Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano?

Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano?

Pasco; utakusanya wangapi kuwarudisha makwao huko znz?
Je ukimaliza na ukifanikiwa kuwakusanya huko znz kuwasomba na kuwarudisha makwao hayo mabaki ya wavamizi je hiyo kazi itakuwa imeisha huko znz au utaiyendeleza na huku bara kuondoa wavamizi wa kichaga wakisukuma wa nyachusa wakifipa na kiha nk kuwaondoa wavamizi wa dar na kuwarudisha makwao?
Ndio wale aliowataja marehemu Mtikila kuwa wanaugua ugonjwa wa Epodomia - ni unyani
 
Wanabodi,

Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!.
Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!

Nakuomba sana Rais JK, hili usilikubali, uamuzi huu ukifika kwenye vikao vyenu vya juu, msikubali kuutekeleza!. Najua huyu Mzee amekuwa akimwaga sumu kuhusu muungano, nawashauri mhudumieni kama ambavyo mnahudumia Aboud Jumbe!. kumfukuza ni makosa!, mmefanya kosa kufukuza Himid, CUF wamemdaka, na sasa anaiumiza sana CCM Zanzibar!, kufanya kosa sio kosa, bali kosa ni kurudia kosa!, msilirudie kosa kama hili Zanzibar, kwa sababu sio tuu CCM itakuwa imejimaliza Zanzibar, bali itakuwa imefanya kosa la uhaini kwa kuweka mazingira ya kuvunjwa kwa huu muungano wetu adhimu!.

Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano, ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.

Nliwahi kuandika sana kuhusu hiki kinachoitwa Muungano.

[h=3]Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ?!...
[/h][h=3]Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano?!.
[/h][h=3]Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria?!.
[/h][h=3]Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Union" badala ya "Articles of Union!".
[/h][h=3]Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa Zanzibar!.
[/h][h=3]Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu!.
[/h][h=3]'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'-Karume
[/h][h=3]Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then Twende Kwenye Nchi Moja Serikali Moja!.
[/h][h=3]Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili Ndio Utavunja Muungano!.
[/h] Pasco
Hii ndio sababu aliyeshinda hakupewa!.
Nawatakia mapumziko mema ya leo siku ya Muungano.

Pasco
 
Leo siku ya Muungano sio vibaya Tukijikumbusha mambo ya Muungano wetu adhimu ambao tutaulinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia Muungano mwema.
P.
 
Na ndio maana ccm haitaki kutoa Zanzibar nje ya chama chao,wanatumia jeshi na vyombo vya dola
 
Wanabodi,

Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!.

Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!

Nakuomba sana Rais JK, hili usilikubali, uamuzi huu ukifika kwenye vikao vyenu vya juu, msikubali kuutekeleza!. Najua huyu Mzee amekuwa akimwaga sumu kuhusu muungano, nawashauri mhudumieni kama ambavyo mnahudumia Aboud Jumbe!. kumfukuza ni makosa!, mmefanya kosa kufukuza Himid, CUF wamemdaka, na sasa anaiumiza sana CCM Zanzibar!, kufanya kosa sio kosa, bali kosa ni kurudia kosa!, msilirudie kosa kama hili Zanzibar, kwa sababu sio tuu CCM itakuwa imejimaliza Zanzibar, bali itakuwa imefanya kosa la uhaini kwa kuweka mazingira ya kuvunjwa kwa huu muungano wetu adhimu!.

Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano, ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.

Nliwahi kuandika sana kuhusu hiki kinachoitwa Muungano.

[h=3]Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ?!...
[/h][h=3]Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano?!.
[/h][h=3]Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria?!.
[/h][h=3]Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Union" badala ya "Articles of Union!".
[/h][h=3]Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa Zanzibar!.
[/h][h=3]Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu!.
[/h][h=3]'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'-Karume
[/h][h=3]Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then Twende Kwenye Nchi Moja Serikali Moja!.
[/h][h=3]Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili Ndio Utavunja Muungano!.
[/h] Pasco



Muungano kwa nje unapicha kama ni wa hiari lakini Muungano wa Tanzania sio wa hiari kwasasa yaani hata asilimia 90% ya Wanzanzibari wakisema leo hawataki muungano hautavunjika huo ndiyo ukweli.
 
Wanabodi,

Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!.

Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!

Nakuomba sana Rais JK, hili usilikubali, uamuzi huu ukifika kwenye vikao vyenu vya juu, msikubali kuutekeleza!. Najua huyu Mzee amekuwa akimwaga sumu kuhusu muungano, nawashauri mhudumieni kama ambavyo mnahudumia Aboud Jumbe!. kumfukuza ni makosa!, mmefanya kosa kufukuza Himid, CUF wamemdaka, na sasa anaiumiza sana CCM Zanzibar!, kufanya kosa sio kosa, bali kosa ni kurudia kosa!, msilirudie kosa kama hili Zanzibar, kwa sababu sio tuu CCM itakuwa imejimaliza Zanzibar, bali itakuwa imefanya kosa la uhaini kwa kuweka mazingira ya kuvunjwa kwa huu muungano wetu adhimu!.

Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano, ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.

Nliwahi kuandika sana kuhusu hiki kinachoitwa Muungano.

[h=3]Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ?!...
[/h][h=3]Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano?!.
[/h][h=3]Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria?!.
[/h][h=3]Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Union" badala ya "Articles of Union!".
[/h][h=3]Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa Zanzibar!.
[/h][h=3]Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu!.
[/h][h=3]'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'-Karume
[/h][h=3]Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then Twende Kwenye Nchi Moja Serikali Moja!.
[/h][h=3]Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili Ndio Utavunja Muungano!.
[/h] Pasco
Mkuu kumbe unatamani muungano wa serikali moja yaani serikali moja ya JMT? Safi Sana ila wapenda madaraka hawako tayari kuyapoteza hivyo tusahau hilo kwa sasa.
 
Wanabodi,

Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!.

Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!

Nakuomba sana Rais JK, hili usilikubali, uamuzi huu ukifika kwenye vikao vyenu vya juu, msikubali kuutekeleza!. Najua huyu Mzee amekuwa akimwaga sumu kuhusu muungano, nawashauri mhudumieni kama ambavyo mnahudumia Aboud Jumbe!. kumfukuza ni makosa!, mmefanya kosa kufukuza Himid, CUF wamemdaka, na sasa anaiumiza sana CCM Zanzibar!, kufanya kosa sio kosa, bali kosa ni kurudia kosa!, msilirudie kosa kama hili Zanzibar, kwa sababu sio tuu CCM itakuwa imejimaliza Zanzibar, bali itakuwa imefanya kosa la uhaini kwa kuweka mazingira ya kuvunjwa kwa huu muungano wetu adhimu!.

Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano, ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.

Nliwahi kuandika sana kuhusu hiki kinachoitwa Muungano.

[h=3]Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ?!...
[/h][h=3]Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano?!.
[/h][h=3]Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria?!.
[/h][h=3]Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Union" badala ya "Articles of Union!".
[/h][h=3]Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa Zanzibar!.
[/h][h=3]Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu!.
[/h][h=3]'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'-Karume
[/h][h=3]Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then Twende Kwenye Nchi Moja Serikali Moja!.
[/h][h=3]Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili Ndio Utavunja Muungano!.
[/h] Pasco
Ccm haijawahi kushinda Zenji
 
Leo Tarehe 26 April, 2020 ni sikukuu ya Muungano, sikukuu hii ndio sikukuu muhimu kuliko hata uhuru kwasababu hii ni siku JMT ilipozaliwa. Lakini kutokana na janga hili la Corona, siku hii inaadhimishwa kimya kimya.
Naawatakia Muungano mwema huku nikisisitiza
Nautakia huu muungano wetu adhimu udumu milele na hivyo kukitokea yoyote anayetaka kuuchokoa muungano, namshauri chokochoko amchokoe pweza, muungano hutauweza kwasababu tutaulinda kwa gharama yoyote.
Nawatakia muungano mwema.
P
 
Mwanasiasa mkongwe na mwasisi wa Mapinduzi Zanzibar, Hassan Nassor Moyo amefariki usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake mkoani Tanga
Duh...!.
Huyu ndiye shuhuda pekee wa kusainiwa muungano wetu adhimu, aliyebaki kuwa hai.
Kifo hiki maana yake mashuhuda wote wa kusainiwa kwa The Articles of The Union Between Tanganyika and Zanzibar, wametangulia mbele ya haki.
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano?
RIP Mzee Hassan Nassor Moyo.
Inna lillah wainna ilayhi rajiuna

P
 
Wanabodi,

Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!

Pasco

Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu naungana na wewe, kuwa baada ya uchaguzi, Tanzania yaweza kuwa nchi moja yenye Dola moja (Serikali, Mahakama, na Bunge) au muungano wa nchi mbili zenye Serikali tatu (Serikali ya Muungano = Serikali ya Tanganyika + Serkali ya Mapinduzi Zanzibar).

Kitachotokea baada ya Uchaguzi Mkuu, iwapo:
• ACT Mzalendo (kwa maana ya Maalim Seif) kushinda uchaguzi huo (kitu ambacho ni ndoto) atataka Muungano wa Serikali Tatu, la Tanzania haitatawalika kimuungano.
• CCM ikashinda, itambue na kukubali kuwa imefika wakati wa kutokuendelea na Muungano wa Serikali mbili. Hili ni muhimu kwa kuimarisha muungano na kuitambulisha duniani kuwa Tanzania ni nchi moja.

Kwa misingi hiyo, ni busara kurejea kwenye Rasimu ya Katiba ya Warioba, uli kupitisha yaliyopendekezwa (Serikali moja au tatu). Muungano wa Serikali mbili kwa kizazi kipya ni mtihani mkubwa kwa ustawi wa Tanzania kama nchi moja. Kizazi kipya hakina mtazamo kama wa waasisi wa muungano.
 
Muungano ubaki kwenye mambo ya muungano kama makubaliano yalivokuwa. Matatizo yanasababishwa na bara kutaka kufanya mambo nje ya muungano, kama mahakama, uchumi na forodha, nk.

Muungano utadumu tukiuheshimu!
 
Huyu bwana anapenda makala ndefu sana lakini zisizo na maana, kitu ambacho angeweza kupiga summary kwa paragraph nne yeye kuandika msaafu kabisa.

Angekuwa mchungaji angekuwa anaomba saa nzima hadi watu wanaishia kula kiporo.

Muungano upo kikatiba haijalishi chama gani kinatawala upande upi wa muungano na kama ikitokea settings zikagoma si unakufa tu, kuna miungano mingi hapa duniani iliishakufa na maisha yanaendelea.
 
Mkuu mbona unaota ndoto za mchana ? CCM hakuna kushindwa
Leo Tarehe 26 April, 2020 ni sikukuu ya Muungano, sikukuu hii ndio sikukuu muhimu kuliko hata uhuru kwasababu hii ni siku JMT ilipozaliwa. Lakini kutokana na janga hili la Corona, siku hii inaadhimishwa kimya kimya.
Naawatakia Muungano mwema huku nikisisitiza
Nautakia huu muungano wetu adhimu udumu milele na hivyo kukitokea yoyote anayetaka kuuchokoa muungano, namshauri chokochoko amchokoe pweza, muungano hutauweza kwasababu tutaulinda kwa gharama yoyote.
Nawatakia muungano mwema.
P
 
Nisicho kijua Huu Muungano wetu Ukifa leo (Hatuombei) Raisi wa Tanzania Itakuwaje??
Naomba Wajuzi Mnifahamishe!
 
Wanabodi,

Wakati tunaelekea kusherehekea miaka 51 ya Muungano wetu adhimu, kuna taarifa za kushitusha kutoka Zanzibar!.

Kama ni kweli hili limefanyika, jee kuna uwezekano sasa CCM ndio imeamua kuuvunjilia mbali huu Muungano wetu adhimu kwa hoja za liwalo na liwe?! kwa sababu hatua hii italeta Chuki kwa Muungano, Wanzanzibari, Wataikataa Katiba Pendekezwa na October, CCM itapigwa chini!. Jee serikali ya CUF itauimarisha huu Muungano au ndio itauvunjilia mbali?!. Na hili likifanyika jee Tanzania bara tutakubali?!

Nakuomba sana Rais JK, hili usilikubali, uamuzi huu ukifika kwenye vikao vyenu vya juu, msikubali kuutekeleza!. Najua huyu Mzee amekuwa akimwaga sumu kuhusu muungano, nawashauri mhudumieni kama ambavyo mnahudumia Aboud Jumbe!. kumfukuza ni makosa!, mmefanya kosa kumfukuza Yusuph Himid, CUF wamemdaka, na sasa anaiumiza sana CCM Zanzibar!, kufanya kosa sio kosa, bali kosa ni kurudia kosa!, msilirudie kosa kama hili Zanzibar, kwa sababu sio tuu CCM itakuwa imejimaliza Zanzibar, bali itakuwa imefanya kosa la uhaini kwa kuweka mazingira ya kuvunjwa kwa huu muungano wetu adhimu!.

Mimi Pasco wa jf, sio muumini wa Muungano huu wa serikalimbili, ni muumini kwa ukweli halisi na ukweli daima wa kihistoria kuwa Zanzibar, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!, hatihitaji muungano wowote na Zanzibar kwa sababu ni sehemu yetu ya kihistoria kabla hawajaja wavamizi fulani kutoka huko walikotoka, na kuvivamia visiwa vyetu vile, just like that as if wameviokota, ndio maana mawazo yangu kwenye muundo wa muungano, nilipendekeza Muungano wa serikali moja, Zanzibar iwe treated tuu kama mkoa wa Zanzibar wenye wilaya mbili za Uguja na Pemba!. Naamini wale Watanzania halisi, wote hili wataliafiki, ila kuna uwezekano wale vizalia vya wavamizi, ambao sasa wamekuwa naturalized wanaweza kulipinga!, hivyo nashauri kama vipi, turudi kwenye historia tulivyokuwa mwanzo, na wavamizi wote wasiotaka, tuwakusanye, tuwasombe, tuwarudishe kwao kwenye asili yao!.

Nliwahi kuandika sana kuhusu hiki kinachoitwa Muungano.
Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano ?!...
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano?!.
Jee Wajua Kuwa Kuna Uwezekano Tanzania Sii Nchi Halali Kisheria?!.
Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Union" badala ya "Articles of Union!".
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa Zanzibar!.
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu!.
'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'-Karume
Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then Twende Kwenye Nchi Moja Serikali Moja!.
Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM wa Serikali Mbili Ndio Utavunja Muungano!.
Pasco
Nawatakia maadhimisho mema ya sikukuu ya muungano.
Paskali
 
Back
Top Bottom