Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!.
Nakuomba sana Rais JK, hili usilikubali, uamuzi huu ukifika kwenye vikao vyenu vya juu, msikubali kuutekeleza!. Najua huyu Mzee amekuwa akimwaga sumu kuhusu muungano, nawashauri mhudumieni kama ambavyo mnahudumia Aboud Jumbe!. kumfukuza ni makosa!, mmefanya kosa kumfukuza Yusuph Himid, CUF wamemdaka, na sasa anaiumiza sana CCM Zanzibar!, kufanya kosa sio kosa, bali kosa ni kurudia kosa!, msilirudie kosa kama hili Zanzibar, kwa sababu sio tuu CCM itakuwa imejimaliza Zanzibar, bali itakuwa imefanya kosa la uhaini kwa kuweka mazingira ya kuvunjwa kwa huu muungano wetu adhimu!.
Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano huu wa serikalimbili, ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.
kwenye hili nimeshauri Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe Dr. Shein
Nliwahi kuandika sana kuhusu hiki kinachoitwa Muungano.
Pasco
Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!.
Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!TAARIFA MUHIMU:
Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Magharibi Unguja kupitia kikao chake kilichomalizika muda huu Kimemvua Uanachama wa C.C.M Mzee HASSAN NASSOR MOYO na hivyo kuanzia sasa Mzee Moyo si mwanachama tena wa Chama Cha Mapinduzi.
![]()
Hassan Nassor Moyo
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Nakuomba sana Rais JK, hili usilikubali, uamuzi huu ukifika kwenye vikao vyenu vya juu, msikubali kuutekeleza!. Najua huyu Mzee amekuwa akimwaga sumu kuhusu muungano, nawashauri mhudumieni kama ambavyo mnahudumia Aboud Jumbe!. kumfukuza ni makosa!, mmefanya kosa kumfukuza Yusuph Himid, CUF wamemdaka, na sasa anaiumiza sana CCM Zanzibar!, kufanya kosa sio kosa, bali kosa ni kurudia kosa!, msilirudie kosa kama hili Zanzibar, kwa sababu sio tuu CCM itakuwa imejimaliza Zanzibar, bali itakuwa imefanya kosa la uhaini kwa kuweka mazingira ya kuvunjwa kwa huu muungano wetu adhimu!.
Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano huu wa serikalimbili, ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.
kwenye hili nimeshauri Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe Dr. Shein
Nliwahi kuandika sana kuhusu hiki kinachoitwa Muungano.
- Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!.
- Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?
- Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kisheria (De Jure) Bali ni De Factor?!
- Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Union" na Kudanganywa ni "Articles of Union"!.
- Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
- Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1
- 'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'- Karume Jnr
- Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, then "Twende kwenye Serikali Moja!"
- Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili ndio utauvunja Muungano
Pasco