevile na hivyo kuathiri mafao ya watumishi
 
Cha kushangaza, hao watumishi ndio wa kwanza kuomba kazi ya ukarani mkuu na muongozaji kwenye uchaguzi mkuu, acha wapapaswe.
 
Mkuu hilo likitokea nitalia machozi ya furaha na huzuni kwa jinsi Nchi yetu ilivyopitia vipindi vigumu mno chini ya hawa wahuni. Nadhani pia Watanzania wengi watalia machozi ya furaha na huzuni na mitaani itakuwa kama tumepata uhuru wetu kwa mara ya kwanza na furaha yake ile furaha ya December 9, 1961 haitaona ndani kabisa kwani itakuwa kubwa sana isiyo kifani.
Exactly
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mkuu, watumishi wa umma wako laki nne hivi. Hata wasipopiga kura upande wa YESU hawawezi kuleta tofauti yoyote. Suala la muhimu ni kwamba wajiongeze tu kutafuta kipato cha ziada kwenye biashara ndogo ndogo
PAYE imepungua kwa TZS 51,000 itaongeza net pay kwa TZS 51,000
 
Back
Top Bottom